Naombeni ushauri: Nataka kumzuia mama yangu asiolewe tena baada ya baba kufariki

Vipi ulifanikiwa kumzuia bi mkubwa au Ndo mpo kwwnye vikao vya harus...
 
Kama mzee anajiweza, aondoke nae kwake na sio nyumbani kwa mama. Kuna mahitaji mengine ya lazima kwa mama ambayo watoto hamuwezi kumtimizia.
 
kuna wajinga wanasapoti huo upuuzi,wakagonganie huko ila siyo kwa baba yangu huyo bi mkubwa wa kuchapwa viboko kabisaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…