X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Pensheni mpaka 60? Kazi anayoHamna tatizo hapo. Msimpangie Mama yenu Nani wa ku-enjoy nae. Wacheni Mama afurahie uumbaji. Mm mwenyewe ninakula Mama wa design hiyo kwake Sinza Madukani naujua utamu wake. Hapo Jamaa analenga pensheni
Miaka 8 ya kusubiria pensheni si mingi. Uzuri bado anapewa huduma zote na Mama la Mama.
Usikute huyo Baba ndio analipa ada na kuendesha Familia, Any way kaeni chini na Mama mwambieni mnavyojisikia.
Kitu cha kwanza tambueni kuwa jinsi mnavyogombana naye ndivyo mbavyokaribisha pepo lake liwaingie na kuwatesa maishani.Habari zenu,
Nimekuja na ID mpya ili kuficha utambulisho wangu wa awali ni kuomba msaada wa ushauri.
Naombeni ushauri na njia za kutatua tatizo hili.Ipo hivi kwenye tumbo la Mama yetu tulikuwa watoto 7 hadi Leo hii tupo 4. Katika watoto 7 tumezaliwa na Baba tofautitofauti 4. Katika hao baba zetu kuna moja wao ndio tumekuliwa kwake toka tukiwa wadogo badaye miaka 6 iliyopita Mama alitengana Nate.
Mama ni mtumishi wa umma, hivyo alinunua kiwanja na kujenga nyumba ambapo watoto wote 4 tuliongozana nae na kwenda kuishi nae, maana haikuwezekana kukaa tena kwa huyo baba mlezi sababu katika wathili.4 tuliobaki kati yetu 1 tu ndio mwanae kwahiyo ikabidi wote sisi sote tuongozane na mama. Ikumbuke kuwa katika sisi watoto 4, mtoto 1 hamjui baba yake wengine 2 Baba yao alifariki na mtoto 1 baba take ndio huyo aliyetulea.
Sisi sote miaka yetu ni 24+ na Mama yetu ni 52, jambo linalotusumbua ni kuwa Mama yetu ana mwanaume mwingine ambaye ni mume wa mtu. Jamaa huyu huwa anakuja na kulala hapa nyumbani karibu kila siku; huwa anasitisha kuja pale ambapo kaka yetu mkubwa akija nyumbani.
Ndugu na marafiki wamejaribu kumshauri mama kuwa tayari umri umekwenda na ana vijana wakubwa anatakiwa kuacha mambo hayo pasipo mafanikio, haelezeki wala haambiwi chochote. Kwa sasa tumefunga chuo sababu ya hii CORONA nipo hapa home naona aibu kijiji kizima kinatuzungumza.
Kaka yangu mkubwa alijaribu kuongea na huyo bwana mwaka jana; kwa kweli jamaa alisitisha kama miezi 2 hivi pasipo kuonekana, badaye ratiba ikaanza kama kawaida nimemjulisha kaka atafute siku 3 nyumbani tusaidiane kutatua tatizo hili. Pia, kila tukimsuhi Mama kuacha hiyo tabia majibu anayotupa ni kuwa huu mji ni wake na hamna aliyemsaidia kujenga hivyo anafanya chochote atakacho.
Ndugu zangu wana JF, naombeni msaada wa mawazo namna ya kutatua tatizo hili.
Hahahaha itakua wewe ni mmoja wa watoto wa huyo mama, poleni kwa mnayopitia.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Mama ana behave vipi?Huwa tunawatazama wazazi kama role models katika vitu vingi. Mama anavibehave hivyo, inakatisha tamaa, na inasonenesha sana. Na jamaa kazungumzia yeye ni mwanafunzi, bado anategemea msaada wa wazazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama ana behave vipi?
Yaan kwa kua ana watoto ndio asiwe na mpenzi? Mbona watu mnakua selfish sana, kwani yeye sio binaadam? Hana matamanio?
Angekua anabadilisha leo mwanaume huyu kesho yule hapo home hapo sawa lakini kampata mwenza wake kwanini asi enjoy?
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Miaka 52 sio mzeeWatoto saba, wanaume wanne. Na huyu wa tano. Mama ana shida huyo. Hata kina Wema Sepetu huzeeka ujue
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kujua kama mama mtu bado analiwa au???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] au maendeleo gani..Vipi maendeleo Huko? Ba Mdogo Hajaweka Mambo bado?
So far Mama hajavunja Sheria yoyoteMama ana behave vipi?
Yaan kwa kua ana watoto ndio asiwe na mpenzi? Mbona watu mnakua selfish sana, kwani yeye sio binaadam? Hana matamanio?
Angekua anabadilisha leo mwanaume huyu kesho yule hapo home hapo sawa lakini kampata mwenza wake kwanini asi enjoy?
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Mkuu umenichekesha sana..Vipi maendeleo Huko? Ba Mdogo Hajaweka Mambo bado?