Naombeni ushauri jinsi ya kuanza maisha ya kuwa single

Naombeni ushauri jinsi ya kuanza maisha ya kuwa single

😂😂😂😂 mchepuko kamaliza ugwadu woteeee au kishatoa order usimpe jamaa hadi yeye mchep agegede kwanza weekend. 🤣🤣🤣🤣🤣
Hata ukiwa double unalala nayo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mchepuko kamaliza ugwadu woteeee au kishatoa order usimpe jamaa hadi yeye mchep agegede kwanza weekend. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umeanza ule uchochezi wako we mtoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
😂😂😂😂😂 hukuona mchepuko mmoja humu akijisifia kwamba ana nguvu kwa muke ya mutu kuliko mwenye mali? Mke anamuomba mchep mume anasumbua sana anataka K na mchep anamwambia usimpe mwambie unaumwa hadi baada ya kunipa mimi weekend ndiyo umpe, na muke anasema sawa 😳😳😳😳
Umeanza ule uchochezi wako we mtoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hukuona mchepuko mmoja humu akijisifia kwamba ana nguvu kwa muke ya mutu kuliko mwenye mali? Mke anamuomba mchep mume anasumbua sana anataka K na mchep anamwambia usimpe mwambie unaumwa hadi baada ya kunipa mimi weekend ndiyo umpe, na muke anasema sawa [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa kama mcheps yuko njema zaidi? Sio kosa lake.
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Back
Top Bottom