Naombeni taratibu za rufaa Wizara ya Elimu, mwanangu kapata division three wakati hana uwezo huo

Mpe mwanao mchawi
 
Mwanao yupo vizuri darasani ila wewe mzazi wake miyeyusho......alikuwa anajifanya hapendi shule baada ya kukuona haupo serious nae na ndio maana alikuwa anajifanya hajui hata national flag
 
Nipe namba yake ya mtihani nibadilishe matokeo yake apate DIV 4 ya 50.
Zero+
Au ni binti unataka umuoze chap??

Naomba namba ya simu ya mama wa huyo mwanao kuna jambo nataka kumwambia.
 
Mwanao yupo vizuri darasani ila wewe mzazi wake miyeyusho......alikuwa anajifanya hapendi shule baada ya kukuona haupo serious nae na ndio maana alikuwa anajifanya hajui hata national flag
Acha kujidai mjuaji ..huyu ni mwanngu namjua ...hakuna mzazi asiyependa mwanae afaulu lakini kuna matokeo mengine yanashitua kabisa
 
Nini three, wa kwangu kapata one ya misonge tupu wakati toka anaanza form 1 , hajawi kupata maksi zaidi ya 20 kwa somo lolote
 
h
 
Una ujumbe lakini chai pamoja na kuwekwa mchaichai, karafuu na sukari, chumvi imezidi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…