Habari zenu wakubwa shkamoni
Ni kitambo sana kijana wenu sjaonekana kuanzsha thread ila kwa haya nlokutana nayo imenibd nianzishe uzi iko hivi[emoji116][emoji116][emoji116]
Kuna binti mmoja nilifanya nae mapenzi kweny harakat za hapa na pale mm nkamwagia ndan na yy alinambia nsimwagie ndani sasa baada ya kukaa siku kadhaa akanambia kua ameona sku zake nkasema alhamdulillah.
ua ni hela s angenambia kulko kuzunguka.
Akanambia nisingempa kwa wkt kama nlvompa kweny kutoa mimba m nkamwambia kuna siku nimewah kukuambia kuwa siko tayar kulea hyo mimba mpka utumie njia ya kusema ukatoe mimba anajin'gata tuu haeleweki apa nawaza nimuambie hyo mimba mm sina habari nayo atajua mwenyewe au vipi sielewi nipeni ushauri wenu wakulungwa najua mmepitia mengi nyny ndo wataalamu wenyewe naona kama picha hvi yaani daaaah msaada
#yesbishoohaswaaaa