Naombeni ushauri juu ya huyu binti simuelewi elewi

Kifupi ni kwamba huyo demu hana mimba wala nini hiyo ilikua ni geresha tu. Na kama kwa umri wake wa 20 tayari alishatoa mimba, mkuu kua makini. Narudia, kua makini.
Sawa mkubwa nimekuelewa chief
 
Yaani miaka 20 kishatoa mimba, duh

Mkuu una roho ngumu kupiga kavu, roho ngumu kama unaishi Darfur au Kandahar
Sikujua kama alishawahi kutoa mimba kabla mkuu nmekuja kujua baada ya kupata huo ujauzito
 


Bishoo unakomeshwa. Sasa nionacho acha ubahili. Mdada asingefikia huko kama si ubahili wako. Yani hutoi sent na huku unajiloweka kama mwiko wa ugali. Eh! Kilichobaki endelea kupalilia ujauzito kwa kumpa mechi mfululizo mpaka siku anakwenda kujifungua. Umkunje vema manii yasimwagike nje! Hallelujah!
 
Kuna binti mmoja nilifanya nae mapenzi kweny harakat za hapa na pale mm nkamwagia ndan na yy alinambia nsimwagie ndani sasa baada ya kukaa siku kadhaa akanambia kua ameona sku zake nkasema alhamdulillah.

Bado unamuingiza Mwenyezi Mungu kwenye vitu vya kipumbafu(uzinzi), halafu bado unamshukuru Mungu kilichomtokea hawara yako na sio mke halali!!! Wewe ni muisilamu kweli!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…