Hujaona huko juu mmoja amesema mtoto wake walikuwa wanacheza kushikana makalio.Ulioa singo maza? Kwanini useme ni kijana wa wife?
Jibu haya maswali nijue pa kuanzia
Ulitaka asemeje...??Kwanini umetanguliza kusema "ni wa wife"?
Naunga mkono hojaPengine kuna mipaka kwenye malezi maana si wake
@mr vocha Mjep shikamoo pia[emoji3061]Shikamoo
Umepotea sana@mr vocha Mjep shikamoo pia[emoji3061]
Aisee, sijui shida nini tu. Watoto wadogo mambo kama hayo wanayaonea kwa television au? Tumefikia pabaya sanaHujaona huko juu mmoja amesema mtoto wake walikuwa wanacheza kushikana makalio.
Hii ni kiama ya wote kila mtu ajipange kuokoa watoto.
nilivyomleta huku akafanyiwa tena.
Nipo mbona wewe tu umeadimika upo shamba?Umepotea sana
Awa si ndio mashoga wenyewe yeye ameona aya ya mwisho tu hapo.Apigwe ban kafanya nn