Penologist
JF-Expert Member
- Feb 25, 2019
- 790
- 1,923
Shukran sana mkuu,ilikuwa 2011Miaka 11 iliyopita It means 2012? Kama uliweza kupata A's ule mwaka wewe utakuwa mtambo namaanisha machine haswaa.
Nakushauri ukasome programme unayoipenda mwenyewe.
Kama moyo wako upon Computer Science & IT. Nenda kasome. Ila mimi nakushauri ukasome Applied Statistics.
Kuhusu chuo kilichopo vizuri kwenye Statistics na IT ni Mzumbe tu. Kwa level yako itabidi uanzie Certificate 1 year then Diploma 2 years. All the best.
Noted mkuuSometime you must consider the real nature sorounding you,appart from personal call(wito).
so first you must know who is you by nature and then find the sorounding nature intersect.
Public health itakutoaHabari wakuu,mimi nilimaliza form 4 takriban miaka 11 iliyopita, nilifaulu vizuri tu,nikiwa na A zote PCB na PCM, nilichaguliwa kwenda advance shule nzuri tu lakini sikufanikiwa kuendelea na masomo kwa sababu kadhaa nikajishughulisha na biashara.
Kwa sasa naona kiasi nina utulivu nataka niendelee na masomo na nafikiria kusoma diploma ya computer science, japokuwa napata mawazo mara mbili mbili juu ya course sahiho ya kusoma inayoendana na wakati na mazingira ya nchi yetu,pia vilevile ni chuo gani bora cha kusoma.
Naombeni muongozo wakuu.
Usithubutu kusoma AKWAKACHA,Habari wakuu,mimi nilimaliza form 4 takriban miaka 11 iliyopita, nilifaulu vizuri tu,nikiwa na A zote PCB na PCM, nilichaguliwa kwenda advance shule nzuri tu lakini sikufanikiwa kuendelea na masomo kwa sababu kadhaa nikajishughulisha na biashara.
Kwa sasa naona kiasi nina utulivu nataka niendelee na masomo na nafikiria kusoma diploma ya computer science, japokuwa napata mawazo mara mbili mbili juu ya course sahiho ya kusoma inayoendana na wakati na mazingira ya nchi yetu,pia vilevile ni chuo gani bora cha kusoma.
Naombeni muongozo wakuu.
AKWAKACHA ndio nini mkuuUsithubutu kusoma AKWAKACHA,
Niulize mimi.
Shukran mkuuPublic health itakutoa
Noted kiongoziSoma unachopenda ww
Mbona na mwanangu kapiga hiyo level ya Degree sahv anapaa tu mwewe mara mafia sijuo pemba kiufupi mwamba kabadirika haswaahUsithubutu kusoma AKWAKACHA,
Niulize mimi.
Aquaculture ni kozi inayohusu viumbe wa majini.AKWAKACHA ndio nini mkuu
Hapana seems he is smart enough....11 years passed, kwa hii nchi hata ulichosoma vitabu vilishaondolewa kwenye system.
Piga za afya anza na clinical medicine....Habari wakuu,mimi nilimaliza form 4 takriban miaka 11 iliyopita, nilifaulu vizuri tu,nikiwa na A zote PCB na PCM, nilichaguliwa kwenda advance shule nzuri tu lakini sikufanikiwa kuendelea na masomo kwa sababu kadhaa nikajishughulisha na biashara.
Kwa sasa naona kiasi nina utulivu nataka niendelee na masomo na nafikiria kusoma diploma ya computer science, japokuwa napata mawazo mara mbili mbili juu ya course sahiho ya kusoma inayoendana na wakati na mazingira ya nchi yetu,pia vilevile ni chuo gani bora cha kusoma.
Naombeni muongozo wakuu.
Ndugu yangu kahitimu Degree SUA, kafaulu fresh tu, ila nd'o hivyo tunatoka familia ambayo haina connection yoyote.Mbona na mwanangu kapiga hiyo level ya Degree sahv anapaa tu mwewe mara mafia sijuo pemba kiufupi mwamba kabadirika haswaah
Sawasawa chief nimekupataAquaculture ni kozi inayohusu viumbe wa majini.
Hii kozi inamtesa ndugu yangu,
Amezunguka sana kutafuta kijiwe, ila hajaambulia chochote.
Public health itakutoa
Piga za afya anza na clinical medicine....
Acha uongo ww11 years passed, kwa hii nchi hata ulichosoma vitabu vilishaondolewa kwenye system.