Naombeni tafsiri ya Kiswahili ya neno 'Stationery'

Naombeni tafsiri ya Kiswahili ya neno 'Stationery'

Stationary=duka la vifaa vya ofisini na shuleni
kkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk!!
 
Hivi ni SARIJALA AU SHAJALA?

Shajala=Diary. nadhani yupo sahihi na hili neno la sarijala nimewahi kuliskia sehemu katika ofisi za ummaa. Haya maneno hayana asili ya kibantu. lingine ni MASIJALA=store ya vitu vyote vyenye asili ya stionery na files mbalimbali
 
'Sarijala' nalisikia leo. Naelewa kuna 'masijala' na kwa vile si mwana isimu sintokukanusha ila nahisi utakua umepatia. Nakupongeza.
 
Je lipo neno moja la kiswahili la tafsiri ya stationery? Nimejaribu google translate sikupata.

Mkuu,neno lenyewe linaandikwa "stationary" na si "stationery".

Tafsiri neno Stationary kwa Kiswahili ni kusimama.

Ni kitenzi au "verb" kinachoashiria tendo la kusimama iwe kitu, mtu watu au hata motokaa.

Kwa mfano twaweza kusema, "gari ile naliona limesimama mahala pale likisubiri kujaza mafuta", au "lile basi limesimama kituoni kuchukua abiria", au "mkonga ule wa simu umesimaishwa ili kutandaza nyaya za simu".

Hivyo basi, neno "stationary" linatumika mahala pasipo ingawa lengo lake ni moja tu kumaanisha kwamba mjasiri mali fulani amesimamisha kaduka kake mahala ili kuuza vifaa vyote vya kiofisi.

Pia inaweza kumaanisha kwamba mjasiri mali mwingine amefungua ofisi ndogo ambayo inashughulika na au kutoa huduma ya mambo yote ya kiofisi na akaamua kupaita "A&B stationary services".

Kwahio inategemea matumizi ya hili neno yanakusudia kutoa maana gani kwa mtumiaji na wapita njia.

Nafikiri utakuwa umenipatapata hapo.
 
Mkuu,

Tafsiri neno Stationery kwa Kiswahili ni kusimama.

Ni kitenzi au "verb" kinachoashiria tendo la kusimama iwe kitu, mtu watu au hata motokaa.

Kwa mfano twaweza kusema, "gari ile naliona limesimama mahala pale likisubiri kujaza mafuta", au "lile basi limesimama kituoni kuchukua abiria", au "mkonga ule wa simu umesimaishwa ili kutandaza nyaya za simu".

Hivyo basi, neno "stationery" linatumika mahala pasipo ingawa lengo lake ni moja tu kumaanisha kwamba mjasiri mali Fulani amesimamisha kaduka kake mahala ili kuuza vifaa voye vya ofisi.

Pia inaweza kumaanisha kwamba mjasiri mali mwingine amefungua ofisi ndogo ambayo inashughulika na au kutoa huduma ya mambo yote ya kiofisi na akaamua kupaita "A&B stationery services".

Kwahio inategemea matumizi ya hili neno yanakusudia kutoa maana gani kwa mtumiaji na wapita njia.

Nafikiri utakuwa umenipatapata hapo.
Richard unachanganya STATIONERY na STATIONARY, hayo ni maneno mawili hayafanani, wewe umetoa maana ya stationary ila mleta mada alitaka stationery
 
Last edited by a moderator:
Richard unachanganya STATIONERY na STATIONARY, hayo ni maneno mawili hayafanani, wewe umetoa maana ya stationary ila mleta mada alitaka stationery

Basi kama ni anataka maana ya neno Stationery maana yake ni vifaa vya kiofisi iwe kalamu, karatasi, bahasha na kadhalika.

Na neno stationary ni kusimama na kama nilivyoeleza.

Maneno haya yanaweza kutumika kwa pamoja kwa nyakati tofauti kwa mfano "wanafunzi waliambiwa waendelee kusimama mbele ya jengo la utawala hadi watakapoambiwa vingine" hapa hili neno kwa kiingereza litakuwa "stationary".

Mfano wa neno "stationery" ni "tuna kijana wetu hapa ndio anahusika na kuagiza vifaa vya kiofisi".

Haya mkuu tuendelee kuelimishana.
 
Je lipo neno moja la kiswahili la tafsiri ya stationery? Nimejaribu google translate sikupata.

Hakuna neno moja lenye maana ya stationery, ni kama vile pharmacy sisi tunasema duka la madawa, kwaio na hii tuseme duka la vifaa vya ofisini
 
Basi kama ni anataka maana ya neno Stationery maana yake ni vifaa vya kiofisi iwe kalamu, karatasi, bahasha na kadhalika.

Na neno stationary ni kusimama na kama nilivyoeleza.

Maneno haya yanaweza kutumika kwa pamoja kwa nyakati tofauti kwa mfano "wanafunzi waliambiwa waendelee kusimama mbele ya jengo la utawala hadi watakapoambiwa vingine" hapa hili neno kwa kiingereza litakuwa "stationary".

Mfano wa neno "stationery" ni "tuna kijana wetu hapa ndio anahusika na kuagiza vifaa vya kiofisi".

Haya mkuu tuendelee kuelimishana.

Bwn mbona maneno mengi...tunataka moja tu. Badala ya kutumia stationery litumike hilo.
 
stationary=not moving,
stationery=material for writing or used in ofice
 
Mkuu,neno lenyewe linaandikwa "stationary" na si "stationery".

Tafsiri neno Stationary kwa Kiswahili ni kusimama.

Ni kitenzi au "verb" kinachoashiria tendo la kusimama iwe kitu, mtu watu au hata motokaa.

Kwa mfano twaweza kusema, "gari ile naliona limesimama mahala pale likisubiri kujaza mafuta", au "lile basi limesimama kituoni kuchukua abiria", au "mkonga ule wa simu umesimaishwa ili kutandaza nyaya za simu".

Hivyo basi, neno "stationary" linatumika mahala pasipo ingawa lengo lake ni moja tu kumaanisha kwamba mjasiri mali fulani amesimamisha kaduka kake mahala ili kuuza vifaa vyote vya kiofisi.

Pia inaweza kumaanisha kwamba mjasiri mali mwingine amefungua ofisi ndogo ambayo inashughulika na au kutoa huduma ya mambo yote ya kiofisi na akaamua kupaita "A&B stationary services".

Kwahio inategemea matumizi ya hili neno yanakusudia kutoa maana gani kwa mtumiaji na wapita njia.

Nafikiri utakuwa umenipatapata hapo.

Nashukuru sana kwa mchango wako mkuu lakini hebu soma hapo chini tupanuane mawazo zaidi

stationary |ˈsteɪʃ(&#601😉n(&#601😉ri|adjectivenot moving or not intended to be moved: a car collided with a stationary vehicle.• Astronomy (of a planet) having no apparent motion in longitude.• not changing in quantity or condition: a stationary population.ORIGIN late Middle English: from Latin stationarius (originally in the sense ‘belonging to a military station'), from statio(n-)‘standing' (see station) .usage: The words stationary and stationery are often confused. Stationary is an adjectivewhich means ‘not moving or not intended to be moved', as in a car collided with a stationaryvehicle, whereas stationery is a noun which means ‘writing and other office materials', as in I wrote to my father on the hotel stationery.
 
Hakuna neno moja lenye maana ya stationery, ni kama vile pharmacy sisi tunasema duka la madawa, kwaio na hii tuseme duka la vifaa vya ofisini


Ndo maana ninadhani kiswahili hakijitoshelezi, si unaona hata duka la dawa sio 'madawa' kumbe nalo halina neno moja, inabidi tuseme DUKA LA DAWA wakati wenztu wanasema tu phamarcy.
 
Back
Top Bottom