Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Kazi kweli kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah kuna watu hawako serious hapa duniani mkuu.Miezi 3 au miaka 3?
Dah kuna watu hawako serious hapa duniani mkuu.
Serious ni maeneo gani ukoDah kuna watu hawako serious hapa duniani mkuu.
Yeah! Ndio ivo mkuu anatakiwa apige kazi za stress tupu aache kuendeshwa na mapenzi ya mama wawili..Au afanye biashara ya vyombo vya moto kama pikipiki,bajaji, hiace akiona simu ya dereva tu akili inarejea back to default settings.
Nakaziaa tu asichukulie utani n muhimu atakushukuru baadaeKazi ndogo sana,.
Chukua unga wa pilipili, jivu kidogo pamoja na limao, changanya pomoja harafu jipake usoni.
Hivyo TU
Habar wadau,
Ni hivi nimekuwa na mahusiano na demu taklibani miez 3, sasa analeta mambo ambayo hata hayaeleweki mim nilimuomba mahusiano ya kimapenzi, sasa tumezoeana sana, mara nyingine tunatukanana hadi tunataka kuachana kila tukitaka kuachana yeye ndo anaanzisha mada ya kuachana lakini mwisho wa siku mimi nikisema tuachane siliazi anaanza kunizushia maneno kibao.
Tumeenda kipindi kirefu sana hadi nimejistukia kuwa siwezi kumuacha, sasa nilikuwa naomba ushauri wenu na hivi sasa tushagombana tena mimi nataka niachane naye mazima, naombeni mbinu ya namna ya kumsahau huyu mwanamke maana hadi nahisi nimepotea kabisa mwanamke mwenyewe ni mama wa watoto 2.
Naomba kuwa
Aisee.Unatukanana na mwanamke are u mad!
Unazoesha mwanamke akutukane uko sawa kweli!!
Mwanamke hana adabu kabisa.
Ningependa kujua umri wako kwanza Chief ili nikushauri kama mwanamke.
Ningekuwa mwanaume halafu mwanamke ananinyanyulia tusi kunywani mwake,,hata kabla hajalimalizia ameshakula kelebu moja nzito mnoo mdomo ufunge wenyewe