Naombeni Ushauri: Dalili za mtu ambaye ni HIV carrier

1)kua na homa mda wote kufikia mpk kiwango 102 degrees c.
2)uchovu,mwili kuchoka mda wote.
3)kuuma kwa misuli,kupata maumivu ktk tezi mfano kwapa,maeneo ya shingon.n.k
3)kuvimba kwa koo.
4)maumiv ya kichwa mara kwa mara
5)vipele pele ktk mwili,hua vinawasha sn.
6)kuhis kichefchef,kutapika pia kuharisha.
7)kua na kikohozi kikavu
8)kuanza kupungua uzito taratibu.
9)kutokwa na jasho usiku
10)kupata siku mwezi(period)bila mpangilio.
 
Tangu uwe naye umeshapima katika hiyo interval ya miezi 3? Mna muda gani?
Labda alipotoka kabla ya kufika kwako kunamtisha anahofia kupima.

Unajihisi wewe ni carrier au yeye?
Tuna karibia mwaka , na tunatumia kinga lakn hizi kinga siziamin ndo maana natafuta solution kama mtu mwenyewe hataki kupima naweza mjua kwa njia gani
 
Yaani inasikitisha mpaka leo hujajua kwamba mwenye ukimwi unaweza kumjua kwa njia gani?

Ila nikwambie Vipimo peke yake ndio jibu hapo ukitaka kwa kuwajua nje ya hapo ni ngumu aisee.
Ni hivi mtu mwenyewe hataki kupima, na kuna dalili ambazo hazijifichi hizo kila MTU anazijua lkn kuna mwingine ni carrier ndo nataka nijue nitamjuaje huenda ni Carrier japo tunatumia kinga lkn kinga hizi haziaminiki
 
Ni ngumu kujua kwa macho ila kuna mambo mawili kuna wengine ni resist to HIV (ccr5 antagonist). Kuna wengine wakipimwa ni positive ila dalili hawana na wanaweza kukaa hata 10 years bila dalili ila haina maana kuwa ni carrier sababu HIV have a prolonged incubation period due to clinical latency. Hivyo ukitaka kutest kuwa ni carrier au laa kuna vipimo vinauzwa ila Tanzania hakuna vinaitwa "Genetic DNA test kit"
 
Tuna karibia mwaka , na tunatumia kinga lakn hizi kinga siziamin ndo maana natafuta solution kama mtu mwenyewe hataki kupima naweza mjua kwa njia gani
Ukishajua anao utachukua hatua gani?
Ni hivi mtu mwenyewe hataki kupima, na kuna dalili ambazo hazijifichi hizo kila MTU anazijua lkn kuna mwingine ni carrier ndo nataka nijue nitamjuaje huenda ni Carrier japo tunatumia kinga lkn kinga hizi haziaminiki
 
Ni hivi mtu mwenyewe hataki kupima, na kuna dalili ambazo hazijifichi hizo kila MTU anazijua lkn kuna mwingine ni carrier ndo nataka nijue nitamjuaje huenda ni Carrier japo tunatumia kinga lkn kinga hizi haziaminiki
Kama hataki kupima wa kazi gani sasa.

Pia nionavyo huna msimamo ikiwa kupima hataki hakuna haja hata ya kumpa nafasi ya kutumia hiyo kinga kwani hiyo ndio sababu inayomfanya akatae.

Hebu jikaze mnyime halafu uone akizidi kukataa huna budi kufanya maamuzi magumu kwa ajili ya afya yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…