Naombeni ramani nzuri ya ujenzi kiwanja cha 400 SQR Meter

Naombeni ramani nzuri ya ujenzi kiwanja cha 400 SQR Meter

Karibu nikusaidie. Mkuu
1102.jpg
excel_architects_studios-20220524-0001.jpg
 
ingia ( www.pinterest.com ) utakuta kila aina ya ramani unayoitaka wewe duniani na Architecture wameweka na vipimo kabisa... Kazi yako ni ku download... Hawa Architectures uchwara unao waona mjini wana download ktk hio website na kuwauzia watu kwa elfu50 hadi laki1... Nime attach sample japo nime screenshot hazitaonekana vzuri...
 

Attachments

  • Screenshot_20220911-222835.png
    Screenshot_20220911-222835.png
    245.2 KB · Views: 76
  • Screenshot_20220911-222806.png
    Screenshot_20220911-222806.png
    187.5 KB · Views: 80
ingia ( www.pinterest.com ) utakuta kila aina ya ramani unayoitaka wewe duniani na Architecture wameweka na vipimo kabisa... Kazi yako ni ku download... Hawa Architectures uchwara unao waona mjini wana download ktk hio website na kuwauzia watu kwa elfu50 hadi laki1... Nime attach sample japo nime screenshot hazitaonekana vzuri...
Hivi ni Kwa nini mnadharau taaluma za watu?
 
ingia ( www.pinterest.com ) utakuta kila aina ya ramani unayoitaka wewe duniani na Architecture wameweka na vipimo kabisa... Kazi yako ni ku download... Hawa Architectures uchwara unao waona mjini wana download ktk hio website na kuwauzia watu kwa elfu50 hadi laki1... Nime attach sample japo nime screenshot hazitaonekana vzuri...
Kwa hiyo wewe Mr Director utaichukua hii ukaipaste kwenye kiwanja chako? [emoji23][emoji23]

Shuleni mlienda kufanya nini nyie?
 
ingia ( www.pinterest.com ) utakuta kila aina ya ramani unayoitaka wewe duniani na Architecture wameweka na vipimo kabisa... Kazi yako ni ku download... Hawa Architectures uchwara unao waona mjini wana download ktk hio website na kuwauzia watu kwa elfu50 hadi laki1... Nime attach sample japo nime screenshot hazitaonekana vzuri...
Hio unayoidharau ni taaluma ya watu, kama mambo si mazuri kwa upande wako. Download Ramani jenga, wengine hutaka Ramani kwa mapendekzo yake na culture ya ki Tanzania, sio Ramani za wazungu zenye shape ya box.
 
ingia ( www.pinterest.com ) utakuta kila aina ya ramani unayoitaka wewe duniani na Architecture wameweka na vipimo kabisa... Kazi yako ni ku download... Hawa Architectures uchwara unao waona mjini wana download ktk hio website na kuwauzia watu kwa elfu50 hadi laki1... Nime attach sample japo nime screenshot hazitaonekana vzuri...
Asante sana mkuu, kumbe hawa viumbe huja kuchota huku. Kwanza kwann ununue ramani ya nyumba ya vyumba viwili au vitatu..? It is not fair kabisa.
 
Kwa hiyo wewe Mr Director utaichukua hii ukaipaste kwenye kiwanja chako? [emoji23][emoji23]

Shuleni mlienda kufanya nini nyie?
Unajiita mtaalam unashindwa kusoma maelezo mepesi niliyo yaeleza hapo... 😂😅 tatzo lenu mnadhan dunia imesimama, mafunzo ya kurusha ndege yapo Google, sembuse ramani za nyumba..?
 
Back
Top Bottom