Naombeni Ushauri: Dalili za mtu ambaye ni HIV carrier

Utando mweupe kwenye ulimi hasa pempeni pembeni,

lakini hawezi kukosa vi homa homa labda akiishaa anza dawa

wana hamu ya mapenzi kupitiliza lakini akiishaanza dawa ikamkubali

hawezi kumaliza wiki bila kuumwa kichwa.

Hata kamaa ameishaanza dawa hawezi kumaliza mwezi bila ka kikohozi kwa mbali

kama ni mwanamke dawa zikimkubali anapendeza kiasi kwamba kila apitapo lazima wanaume vikojoleo vyao viwasimame kama minara ya simu

hawapendi kupima afya na hawapendi kutumia kinga.etc etcccc
 
Kuna dalili zinaonekana kwa macho Arabian queen na luckyline wamezitaja...naona kuna watu humu mmeanza kumchukulia mleta uzi kama mwathirika,its not fair.
 
Kuna magonjwa mengi siku hizi yanaharibu kinga na kuwa na dalili Kama umeambukizwa HIV.
Nenda kapime.
Ukikutana na mtu aliyepigwa vizuri na kisukari utajua ni HIV
 
Kweli kabsa kuhusu kuumwa kichwa mara kwa mara
 
Tuna karibia mwaka , na tunatumia kinga lakn hizi kinga siziamin ndo maana natafuta solution kama mtu mwenyewe hataki kupima naweza mjua kwa njia gani
Huyo anachepuka sanaa ndio maana hivyo anaogopa ,wewe hata hauelewi kama unamuamini muombe simu yake ushinde nayo umuangalie ,,kuna jamaa wangu kupma hataki kusikia maana katembeaa na watu sehemu mbaya sana na anaenda kavu

Pia kama mtu wako mkiwa naye ni nan ambaye anamwambia mwenzake kutumiaa kondom ,,

Kama ni wewe unamlazimishaa ila yeye anapenda kwenda peku bhas jua na kwa wengne anaenda peku sana
 
Ukimuambia tukapme anaweza kukimbiaa
 
Kinga mwaka mzima..acha kudanganya watu wazima wenzako humu basi.
Kinga inafanya delay ya ejoculation halaf mtu akuoigie nayo mwaka mzima....hahaa la kwanza la pili la tatu huwa inachomolewa na kutupwa pemben au hizo za kutupwa pemben huwa huhesabu?
Hayo ndo mawazo yako sio reality so its up to u kuona ukweli au uongo maana watu kama nyie hamkosi na utambue kwamba kuwa katika mahusiano sio kufanya ngono kila siku kama unavodhani ndo mana labda unaona mwaka mwingi
 
Yaani kiukweli sipendi kutumia mpira ndo maana namshawishi akapime ili tukiaminiana tuachane na mipira alaf namwambia sometimes nenda mwenyewe sio lazima uende na mm , na ye huwa anasema et anaogopa kunipoteza kama ikitokea anao
 
Yaani kiukweli sipendi kutumia mpira ndo maana namshawishi akapime ili tukiaminiana tuachane na mipira alaf namwambia sometimes nenda mwenyewe sio lazima uende na mm , na ye huwa anasema et anaogopa kunipoteza kama ikitokea anao
Huyo sehemu alizopita anawasiwasi. ,na wewe mara ya mwisho umepima lin
 
Ukiona kanenepa saaana ujue anangoma... Ukiona anakupa hela saana ujue anangoma. Ukiona anakula sana matunda na mboga za majani. Basi ujue huo ni ushauri wa daktali kashafwaliki huyo.... Haya sema lingine tukupe ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…