beautifulonyinye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 728
- 481
- Thread starter
-
- #101
Thanks for the advice [emoji120] [emoji120]You cannot tell if anyone is HIV positive. The way to know if someone is HIV positive is if they tell you about their status and they have had conclusive evidence from an HIV test tofauti na hapo itakuwa ni kujidanganya tu! Tuache hizi mambo za kunyoosheana vidole kwamba someone is H.i.V carrier kabla hujapata uthibitisho wa hayo yote! Kwangu mimi sina cha kukwambia kwenye hilo period!
Kama unapima unajikuta basi na yeye atakuwa vzrMm napima kila baada ya miez 3 mkuu ila huyo mwenzangu ndo hapendi kupima ndo maana nauliza
Mkuu mbona umepanic sana kwani vepee! Hahaaa aisee wengine mnafurahishaga au na we ndo walewale wanaogopa kupimaKwanza huyu mwenyewe seems ni janga tu, ila kaamua kufurahisha jukwaa leo.
Kama mmewe tu hawaendani had hamuheshim kufanya jambo la maana kama hilo la kupima ina maana huyo jmaa anamchukulia kama kiazi tu no need to consider her concerns! Tulizana upate mme wa haki yako hawa wengine mnajilazimishiaga tu kiubishi bishi.
MmmmhSimple tu kumjua! wakati wa tendo yeye utamwona Analia mpaka anatoa machozi...
Hatuendi kavu[emoji87] [emoji87]Kama unapima unajikuta basi na yeye atakuwa vzr
Ok endelea kupima tu mkuu ipo siku utapata unachokitafutaMm napima kila baada ya miez 3 mkuu ila huyo mwenzangu ndo hapendi kupima ndo maana nauliza
Kwahiyo mkuu unanishauri niache kupima?? But whyOk endelea kupima tu mkuu ipo siku utapata unachokitafuta
HahahhhHilo lipo wazi mkuu maana sijazaliwa nae asee
Naongeaga ukweli, na ukwek huwa una hit mtimani, hakuna mwanadam anaependa kuambiwa ukwel hapa duniani ni wachache sana. Ngoja wakupambe ilihali unachukuliwa na mwenzio kama mtumba bin mdudu Ruba.Mkuu mbona umepanic sana kwani vepee! Hahaaa aisee wengine mnafurahishaga au na we ndo walewale wanaogopa kupima
Mkuu nitajitahid though sio easy ila hakuna namna , Thanks kwa ushauriHahahhh
Sasa mkuu kama una uwezo wa kumuacha why uishi roho mkononi??
Muache sasa hivi maana hataki kupima na wewe unataka
Tafuta atakayekubali anapima Mara kwa Mara kama wewe
Nzuri aiseeHabari za Jumatatu?
Kwani lazima uwe nae huyo?kama hataki kupima maana yake anajua nyendo zake na zinamtia shaka.Sasa wewe unakomaa na ngoma unaogopa na kondomu umechoka?ajabu hii..Ni hivi mtu mwenyewe hataki kupima, na kuna dalili ambazo hazijifichi hizo kila MTU anazijua lkn kuna mwingine ni carrier ndo nataka nijue nitamjuaje huenda ni Carrier japo tunatumia kinga lkn kinga hizi haziaminiki
Nzuri aisee
Pimeni wote, mkishapima muachene na michepuko, imaana kwenda kupima kila wakati hamuaminiani?Kwahiyo mkuu unanishauri niache kupima?? But why
Japo umetumia lugha kali lakin inaakisi kabisa mazingira haya.Hivi ukifanya self assessment unajisikia zimetimia kweli?
Basi, usiache kutumia kinga kqma hataki kupima.Tuna karibia mwaka , na tunatumia kinga lakn hizi kinga siziamin ndo maana natafuta solution kama mtu mwenyewe hataki kupima naweza mjua kwa njia gani
Japo umetumia lugha kali lakin inaakisi kabisa mazingira haya.
Sipati picha huyu dada anafikiriaje na kama kweli anajua ukubwa wa hatari anayoilealea kama yai.