Naombeni ushauri ndugu zangu

Naombeni ushauri ndugu zangu

BABA BOMBASTIC

Senior Member
Joined
Jul 10, 2024
Posts
146
Reaction score
246
Habari za mda huu

Nina million 1200000 wazo la biashara nililolipata ni kununu a pikipiki ya laki 8 alafu pesa inayobaki ninunue nguo za ndani za wadada na vigauni vikali niwe nawatembelea masaloon na kuwauzia je kwa hilo wazo nitafeli?

Maana nitakuwa na pikipiki nitakuwa na uwezo wa kuuza eneo kubwa na mzunguko utakuwa mkubwa.

Je, niwauzie vichupi au niangalie pamba kali za wadada?

Naombeni mnipe mawazo manzuri natanguliza shukrani.
 
Habari za mda huu

Nina million 1200000 wazo la biashara nililolipata ni kununu a pikipiki ya laki 8 alafu pesa inayobaki ninunue nguo za ndani za wadada na vigauni vikali niwe nawatembelea masaloon na kuwauzia je kwa hilo wazo nitafeli?

Maana nitakuwa na pikipiki nitakuwa na uwezo wa kuuza eneo kubwa na mzunguko utakuwa mkubwa.

Je, niwauzie vichupi au niangalie pamba kali za wadada?

Naombeni mnipe mawazo manzuri natanguliza shukrani.
Wauzie boyfriend.
 
Habari za mda huu

Nina million 1200000 wazo la biashara nililolipata ni kununu a pikipiki ya laki 8 alafu pesa inayobaki ninunue nguo za ndani za wadada na vigauni vikali niwe nawatembelea masaloon na kuwauzia je kwa hilo wazo nitafeli?

Maana nitakuwa na pikipiki nitakuwa na uwezo wa kuuza eneo kubwa na mzunguko utakuwa mkubwa.

Je, niwauzie vichupi au niangalie pamba kali za wadada?

Naombeni mnipe mawazo manzuri natanguliza shukrani.
Kwamba pikipiki laki 8?
 
Back
Top Bottom