Asante kwa ushauri,kuna pointi hapo kwenye maelezo yako nimeichukuaOk hata kama uishi nao bado wajengee kujitegemea full stop ujue kuna vtu vya msingi vya kusaidia na shida nyingine n za kawaida ambazo mtu anatatua mwenyewe
HILI NI TATIZO LA WENGIKwa muda wa miaka minne nimekaa na tatizo hili sasa ninadhani ni wakati muafaka wa kuomba ushauri!!
Mimi ninafanya kazi inayoniingizia kwa mwezi sh.700,000/= tasilimu.Sijajenga nyumba ila nina uwanja.
Naombeni ushauri namna ya kupanga bajeti na kuiishi.Nipo jijini Mbeya.
Nimepanga ninalipa sh.100000/= kama kodi ya nyumba kwa mwezi.Kazi ninayofanya inaniacha huru jumamosi na jumapili tu.
Nina mke na watoto wawili.Ingawa siishi nao ila nina wadogo zangu 4 wananitegemea pamoja na mama yangu!Kwa miaka hiyo nimekuwa kama ninapigamarktime!
Bila kusonga mbele.NISAIDIENI NAMNA YA KUPANGA BAJETI NA KUIFUATA!!!!!
Pango sh.100,000/=Tafuta Makazi ya 50,000
Ada ya mtoto sh.50,000/= kwa mwezi
Akiba sh.200,000/=Ongeza 50,000
Maji na umeme sh.50,000/=Hizi ni 20,000 si zaidi
Chakula sh.200,000/=
Mavazi sh.50,000/=
Matibabu (Bima ya afya)
Sadaka sh.30,000/=
Mengineyo sh.20,000/=
Daaaaa br una familia kubwa sanaaaaaaAsante kwa ushauri!Nitaufanyia kazi.Hata hivyo hayo mambo makubwa makubwa unayosema ndiyo niyashughulikie ndiyo yananishinda.Mfano kuna mdogo wangu nimemsomesha hadi kidato cha nne,matokeo siyo mazuri ananidai nimpeleke private school aanze mwanzo nami huo uwezo siyo siri sina.Mbaya zaidi hata mtoto wa dadangu naye ananibana anadai anataka shule.Mdogo wangu wa pili toka mwisho nilichukua hadi mkopo benki aweze kusoma kozi ya afya,kamaliza ila ajira imebuma!!!
Kwanza kabisa tafuta nyumba unayokaa na mwenye nyumba hapohapo..tena awe anaitegemea nyumba yake kuendesha maisha. Pia aweKwa muda wa miaka minne nimekaa na tatizo hili sasa ninadhani ni wakati muafaka wa kuomba ushauri!!
Mimi ninafanya kazi inayoniingizia kwa mwezi sh.700,000/= tasilimu.Sijajenga nyumba ila nina uwanja.
Naombeni ushauri namna ya kupanga bajeti na kuiishi.Nipo jijini Mbeya.
Nimepanga ninalipa sh.100000/= kama kodi ya nyumba kwa mwezi.Kazi ninayofanya inaniacha huru jumamosi na jumapili tu.
Nina mke na watoto wawili.Ingawa siishi nao ila nina wadogo zangu 4 wananitegemea pamoja na mama yangu!Kwa miaka hiyo nimekuwa kama ninapigamarktime!
Bila kusonga mbele.NISAIDIENI NAMNA YA KUPANGA BAJETI NA KUIFUATA!!!!!
hapo panga nyumba unayokaa na mwenye nyumba hapohapo na mwenye nyumba awe anaitegemea nyumba yake kuendesha maisha yake. Pia chukua mkeo wanao na ndugu zako kaa nao hapo.hapo utapata study nzuri na murua juu ya kupanga bajeti tena kwa vitendo na si kwa kufundishwa..bajeti itakuja automaticallyKwa muda wa miaka minne nimekaa na tatizo hili sasa ninadhani ni wakati muafaka wa kuomba ushauri!!
Mimi ninafanya kazi inayoniingizia kwa mwezi sh.700,000/= tasilimu.Sijajenga nyumba ila nina uwanja.
Naombeni ushauri namna ya kupanga bajeti na kuiishi.Nipo jijini Mbeya.
Nimepanga ninalipa sh.100000/= kama kodi ya nyumba kwa mwezi.Kazi ninayofanya inaniacha huru jumamosi na jumapili tu.
Nina mke na watoto wawili.Ingawa siishi nao ila nina wadogo zangu 4 wananitegemea pamoja na mama yangu!Kwa miaka hiyo nimekuwa kama ninapigamarktime!
Bila kusonga mbele.NISAIDIENI NAMNA YA KUPANGA BAJETI NA KUIFUATA!!!!!