Naombeni ushauri, huyu shemeji ananikwaza

Naombeni ushauri, huyu shemeji ananikwaza

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
40,828
Reaction score
99,523
Kwanza ikifika asubuhi anatoa nguo zake nimnyooshe ili avae kwenda kazini na kinacho niuma zaidi wamekua na desturi ya kwenda kuoga bafuni (public bathroom) na mkewe (dada yangu), na wanapokua bafuni wanachelewa sana kutoka.

Na wiki hii nimemuona ameanza tabia mpya ya kuwa ananiamrisha nioshe gari lake kila anapotoka kazini, na juzi aliniangalia sana wakati wa dinner nilipopakua mboga yote hadi nikanywa mchuzi uliobakia kwenye hot Pot.

Kwanza nilishamwambia dada kwamba waache tabia ya kujifungia na shemeji kila wakati wanapotoka kazini, na tabia ya shemeji kuwa anafungia remote ya TV chumbani kwake mimi sipendi.

Wakuu, naombeni ushauri kabla sijamsemea shemeji kwa mama.
 
Kwanza ikifika asubuhi anatoa nguo zake nimnyooshe ili avae kwenda kazini. Na kinacho niuma zaidi wamekua na desturi ya kwenda kuoga bafuni (public bathroom) na mkewe (dada yangu), na wanapokua bafuni wanachelewa sana kutoka...
Afu unaweza kuta kuna watu huko unakoishi wanakuamkia shikamoo mtu fulani, wangejua mtu wanaemwamkia sasa!
 
Hapa naomba ushauri mkuu, hayo mengine ebu yaache yajisumbukie...
Kama una hasira naogopa hata kukuuliza.

Ila kama zikipungua na ukajisikia kunijibu. Naomba makadirio yako endapo nitataka kutengeneza vifaa hivi kwa chuma.

Kama unaweza kunishauri namna ninaweza kufanya viwe simple zaidi ili kupunguza gharama nitashukuru.





Screenshot_2021-07-28-23-14-04-92.jpg
Screenshot_2021-07-28-23-23-45-72.jpg
Screenshot_2021-07-28-23-28-32-24.jpg
Screenshot_2021-07-28-23-29-39-05.jpg
 
Mkuu, nakushauri ukapime scrap upate pesa..🤓
Mimi sitaki pesa. Nataka hizo ishu ambazo hapo baadhi ni mbao ziwe kwa chuma na hiyo inayoonekana ni chuma kabisa ikiwa complete kutengenezewa itagharimu kiasi gani.

Nimekuuliza kwakua kuna kipindi fulani ulikua unaonyesha vifaa vya unavyotengeneza kwa kutumia chuma.
 
Mimi sitaki pesa. Nataka hizo ishu ambazo hapo baadhi ni mbao ziwe kwa chuma na hiyo inayoonekana ni chuma kabisa ikiwa complete kutengenezewa itagharimu kiasi gani.

Nimekuuliza kwakua kuna kipindi fulani ulikua unaonyesha vifaa vya unavyotengeneza kwa kutumia chuma.
Ohhh....
Zile nilikua nikiwatengenezea watoto wangu pindi ninapo pata nafasi.
Nimuda sasa umepita mkuu, pole
 
Wasimbe mna shida sana kwaio unamlia chabo Dada yko akifukuliwa tope alaf naww unampigia nyeto kwa mizuka
 
Back
Top Bottom