Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
SijamshirikishaMkeo anasemaje? Maana ni partner wako
Sijamshirikisha
Sina mali nyingi ila nashukuru Nina nyumba kadha wa kadha, viwanja , mashamba na mifugo kijijini kwetu.
Watoto wangu wanasoma na watamaliza bila shaka. Nimetafakari haya maisha hayana garantii naweza kufa saa yeyote je kwanini nisianze kula mali zangu taratibu kabla sijafa? Naombeni ushauri.
weka bei na ni mkoa gani tununue, maisha ni haya hayaSina mali nyingi ila nashukuru Nina nyumba kadha wa kadha, viwanja , mashamba na mifugo kijijini kwetu.
Watoto wangu wanasoma na watamaliza bila shaka. Nimetafakari haya maisha hayana garantii naweza kufa saa yeyote je kwanini nisianze kula mali zangu taratibu kabla sijafa? Naombeni ushauri.
Sina mali nyingi ila nashukuru Nina nyumba kadha wa kadha, viwanja , mashamba na mifugo kijijini kwetu.
Watoto wangu wanasoma na watamaliza bila shaka. Nimetafakari haya maisha hayana garantii naweza kufa saa yeyote je kwanini nisianze kula mali zangu taratibu kabla sijafa? Naombeni ushauri.
UZA TU KWANI SISI INATUHUSU MKUUSina mali nyingi ila nashukuru Nina nyumba kadha wa kadha, viwanja , mashamba na mifugo kijijini kwetu.
Watoto wangu wanasoma na watamaliza bila shaka. Nimetafakari haya maisha hayana garantii naweza kufa saa yeyote je kwanini nisianze kula mali zangu taratibu kabla sijafa? Naombeni ushauri.
Hata ukiviacha wanatoana roho kwa kuvigombaniaNa hii ndio sababu kubwa kwanini ngozi nyeupe inatuzidi mbali, sisi ni wabinafsi sana tunataka tunapopotea kwenye uso wa dunia basi tupotee na kila kitu chetu tulichofanikiwa kuwa nacho.
Hii ni roho ya kuendeleza umasikini kizazi hadi kizazi, kuna hasara gani wanao, wajukuu, wakinufaika na matunda aliyopanda baba/babu yao?
Muulize mkeoSijamshirikisha
Bado sio sababu ya kusema uuze ule bata. Acha kisheriaHata ukiviacha wanatoana roho kwa kuvigombania