Naombeni ushauri juu ya biashara yangu ya uchoraji katuni niliyoianza

Naombeni ushauri juu ya biashara yangu ya uchoraji katuni niliyoianza

Mechanic 97

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2021
Posts
854
Reaction score
1,296
Wakuu kutokana na msukumo kutoka moyoni. Wakutoa elimu ya sanyansi na teknolojia kupitia katuni nimejikuta nimeingia katika biashara hii rasmi. Ila Sasa nimeshindwa kuelewa je ninacho kitoa kwa jamii je inakielewa au inakihitaji maana nimejaribu Kwa mda mfupi nilipata wasomaji tu. Ili nibidi ni rudi nyuma nitafute maoni kutoka Kwa watu wangu wakaribu nao wamechangia mawazo Yao. Ila nimeona haitoshi nimeamua kuleta pia kwenu jamiiforum kwenye mchanganyiko wa watu tofauti tofauti. Je unamaoni gani? Kuhusu biashara hii.

Na biashara hii nimepanga kuifikisha Tanzania nzima kupitia mawakala kama 50-100. Hivyo kama umevutiwa tunaweza tukawasiliana

Na mfano wa kazi ni picha za hapo chini.View attachment 3119607View attachment 3119608View attachment 3119609View attachment 3119610
IMG_20241009_092543_788.jpg
 
Ninatumia ibis paint android app mwanzo nililenga wote wa Zima. Ila kuna mtu nimemshirikisha Jana kadai hii ita wafaa wasomi.
Can you cluster them through age quantile?
Mana sioni rationality ya kutumia vibonzo kuelimisha has kwa watu wazima wa kiafrika. Huoni threats kuendana na uhitaj wao?. Au unataka kuwafikia watoto wanaojifunza mashulen
 
Wakuu kutokana na msukumo kutoka moyoni. Wakutoa elimu ya sanyansi na teknolojia kupitia katuni nimejikuta nimeingia katika biashara hii rasmi. Ila Sasa nimeshindwa kuelewa je ninacho kitoa kwa jamii je inakielewa au inakihitaji maana nimejaribu Kwa mda mfupi nilipata wasomaji tu. Ili nibidi ni rudi nyuma nitafute maoni kutoka Kwa watu wangu wakaribu nao wamechangia mawazo Yao. Ila nimeona haitoshi nimeamua kuleta pia kwenu jamiiforum kwenye mchanganyiko wa watu tofauti tofauti. Je unamaoni gani? Kuhusu biashara hii.

Na biashara hii nimepanga kuifikisha Tanzania nzima kupitia mawakala kama 50-100. Hivyo kama umevutiwa tunaweza tukawasiliana

Na mfano wa kazi ni picha za hapo chini.View attachment 3119607View attachment 3119608View attachment 3119609View attachment 3119610View attachment 3119611
Mkuu so unauza hivi vitabu au unafanyaje mkuu? What if unatengeneza kwa njia ya video kwa doodles?
Na je umelenga watoto au? Maana kwa watu wazima sidhani kama wana resonate na hiki
 
Shida ya katuni mjongeo ni usambazaji ila nimeona fursa YouTube pekee sijajua kwenye vituo vya Tv
. Siyo kweli mkuu, usambazaji ni rahisi sana.. Sasa hivi Facebook ameanza kulipa hela ndefu sana kwa sasa.

. Katuni nyingi sana zipo Facebook huko, si wakubwa si wadogo wanaangalia katuni..

Target hizi platform tatu.
. Facebook
. YouTube
. Instagram

Sina uhakika sana na TikTok maana sijawahi kuitumia
 
Mkuu so unauza hivi vitabu au unafanyaje mkuu? What if unatengeneza kwa njia ya video kwa doodles?
Na je umelenga watoto au? Maana kwa watu wazima sidhani kama wana resonate na hiki
Ndio mkuu Kwa njia ya video naweza tengeneza ila Sasa usambazaji ndio inaweza kuwa changamoto nilifikiri YouTube ila Sasa term za YouTube sio rafiki sana unapoanza
 
. Siyo kweli mkuu, usambazaji ni rahisi sana.. Sasa hivi Facebook ameanza kulipa hela ndefu sana kwa sasa.

. Katuni nyingi sana zipo Facebook huko, si wakubwa si wadogo wanaangalia katuni..

Target hizi platform tatu.
. Facebook
. YouTube
. Instagram

Sina uhakika sana na TikTok maana sijawahi kuitumia
Age lazima aizingatie mzee la sivyo hawez kujiases na kujua anakosea wapi. Kila uhitaji una wemyewe si kila mtu muhitaji. Ubongo kids mfano mzuri.. wewe unamjua nani katika katuni za ubongo kids ukiacha "Akili"?
 
Ndio mkuu Kwa njia ya video naweza tengeneza ila Sasa usambazaji ndio inaweza kuwa changamoto nilifikiri YouTube ila Sasa term za YouTube sio rafiki sana unapoanza
Yah inahitaji upate masaa ya kutosha for monetization. but at least ukishapata masaa na watazamaji unaanza kutengeneza pesa. maana unajua watu wanapenda vitu vya bure hasa content za education ingekuwa umbea wangelipa ila content za kuelimisha wengi wanataka bure so youtube is the best way to go au hata tiktok if you can make it work there
 
Back
Top Bottom