Naombeni ushauri jinsi ya kuanza maisha ya kuwa single

Ni hatua tu katika maisha, si ajabu hasira ikiisha / kupungua ukamsamehe (mkasameheana) mkaanza upyaaaaaaa, na kwa kawaida ile show ya kwanza baada ya kusameheana huwa ni tamu sana
 
Mimi ni mdada na kazi yangu na maisha yangu, nimekuja kuomba ushauri jinsi ya kuweza kuishi single maana mchumba niliyekuwa naye ameniumiza.

Nataka nianze kuwa single, niishi vipi mpaka nimsahau kabisa na maisha yaendelee?
Tafuta plan B itakayokuondolea upweke.. Lakini isiwe vilevi.. Na jioni nenda kapoteze muda gym
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…