utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,667
Ndo maana ninadhani kiswahili hakijitoshelezi, si unaona hata duka la dawa sio 'madawa' kumbe nalo halina neno moja, inabidi tuseme DUKA LA DAWA wakati wenztu wanasema tu phamarcy.
DUKA LA DAWA" sio sahihi, inatakiwa iwe DUKA LA MADAWA".