Naombeni ushauri jinsi ya kuanza maisha ya kuwa single

Naombeni ushauri jinsi ya kuanza maisha ya kuwa single

Utazoea tu taratibu na mwishowe utakaa sawa. Jikeep busy na kazi zako, usikae idle muda mwingi maana ndiyo muda mawazo yanakujia kuhusu ex. But kukosana kupo je kuna jitahada zozote mmechukua kuhakikisha penzi lenu linarudi? Ama imeshindikana kabisa?
 
Utazoea tu taratibu na mwishowe utakaa sawa. Jikeep busy na kazi zako, usikae idle muda mwingi maana ndiyo muda mawazo yanakujia kuhusu ex. But kukosana kupo je kuna jitahada zozote mmechukua kuhakikisha penzi lenu linarudi? Ama imeshindikana kabisa?
Ukigundua mwenza wako mapenzi yameshuka,, ni bora kuangalia ustaarabu mwingine.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Ukigundua mwenza wako mapenzi yameshuka,, ni bora kuangalia ustaarabu mwingine.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Nakubaliana na wewe kabisa, ila atleast ujue yameshuka sababu gani, huenda kuna tatizo mwenzako analipitia kama ukimdadisi unaweza kujua mkasolve na mkaendelea , ndiyo maana ya jitihada nilizomaanisha mkuu
 
Kabiri mawazo yako,hofu yako maumivu yako,maswali yako na yatafutie majibu 'sahihi',ishi majibu hayo,then jipe muda.
 
Upo wapi twende viwanja isitoshe leo wikend ukapunguze mawazo
Mimi ni mdada na kazi yangu na maisha yangu, nimekuja kuomba ushauri jinsi ya kuweza kuishi single maana mchumba niliyekuwa naye ameniumiza.

Nataka nianze kuwa single, niishi vipi mpaka nimsahau kabisa na maisha yaendelee?
 
Pole sana...
Story huisha na kumbukumbu husahaulika vyote vitapita...
 
Aliyekubuhu kuwa single mujini anaitwa BIKRA kama hakuna chochote kinachoendelea kule kwenye utamu. 😜
Ila best!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Mimi ni mdada na kazi yangu na maisha yangu, nimekuja kuomba ushauri jinsi ya kuweza kuishi single maana mchumba niliyekuwa naye ameniumiza.

Nataka nianze kuwa single, niishi vipi mpaka nimsahau kabisa na maisha yaendelee?
Njoo pm na passport mbili na kitambulisho chako cha NIDA
 
Back
Top Bottom