Naombeni tiba ya bawasili ya ndani

Naombeni tiba ya bawasili ya ndani

tafuta tunda la mkokomanga chemsha kunywa dawa nzuri sana chemsha matunda 3 kny lita moja na robo ndani ya dk kumi. Acha maji yapoe then kunywa mara tatu kwa siku. Ukiweza changanya na majani ya mpera na maparachichi kiganja kimoja wakati wa kuchemsha.

Mboga yako iwe matembele kwa ajili kuongeza damu maana damu lazima iishe nyingi.

Angalia uzito wako na mazoezi fanya ya kutosha ili uweze kunywa maji mengi
 
tafuta tunda la mkokomanga chemsha kunywa dawa nzuri sana chemsha matunda 3 kny lita moja na robo ndani ya dk kumi. Acha maji yapoe then kunywa mara tatu kwa siku. Ukiweza changanya na majani ya mpera na maparachichi kiganja kimoja wakati wa kuchemsha.

Mboga yako iwe matembele kwa ajili kuongeza damu maana damu lazima iishe nyingi.

Angalia uzito wako na mazoezi fanya ya
Kwa muda wa skingap?
kutosha ili uweze kunywa maji mkwa
 
Kuna jamaa anajiita Daniel Nkiya Facebook ameweka profile ya limau, hebu kamcheki haraka na tatizo lako litakua limeisha, amesaidia wengi
 
Kuna jamaa anajiita Daniel Nkiya Facebook ameweka profile ya limau, hebu kamcheki haraka na tatizo lako litakua limeisha, amesaidia wengi
Mhh! Uyu jamaa Kila koment anatajwa adi naona lbda scammer
 
Nasumbuliwa na bawasili ya ndani Kwa miaka 4 nshakula Kila aina ya dawa naombeni dawa ya akika jamani
Niko Moshi. Kuna jamaa anatibu na amemsaidia kaka yangu aliyekuwa anasumbuliwa na bawasiri kwa muda mrefu na Sasa amepona Alhamdu lillaah. Ila jipange kwa gharama na muda kwa kuwa dozi ni kama ya mwezi mmoja hivi na bei ni laki lasoro kidogo na pia ukianza kitumia dawa hakikisha huna mambo mengi kwa kuwa mwanzoni ukianza kutumia dawa utaharisha sana hadi unyong'onyee kwa hiyo ni muhimu kuwa na muda wa kupumzika nyumbani kama siku Tano hadi wiki ndipo mwili urudi katika hali ya kawaida. DAWA NI YA KIENYEJI ILA INATIBU .
 
Kikundu,mgolo,bawasiri,haemorrhoids yote ni majina yake
 
Back
Top Bottom