Toka nje then jipige pige kifuani kwa uchungu huku ukisema 'MIMI NI FALAAAAAAAAAAAAAAA'.
dodge
Mda mchache nimetoka kutuma M-pesa kwa mdada amabye tumejuana jana tu kwa Instagram, sasa nimemtumia kiasi cha pesa Tsh10k. Tangu asbh ya saa 10am sasa nashangaa kila baada ya saa 1hr yeye ananiambia kuwa anamalizia kazi. Me niko Morogoro yeye anasema yuko Kibaha.
Sasa nishaurini nichukue hatua gani Maana nahisi kama nimeibiwa hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushaliwaaaa [emoji2997][emoji2997][emoji2997]
HahahahaToka nje then jipige pige kifuani kwa uchungu huku ukisema 'MIMI NI FALAAAAAAAAAAAAAAA'.
dodge
AbeeehShunie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] NakaziaToka nje then jipige pige kifuani kwa uchungu huku ukisema 'MIMI NI FALAAAAAAAAAAAAAAA'.
dodge