Naombeni ushauri, huyu shemeji ananikwaza

Naombeni ushauri, huyu shemeji ananikwaza

Huyu jamaa wachache ndo tumemuelewa, anyway you made me laugh out loud [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyu jamaa wachache ndo tumemuelewa, anyway you made me laugh out loud [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tatizo vijana hawapendi kutumia fasihi wakidhani kwamba kunguru ananenepa kwa kula jalala moja...😂😂
 
Hatari sanaaa!! Unaishi kwa dada halafu hutaki shemeji na dada wajifungie chumbani😃😃

Wewe ni nani😂😂
 
Hatari sanaaa!! Unaishi kwa dada halafu hutaki shemeji na dada wajifungie chumbani😃😃

Wewe ni nani😂😂
Mkuu, wanatakiwa wapunguze muda wa kujifungia na hata kuoga bafu moja kwa wakati mmoja misipendi...☹️
 
Mkuu, wanatakiwa wapunguze muda wa kujifungia na hata kuoga bafu moja kwa wakati mmoja misipendi...☹️



Kwa ubishi huu inabidi tuu dada afanye mpango tuu upate wa kufanana nae... Kama huyo wa nyuma

Screenshot_20210728-191742.jpg
 
Back
Top Bottom