Naombeni ushauri kuhusu mahusiano haya ya mama yangu na huyu mwanaume

watoto lazima tutambue kuwa kuna mambo tunaweza kuwashauri wazazi wetu....lakini kuna mambo yao mengine ni vigumu kuwashauri....kamwe huwezi kumshauri mzazi wako mambo ya mapenzi...kumbuka kuwa alie mpenda mama yako ndie baba yako...
 
Kitu cha kwanza tambueni kuwa jinsi mnavyogombana naye ndivyo mbavyokaribisha pepo lake liwaingie na kuwatesa maishani.
Ukiwa mwanamke ogopa sana kuzalia nyumbani hiyo haifi na uzao wako watafanya hivyo.
Pambaneni na namna ya kuepuka tabia ya mama kuwa yenu.Ni wazi mama kashindwa kuishi na wanaume kwa tabia zake za ubabe.Tena nahisi kazi ya mama ni mwalimu ama nesi.
Ushauri wangu kwako achaneni naye kabisa mkishindwa shirikisheni ndugu nayo isiwe lazima kwa sababu tatizo la mama lipo ktk damu ambayo tayari imewaumba mnaishi nayo hivyo probability ya ninyi kuwa hivyo ni kubwa ingawa mwaweza kujiepusha.


Poleni kwa hayo yanayowasibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie mlitaka Mama awe analiwa na bodaboda wa kitaa?
 
Hamna tatizo hapo. Ona Ankali Shante anavolelewa kwa gharama ya kuzungusha kiuno.
 
Huyo mama anaonekana anaishi maisha ya usichana wakat abakaribia kuwa bb. Kwa nn asiende kuish kwa huyo mwanaume huko aliko huyo mwanaume. Kuketa mwanaume humo ndani anakuwa anajidharau sana
 
Hahahaha itakua wewe ni mmoja wa watoto wa huyo mama, poleni kwa mnayopitia.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.

Huwa tunawatazama wazazi kama role models katika vitu vingi. Mama anavibehave hivyo, inakatisha tamaa, na inasonenesha sana. Na jamaa kazungumzia yeye ni mwanafunzi, bado anategemea msaada wa wazazi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa tunawatazama wazazi kama role models katika vitu vingi. Mama anavibehave hivyo, inakatisha tamaa, na inasonenesha sana. Na jamaa kazungumzia yeye ni mwanafunzi, bado anategemea msaada wa wazazi.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mama ana behave vipi?
Yaan kwa kua ana watoto ndio asiwe na mpenzi? Mbona watu mnakua selfish sana, kwani yeye sio binaadam? Hana matamanio?
Angekua anabadilisha leo mwanaume huyu kesho yule hapo home hapo sawa lakini kampata mwenza wake kwanini asi enjoy?


Boost your Immune System to fight a Covid-19.
 
Bado tuu hamjamzoea mama yenu.kwa mujibu wa maelezo yenu mama yenu amewazaa kutoka kwa wababa tofauti .so ameshazoea huenda alikuwa hana mpango wa kuwapata nyinyi ilikuwa ni mimba za bahati mbaya wakati wa starehe zake.

maadamu hata munasomeshwa mpaka chuo ,nyie subirieni chuo kifunguliwe muende chuoni sasa hivi huyo jamaa endeleeni kuwita uncle.sababu huwezi jua labda ndiyo anayelipa ada zenu za chuo na mahitaji yote hapo home
 

Watoto saba, wanaume wanne. Na huyu wa tano. Mama ana shida huyo. Hata kina Wema Sepetu huzeeka ujue


Sent using Jamii Forums mobile app
 
So far Mama hajavunja Sheria yoyote
 
Vipi maendeleo Huko? Ba Mdogo Hajaweka Mambo bado?
Mkuu umenichekesha sana..
Bwana mdogo alileta mada hakutegemea replies za kibazazi.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Everyday is Saturday........................... 😎
 
Bila Shaka Wanakula Maisha
Cosota Imesota Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…