Potezea mkuu , pengine yupo Mwanza kakuzuga tuu kuwa yupo Dar na yupo njiani kuja MorogoroMda mchache nimetoka kutuma M-pesa kwa mdada amabye tumejuana jana tu kwa Instagram, sasa nimemtumia kiasi cha pesa Tsh10k. Tangu asbh ya saa 10am sasa nashangaa kila baada ya saa 1hr yeye ananiambia kuwa anamalizia kazi. Me niko Morogoro yeye anasema yuko Kibaha.
Sasa nishaurini nichukue hatua gani Maana nahisi kama nimeibiwa hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Toka nje then jipige pige kifuani kwa uchungu huku ukisema 'MIMI NI FALAAAAAAAAAAAAAAA'.
dodge
πππππππfala sana wewejipige dole alafu jinuse, kitaalamu hii inapunguza uchungu moyoni
hahaa! mleta mada amenikera sana, yan afanye yeye nione aibu mm alaaaπππππππfala sana wewe
πππππhahaa! mleta mada amenikera sana, yan afanye yeye nione aibu mm alaaa
Mda mchache nimetoka kutuma M-pesa kwa mdada amabye tumejuana jana tu kwa Instagram, sasa nimemtumia kiasi cha pesa Tsh10k. Tangu asbh ya saa 10am sasa nashangaa kila baada ya saa 1hr yeye ananiambia kuwa anamalizia kazi. Me niko Morogoro yeye anasema yuko Kibaha.
Sasa nishaurini nichukue hatua gani Maana nahisi kama nimeibiwa hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kibaha sehemu gani nikusaidie mkuu
Maili moja
Kwa mbonde
Kwa matiasi
Msikitini
Pangani
Mwanalugali
Tanita
Kwa mfipa
Mwendapole
Kongowe
Miembe Saba
Misugusugu
Kwa kipofu
Maili 35
Madafu
Miwaleni shule
Msufini
Mlandizi
Ruvu
Vigwaza
Mtongani
Mlandizi bondeni
Soga
Kwala
Ruvu
Magindu
Wapi mzee sema nkamtafte chap nmpandishe gari aje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Usimuamini huyu baharia.π€£π€£π€£π€£ hiyo efu kumi yako bora ungelipia units za umeme
Dah nimecheka kifala sanaToka nje then jipige pige kifuani kwa uchungu huku ukisema 'MIMI NI FALAAAAAAAAAAAAAAA'.
dodge