Naombeni ushauri, nataka nimuache na kumsahau huyu Mwanamke

Naombeni ushauri, nataka nimuache na kumsahau huyu Mwanamke

Aisatu

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
781
Reaction score
333
Habar wadau,

Ni hivi nimekuwa na mahusiano na demu taklibani miez 3, sasa analeta mambo ambayo hata hayaeleweki mim nilimuomba mahusiano ya kimapenzi, sasa tumezoeana sana, mara nyingine tunatukanana hadi tunataka kuachana kila tukitaka kuachana yeye ndo anaanzisha mada ya kuachana lakini mwisho wa siku mimi nikisema tuachane siliazi anaanza kunizushia maneno kibao.

Tumeenda kipindi kirefu sana hadi nimejistukia kuwa siwezi kumuacha, sasa nilikuwa naomba ushauri wenu na hivi sasa tushagombana tena mimi nataka niachane naye mazima, naombeni mbinu ya namna ya kumsahau huyu mwanamke maana hadi nahisi nimepotea kabisa mwanamke mwenyewe ni mama wa watoto 2.

Naomba kuwasilisha!
 
Unatukanana na mwanamke are u mad!

Unazoesha mwanamke akutukane uko sawa kweli!!

Mwanamke hana adabu kabisa.

Ningependa kujua umri wako kwanza Chief ili nikushauri kama mwanamke.

Ningekuwa mwanaume halafu mwanamke ananinyanyulia tusi kunywani mwake,,hata kabla hajalimalizia ameshakula kelebu moja nzito mnoo mdomo ufunge wenyewe
 
Sasa kijana unaomba ushauri wakati yanayokuchosha unayaona kabisa,ukitaka kumuacha mtu moyo Ndio unaamua bhana.

Wewe tulia hapo akuoneshe movie Hilo trailer ..movie likizidi moyo ukiamua kuacha bhas hutoomba ushauri.
 
OFFICER DOWN
I REPEAT OFFICER DOWN DO YOU COPY ...

IMG_4815.jpg
 
Habar wadau,ni hiv nimekuwa na mahusiano na demu taklibani miez 3,sasa analeta mambo ambayo hata hayaeleweki mim nilimuomba mahusiano ya kimapenzi,sasa tumezoeana sana,mara nyingine tunatukanana hadi tunataka kuachana kila tukitaka kuachana yeye ndo anaanzisha mada ya kuachana lkn mwisho wa siku mim nikisema tuachane siliazi ananza kunizushia maneno kibao,tumenda kipindi kirefu sana hadi nimejistukia kuwa siwez kumuacha,sasa nilikuwa naomba ushauri weni na hiv sasa tushagombana tena mim nataka niachane naye mazima,naombeni mbinu ya namna ya kumsahau huyu mwanamke maana hadi nahisi nimepotea kbs demu mwenyew ni mama wa watoto 2.Naomba kuwasilisha!


Usimuache kabla hajakupa mchezo

Tofauti na hapo atakutukana maisha yako yote
 
Habar wadau,ni hiv nimekuwa na mahusiano na demu taklibani miez 3,sasa analeta mambo ambayo hata hayaeleweki mim nilimuomba mahusiano ya kimapenzi,sasa tumezoeana sana,mara nyingine tunatukanana hadi tunataka kuachana kila tukitaka kuachana yeye ndo anaanzisha mada ya kuachana lkn mwisho wa siku mim nikisema tuachane siliazi ananza kunizushia maneno kibao,tumenda kipindi kirefu sana hadi nimejistukia kuwa siwez kumuacha,sasa nilikuwa naomba ushauri weni na hiv sasa tushagombana tena mim nataka niachane naye mazima,naombeni mbinu ya namna ya kumsahau huyu mwanamke maana hadi nahisi nimepotea kbs demu mwenyew ni mama wa watoto 2.Naomba kuwasilisha!
Simple tu! Kopa pesa nyingi kwa mtu mtata anaejua kudai, Kopa pesa ambayo unajua huwezi kuilipa kirahisi, then fungua biashara anza kujikita na biashara zaidi yenye faida ndogo sana..

Mbona jamaa akianza kukudai na kukusumbua kila saa tena anakusaka kila kona mbona utamsahau tu huyo mama, Stress za madeni zitakushape tu akili...
 
Simple tu! Kopa pesa nyingi kwa mtu mtata anaejua kudai, Kopa pesa ambayo unajua huwezi kuilipa kirahisi, then fungua biashara anza kujikita na biashara zaidi yenye faida ndogo sana..

Mbona jamaa akianza kukudai na kukusumbua kila saa tena anakusaka kila kona mbona utamsahau tu huyo mama, Stress za madeni zitakushape tu akili...
Au afanye biashara ya vyombo vya moto kama pikipiki,bajaji, hiace akiona simu ya dereva tu akili inarejea back to default settings.
 
Kadri siku zinavyozidi kwenda na ndivyo idadi ya wanaume inazidi kupungua. Hilo nalo la kuomba ushauri? Mambo mengine ni kujitafutia fedheha ndogondogo.
Dunia ya sasa imani imekwisha
Si wanaume
Si wanawake
Si vijana
Si wazee

Marijan Rajab
 
Back
Top Bottom