Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Kama huna pesa ya kutoa usiingie kwenye mahusiano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba helaKitu kimoja unatakiwa kujua ni kuwa mwanamke akimpenda mtu kwa dhati toka moyoni kabisa huwa hamuombi hela kabisa! Amini kabisa nakwambia. Ukimsaidia sawa usipompa hakuombi!
Ukiona mwanamke anaomba sana hela jua anakuchukulia poa na hajali ukiondoka maishani mwake au ukibaki.
Nje ya mada, huyu dada umeshagonga au bado?
Kumbe unajiita Nebukadneza harafu hujui hata Maana yake?Habari zenu.
Aisee kuna mwanamke nimeingia naye kwenye mahusiano nina kama week sasa kasha nitoboa pesa kibao,yani sijui kaniona nina pesa sana,akikaa kidogo lazima aje ofisini anitoboe pesa,nishachoka sasa naombeni msaada nimkabili kwa dizaini gani,maana huku kuna wataalam wa mambo haya na jinsi ya kukomaa na wanawake wa dizaini hii.
Wakurungwaaa nisaidieni naona naenda kufilisika kisa mbunyenye
You are very correct 100% according to My Experience.Kitu kimoja unatakiwa kujua ni kuwa mwanamke akimpenda mtu kwa dhati toka moyoni kabisa huwa hamuombi hela kabisa! Amini kabisa nakwambia. Ukimsaidia sawa usipompa hakuombi!
Ukiona mwanamke anaomba sana hela jua anakuchukulia poa na hajali ukiondoka maishani mwake au ukibaki.
Nje ya mada, huyu dada umeshagonga au bado?
HeheeOngeza kutoa kwa wingi tu hio ndio njia bora🤣