Naombeni ushauri kwa hili. Nimetuma pesa kwa Dada niliyejuana naye Instagram

Naombeni ushauri kwa hili. Nimetuma pesa kwa Dada niliyejuana naye Instagram

Ulishindwa kutafuta wa hukohuko Morogoro au ndio Moro hawatumii insta??!

Don't hunt what you can't kill.
 
Mda mchache nimetoka kutuma M-pesa kwa mdada amabye tumejuana jana tu kwa Instagram, sasa nimemtumia kiasi cha pesa Tsh10k. Tangu asbh ya saa 10am sasa nashangaa kila baada ya saa 1hr yeye ananiambia kuwa anamalizia kazi. Me niko Morogoro yeye anasema yuko Kibaha.

Sasa nishaurini nichukue hatua gani Maana nahisi kama nimeibiwa hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
Potezea mkuu , pengine yupo Mwanza kakuzuga tuu kuwa yupo Dar na yupo njiani kuja Morogoro
 
Elfu kumi 🤣🤣🤣🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Daaah, hyo Kibaha unanokumbusha mrembo mmoja hapa site from Kibaha namuelewa sana IseeH
 
Mkiambiwa mtoe sadaka nzuri kwenye nyumba za ibada mnakuwa wagumu. Bora umeibiwa ili akili ikukae sawa
Mda mchache nimetoka kutuma M-pesa kwa mdada amabye tumejuana jana tu kwa Instagram, sasa nimemtumia kiasi cha pesa Tsh10k. Tangu asbh ya saa 10am sasa nashangaa kila baada ya saa 1hr yeye ananiambia kuwa anamalizia kazi. Me niko Morogoro yeye anasema yuko Kibaha.

Sasa nishaurini nichukue hatua gani Maana nahisi kama nimeibiwa hivi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona kazi yako
Kibaha sehemu gani nikusaidie mkuu
Maili moja
Kwa mbonde
Kwa matiasi
Msikitini
Pangani
Mwanalugali
Tanita
Kwa mfipa
Mwendapole
Kongowe
Miembe Saba
Misugusugu
Kwa kipofu
Maili 35
Madafu
Miwaleni shule
Msufini
Mlandizi
Ruvu
Vigwaza
Mtongani
Mlandizi bondeni
Soga
Kwala
Ruvu
Magindu




Wapi mzee sema nkamtafte chap nmpandishe gari aje?



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtumie na mama yako kijijini elfu 10 ili akupe baraka zake ili kidosho afunguliwe njia aje.
 
Mkuu wewe ni mtu mwema sana tena una huruma


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kunywa maji mengi maana nahisi now unatokwa na Jasho jingi mno, pia kama ulishanunua zile dawa za kuongeza nguvu basi nakushauri karudishe Nusu harasa ma hilo Duka la Dawa
 
Back
Top Bottom