Naombeni ushauri ndugu zangu

Naombeni ushauri ndugu zangu

Mkuu unatokea
Jambo ndugu zangu
Naomba ushauri wa mawazo kutoka kwenu
Mwezi wa kwanza mwaka kesho nilichukuwa mke
Lakini baada ya miaka Kazaa Kupita
Yule mwanamke nilianza kuona tabia zake baba yake na mjomba wakashauri familia juu mke wake na mama
Sasa ilo jambo linanitatiza
Sijui nyinyi mnanishauri nini
goma pale pale ama ni Kinshasa?
 
Shida yako na mkeo ni kitu gani? Umeandika nusu nusu vitu visivyoeleweka ndio maana unapopolewa na ma GT's.
 
Jambo ndugu zangu
Naomba ushauri wa mawazo kutoka kwenu
Mwezi wa kwanza mwaka kesho nilichukuwa mke
Lakini baada ya miaka Kazaa Kupita
Yule mwanamke nilianza kuona tabia zake baba yake na mjomba wakashauri familia juu mke wake na mama
Sasa ilo jambo linanitatiza
Sijui nyinyi mnanishauri nini

Active kuna uzi wa kuupeleka Recycle Bin huku...
 
Sijui mudi wanasubiri nini kufanya usafi hapa...☹️
 
Oya jamaa naona umechanganyikiwa hadi kuandik hujui au kama vip rudi shule
 
Jambo ndugu zangu
Naomba ushauri wa mawazo kutoka kwenu
Mwezi wa kwanza mwaka kesho nilichukuwa mke
Lakini baada ya miaka Kazaa Kupita
Yule mwanamke nilianza kuona tabia zake baba yake na mjomba wakashauri familia juu mke wake na mama
Sasa ilo jambo linanitatiza
Sijui nyinyi mnanishauri nini
Umetoroka milembe?
Yaani ushafika mwaka kesho?😂😂😂
Afu stori hii ya mwaka kesho bado haijaeleweka 😁 rudi wodini kwanza ukachomwe sindano akili itulie
 
Jambo ndugu zangu
Naomba ushauri wa mawazo kutoka kwenu
Mwezi wa kwanza mwaka kesho nilichukuwa mke
Lakini baada ya miaka Kazaa Kupita
Yule mwanamke nilianza kuona tabia zake baba yake na mjomba wakashauri familia juu mke wake na mama
Sasa ilo jambo linanitatiza
Sijui nyinyi mnanishauri nini
Wahi mirembe we mwehu,kati ya wale vichaa tisa kati ya watz 10 we umecover nafasi mbili.
 
Jambo ndugu zangu
Naomba ushauri wa mawazo kutoka kwenu
Mwezi wa kwanza mwaka kesho nilichukuwa mke
Lakini baada ya miaka Kazaa Kupita
Yule mwanamke nilianza kuona tabia zake baba yake na mjomba wakashauri familia juu mke wake na mama
Sasa ilo jambo linanitatiza
Sijui nyinyi mnanishauri nini
Mwezi wa kwanza mwaka kesho?
Wewe utakuwa chekechea kabisa
 
Jambo ndugu zangu
Naomba ushauri wa mawazo kutoka kwenu
Mwezi wa kwanza mwaka kesho nilichukuwa mke
Lakini baada ya miaka Kazaa Kupita
Yule mwanamke nilianza kuona tabia zake baba yake na mjomba wakashauri familia juu mke wake na mama
Sasa ilo jambo linanitatiza
Sijui nyinyi mnanishauri nini
Kwa sasa ungesubiri kwanza. Tutakushauri huo mwezi wa kwanza, mwaka kesho.
 
  • Kicheko
Reactions: K11
Jambo ndugu zangu
Naomba ushauri wa mawazo kutoka kwenu
Mwezi wa kwanza mwaka kesho nilichukuwa mke
Lakini baada ya miaka Kazaa Kupita
Yule mwanamke nilianza kuona tabia zake baba yake na mjomba wakashauri familia juu mke wake na mama
Sasa ilo jambo linanitatiza
Sijui nyinyi mnanishauri nini
Soma ulicho kiandika
 
we jamaa ulisrma umeanza kutokwa na matako kuwa makubwa vp bado yameumuka au..?😂
 
Back
Top Bottom