Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kweli basi kila la heri mkuuMzee biashara ni mdomo wako lazima uwe unajua kuongea vinzuri na wateja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli basi kila la heri mkuuMzee biashara ni mdomo wako lazima uwe unajua kuongea vinzuri na wateja
Sawa je kwa hilo wazo litafanya kaziKweli basi kila la heri mkuu
Hilo gumu kwanini hiyo boda usiifanye ya kazi? Tafuta kijiwe piga kazi itakulipa, kama upo dar jisajili tax mtandao hutokosa pesa.Sawa je kwa hilo wazo litafanya kazi
Una milioni Moja na Laki Mbili (Kwa maneno), au Kwa tarakimu ni una sh. 1,200,000.Habari za mda huu
Nina million 1200000 wazo la biashara nililolipata ni kununu a pikipiki ya laki 8 alafu pesa inayobaki ninunue nguo za ndani za wadada na vigauni vikali niwe nawatembelea masaloon na kuwauzia je kwa hilo wazo nitafeli?
Maana nitakuwa na pikipiki nitakuwa na uwezo wa kuuza eneo kubwa na mzunguko utakuwa mkubwa.
Je, niwauzie vichupi au niangalie pamba kali za wadada?
Naombeni mnipe mawazo manzuri natanguliza shukrani.
Najua una milioni 1 na laki 2 tuu.Habari za mda huu
Nina million 1200000 wazo la biashara nililolipata ni kununu a pikipiki ya laki 8 alafu pesa inayobaki ninunue nguo za ndani za wadada na vigauni vikali niwe nawatembelea masaloon na kuwauzia je kwa hilo wazo nitafeli?
Maana nitakuwa na pikipiki nitakuwa na uwezo wa kuuza eneo kubwa na mzunguko utakuwa mkubwa.
Je, niwauzie vichupi au niangalie pamba kali za wadada?
Naombeni mnipe mawazo manzuri natanguliza shukrani.
Sahihi mkuu, dogo hajapiga hesabu vzr.Najua una milioni 1 na laki 2 tuu.
Ukinunua pikipiki yà laki 8 ujue hiyo làki nne inayobaki utamalizia kwa fundi kutengeneza hiyo pkpk.
Hivyo hutabaki na hela ya kuhonga viçhupi hào wadada.