Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Hujaona huko juu mmoja amesema mtoto wake walikuwa wanacheza kushikana makalio.Ulioa singo maza? Kwanini useme ni kijana wa wife?
Jibu haya maswali nijue pa kuanzia
Hii ni kiama ya wote kila mtu ajipange kuokoa watoto.