Naombeni ushauri! Nilimsamehe, lakini sasa hanijibu simu wala SMS, nifanyeje?

Naombeni ushauri! Nilimsamehe, lakini sasa hanijibu simu wala SMS, nifanyeje?

Challya

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2019
Posts
469
Reaction score
606
Nina mpenzi wng ambae tulikuwa tunapendana sana, ni mwanamke ambae amekuwa akinionyesha maana halisi ya upendo wa dhati, amekuwa akinipenda na kuniheshimu sana tu na hatujawahi kugombana tangu tuwe pamoja. Ila siku ya Jumatano iliyopita nilienda kwake, maana huwa kuna wakati anakuja kwangu na mimi naenda kwake.

Sasa nilipokuwa kwake, kuna muda akaenda dukani akawa ameacha simu yake juu ya kochi( Mimi na yeye huwa hatufichani simu, kila mtu anajua password ya mwenzake), basi nikachukua simu yake, huwezi amini katika kuangalia kwenye SMS nikaona kuna namba ambayo haijaseviwa inaishia 32 ilituma SMS inayosema Hivi unablid mwezi mzima?`, daahh nlipata mshtuko hatari maana nlimuamini sana mpenzi wng na sikutegemea kitu kama hicho kwake.

Sasa mpnz wng, aliporudi kutoka dukani, ilibidi tu nimwambie alishtuka sana na akaanza kulia akidai eti huyo mtu hamjui, basi nikamwambia kama unasema humjui basi piga hiyo namba saiv nihakikishe kama humjui, akawa anakwepakwepa bila sababu za msingi baadae akakataa kabisa, huwezi alinifanya nikasirike haswa ila ni kwamba niljizuia tu nisimfanye kitu kibaya.

Baada ya kumtishia na kumbana sana akasema huyo mtu anamfahamu na ni Ex wake alikuwa nae kabla ya kuwa na mimi. Akaniamba msamaha sana akinipigia magoti huku akilia, mimi sikuongea tena kitu bali niliondoka hapo kwake nikiwa sipo sawa kabisa.

Kwa jinsi nilivyokuwa nampenda na mambo mengi mazuri niliyokuwa nimepanga na yeye, na jinsi ambavyo analia kuniomba msamaha, nkafikiria tu kwamba sisi wote ni binadamu hatujakamilika kila mtu ana mapungufu yake., so nikaamua tu kumsamehe na tukaendelea kuwa pamoja huku akiniahidi kutorudia tena.

Ila baada ya kumsamehe zikapita kama siku mbili nikimpigia simu hapokei, nikituma SMS hazijibiwi, ila WhatsApp anaview status zng vizuri tu, sasa hivi ni kama siku tatu zimepita hatuna mawasiliano kabisa, na mimi sasa hivi nimeamua tu kuwa kimya. nashindwa kuelewa mimi nimemkosea nini sas, naombeni ushauri wakuu!!
 
#bro mwanamke wapekeyako hakuna dunia yasasa_muhimu ajue kucheza na muda pia ahakikishe ww hujui

_ila huyo wakwako vyote kashindwa (piga chini kaka-ok fine kakosea sasa mbona anakasirika yeye..?) maana yake ww huna faida ukilinganisha nahuyo jamaa

NOTE: kama mwanamke hukumuoa hata kama umempangia nyumba unampa matumizi yote ila hakikisha ukitaka kwenda kwake mpe taarifa kwafaida yako mwenyewe
 
Mbona unajipa tabu san,najua inauma lkn utazoea tu piga moyo konde kubali kuwa huyo sio chaguo lako tena unapewa angalizo kabs huyo sio mwanamk wa kumuekea malengo atakuja kukuchapa tukio ambalo litakuumiza zaid achana nae ila km unampenda ww endelea nae lkn jua huyo ni paka mapepe
 
Nina mpenzi wng ambae tulikuwa tunapendana sana, ni mwanamke ambae amekuwa akinionyesha maana halisi ya upendo wa dhati, amekuwa akinipenda na kuniheshimu sana tu na hatujawahi kugombana tangu tuwe pamoja. Ila siku ya Jumatano iliyopita nilienda kwake, maana huwa kuna wakati anakuja kwangu na mimi naenda kwake.
Sasa nilipokuwa kwake, kuna muda akaenda dukani akawa ameacha simu yake juu ya kochi( Mimi na yeye huwa hatufichani simu, kila mtu anajua password ya mwenzake), basi nikachukua simu yake, huwezi amini katika kuangalia kwenye SMS nikaona kuna namba ambayo haijaseviwa inaishia 32 ilituma SMS inayosema Hivi unablid mwezi mzima?`, daahh nlipata mshtuko hatari maana nlimuamini sana mpenzi wng na sikutegemea kitu kama hicho kwake.
Sasa mpnz wng, aliporudi kutoka dukani, ilibidi tu nimwambie alishtuka sana na akaanza kulia akidai eti huyo mtu hamjui, basi nikamwambia kama unasema humjui basi piga hiyo namba saiv nihakikishe kama humjui, akawa anakwepakwepa bila sababu za msingi baadae akakataa kabisa, huwezi alinifanya nikasirike haswa ila ni kwamba niljizuia tu nisimfanye kitu kibaya.
Baada ya kumtishia na kumbana sana akasema huyo mtu anamfahamu na ni Ex wake alikuwa nae kabla ya kuwa na mimi. Akaniamba msamaha sana akinipigia magoti huku akilia, mimi sikuongea tena kitu bali niliondoka hapo kwake nikiwa sipo sawa kabisa.
Kwa jinsi nilivyokuwa nampenda na mambo mengi mazuri niliyokuwa nimepanga na yeye, na jinsi ambavyo analia kuniomba msamaha, nkafikiria tu kwamba sisi wote ni binadamu hatujakamilika kila mtu ana mapungufu yake., so nikaamua tu kumsamehe na tukaendelea kuwa pamoja huku akiniahidi kutorudia tena.
Ila baada ya kumsamehe zikapita kama siku mbili nikimpigia simu hapokei, nikituma SMS hazijibiwi, ila WhatsApp anaview status zng vizuri tu, sasa hivi ni kama siku tatu zimepita hatuna mawasiliano kabisa, na mimi sasa hivi nimeamua tu kuwa kimya. nashindwa kuelewa mimi nimemkosea nini sas, naombeni ushauri wakuu!!
Kama ni wa 2000 piga chini
 
Nina mpenzi wng ambae tulikuwa tunapendana sana, ni mwanamke ambae amekuwa akinionyesha maana halisi ya upendo wa dhati, amekuwa akinipenda na kuniheshimu sana tu na hatujawahi kugombana tangu tuwe pamoja. Ila siku ya Jumatano iliyopita nilienda kwake, maana huwa kuna wakati anakuja kwangu na mimi naenda kwake.

Sasa nilipokuwa kwake, kuna muda akaenda dukani akawa ameacha simu yake juu ya kochi( Mimi na yeye huwa hatufichani simu, kila mtu anajua password ya mwenzake), basi nikachukua simu yake, huwezi amini katika kuangalia kwenye SMS nikaona kuna namba ambayo haijaseviwa inaishia 32 ilituma SMS inayosema Hivi unablid mwezi mzima?`, daahh nlipata mshtuko hatari maana nlimuamini sana mpenzi wng na sikutegemea kitu kama hicho kwake.

Sasa mpnz wng, aliporudi kutoka dukani, ilibidi tu nimwambie alishtuka sana na akaanza kulia akidai eti huyo mtu hamjui, basi nikamwambia kama unasema humjui basi piga hiyo namba saiv nihakikishe kama humjui, akawa anakwepakwepa bila sababu za msingi baadae akakataa kabisa, huwezi alinifanya nikasirike haswa ila ni kwamba niljizuia tu nisimfanye kitu kibaya.

Baada ya kumtishia na kumbana sana akasema huyo mtu anamfahamu na ni Ex wake alikuwa nae kabla ya kuwa na mimi. Akaniamba msamaha sana akinipigia magoti huku akilia, mimi sikuongea tena kitu bali niliondoka hapo kwake nikiwa sipo sawa kabisa.

Kwa jinsi nilivyokuwa nampenda na mambo mengi mazuri niliyokuwa nimepanga na yeye, na jinsi ambavyo analia kuniomba msamaha, nkafikiria tu kwamba sisi wote ni binadamu hatujakamilika kila mtu ana mapungufu yake., so nikaamua tu kumsamehe na tukaendelea kuwa pamoja huku akiniahidi kutorudia tena.

Ila baada ya kumsamehe zikapita kama siku mbili nikimpigia simu hapokei, nikituma SMS hazijibiwi, ila WhatsApp anaview status zng vizuri tu, sasa hivi ni kama siku tatu zimepita hatuna mawasiliano kabisa, na mimi sasa hivi nimeamua tu kuwa kimya. nashindwa kuelewa mimi nimemkosea nini sas, naombeni ushauri wakuu!!
Fala wewe, hakuna kumsamehe mwanamke msaliti. Ukimsamehe anakudharau na kukuona wewe ni lijinga. Hawezi kukuheshimu hata siku moja.

Dawa ni kuachana naye.
 
#bro mwanamke wapekeyako hakuna dunia yasasa_muhimu ajue kucheza na muda pia ahakikishe ww hujui

_ila huyo wakwako vyote kashindwa (piga chini kaka-ok fine kakosea sasa mbona anakasirika yeye..?) maana yake ww huna faida ukilinganisha nahuyo jamaa

NOTE: kama mwanamke hukumuoa hata kama umempangia nyumba unampa matumizi yote ila hakikisha ukitaka kwenda kwake mpe taarifa kwafaida yako mwenyewe
Baharia kwenye ubora wake


Uzi ufungwe.
 
Acha kuingi
Nina mpenzi wng ambae tulikuwa tunapendana sana, ni mwanamke ambae amekuwa akinionyesha maana halisi ya upendo wa dhati, amekuwa akinipenda na kuniheshimu sana tu na hatujawahi kugombana tangu tuwe pamoja. Ila siku ya Jumatano iliyopita nilienda kwake, maana huwa kuna wakati anakuja kwangu na mimi naenda kwake.

Sasa nilipokuwa kwake, kuna muda akaenda dukani akawa ameacha simu yake juu ya kochi( Mimi na yeye huwa hatufichani simu, kila mtu anajua password ya mwenzake), basi nikachukua simu yake, huwezi amini katika kuangalia kwenye SMS nikaona kuna namba ambayo haijaseviwa inaishia 32 ilituma SMS inayosema Hivi unablid mwezi mzima?`, daahh nlipata mshtuko hatari maana nlimuamini sana mpenzi wng na sikutegemea kitu kama hicho kwake.

Sasa mpnz wng, aliporudi kutoka dukani, ilibidi tu nimwambie alishtuka sana na akaanza kulia akidai eti huyo mtu hamjui, basi nikamwambia kama unasema humjui basi piga hiyo namba saiv nihakikishe kama humjui, akawa anakwepakwepa bila sababu za msingi baadae akakataa kabisa, huwezi alinifanya nikasirike haswa ila ni kwamba niljizuia tu nisimfanye kitu kibaya.

Baada ya kumtishia na kumbana sana akasema huyo mtu anamfahamu na ni Ex wake alikuwa nae kabla ya kuwa na mimi. Akaniamba msamaha sana akinipigia magoti huku akilia, mimi sikuongea tena kitu bali niliondoka hapo kwake nikiwa sipo sawa kabisa.

Kwa jinsi nilivyokuwa nampenda na mambo mengi mazuri niliyokuwa nimepanga na yeye, na jinsi ambavyo analia kuniomba msamaha, nkafikiria tu kwamba sisi wote ni binadamu hatujakamilika kila mtu ana mapungufu yake., so nikaamua tu kumsamehe na tukaendelea kuwa pamoja huku akiniahidi kutorudia tena.

Ila baada ya kumsamehe zikapita kama siku mbili nikimpigia simu hapokei, nikituma SMS hazijibiwi, ila WhatsApp anaview status zng vizuri tu, sasa hivi ni kama siku tatu zimepita hatuna mawasiliano kabisa, na mimi sasa hivi nimeamua tu kuwa kimya. nashindwa kuelewa mimi nimemkosea nini sas, naombeni ushauri wakuu!!

Nina mpenzi wng ambae tulikuwa tunapendana sana, ni mwanamke ambae amekuwa akinionyesha maana halisi ya upendo wa dhati, amekuwa akinipenda na kuniheshimu sana tu na hatujawahi kugombana tangu tuwe pamoja. Ila siku ya Jumatano iliyopita nilienda kwake, maana huwa kuna wakati anakuja kwangu na mimi naenda kwake.

Sasa nilipokuwa kwake, kuna muda akaenda dukani akawa ameacha simu yake juu ya kochi( Mimi na yeye huwa hatufichani simu, kila mtu anajua password ya mwenzake), basi nikachukua simu yake, huwezi amini katika kuangalia kwenye SMS nikaona kuna namba ambayo haijaseviwa inaishia 32 ilituma SMS inayosema Hivi unablid mwezi mzima?`, daahh nlipata mshtuko hatari maana nlimuamini sana mpenzi wng na sikutegemea kitu kama hicho kwake.

Sasa mpnz wng, aliporudi kutoka dukani, ilibidi tu nimwambie alishtuka sana na akaanza kulia akidai eti huyo mtu hamjui, basi nikamwambia kama unasema humjui basi piga hiyo namba saiv nihakikishe kama humjui, akawa anakwepakwepa bila sababu za msingi baadae akakataa kabisa, huwezi alinifanya nikasirike haswa ila ni kwamba niljizuia tu nisimfanye kitu kibaya.

Baada ya kumtishia na kumbana sana akasema huyo mtu anamfahamu na ni Ex wake alikuwa nae kabla ya kuwa na mimi. Akaniamba msamaha sana akinipigia magoti huku akilia, mimi sikuongea tena kitu bali niliondoka hapo kwake nikiwa sipo sawa kabisa.

Kwa jinsi nilivyokuwa nampenda na mambo mengi mazuri niliyokuwa nimepanga na yeye, na jinsi ambavyo analia kuniomba msamaha, nkafikiria tu kwamba sisi wote ni binadamu hatujakamilika kila mtu ana mapungufu yake., so nikaamua tu kumsamehe na tukaendelea kuwa pamoja huku akiniahidi kutorudia tena.

Ila baada ya kumsamehe zikapita kama siku mbili nikimpigia simu hapokei, nikituma SMS hazijibiwi, ila WhatsApp anaview status zng vizuri tu, sasa hivi ni kama siku tatu zimepita hatuna mawasiliano kabisa, na mimi sasa hivi nimeamua tu kuwa kimya. nashindwa kuelewa mimi nimemkosea nini sas, naombeni ushauri wakuu!!
Acha kuingilia mapenzi ya watu wewe,unacheza na ex nini?
 
Nina mpenzi wng ambae tulikuwa tunapendana sana, ni mwanamke ambae amekuwa akinionyesha maana halisi ya upendo wa dhati, amekuwa akinipenda na kuniheshimu sana tu na hatujawahi kugombana tangu tuwe pamoja. Ila siku ya Jumatano iliyopita nilienda kwake, maana huwa kuna wakati anakuja kwangu na mimi naenda kwake.

Sasa nilipokuwa kwake, kuna muda akaenda dukani akawa ameacha simu yake juu ya kochi( Mimi na yeye huwa hatufichani simu, kila mtu anajua password ya mwenzake), basi nikachukua simu yake, huwezi amini katika kuangalia kwenye SMS nikaona kuna namba ambayo haijaseviwa inaishia 32 ilituma SMS inayosema Hivi unablid mwezi mzima?`, daahh nlipata mshtuko hatari maana nlimuamini sana mpenzi wng na sikutegemea kitu kama hicho kwake.

Sasa mpnz wng, aliporudi kutoka dukani, ilibidi tu nimwambie alishtuka sana na akaanza kulia akidai eti huyo mtu hamjui, basi nikamwambia kama unasema humjui basi piga hiyo namba saiv nihakikishe kama humjui, akawa anakwepakwepa bila sababu za msingi baadae akakataa kabisa, huwezi alinifanya nikasirike haswa ila ni kwamba niljizuia tu nisimfanye kitu kibaya.

Baada ya kumtishia na kumbana sana akasema huyo mtu anamfahamu na ni Ex wake alikuwa nae kabla ya kuwa na mimi. Akaniamba msamaha sana akinipigia magoti huku akilia, mimi sikuongea tena kitu bali niliondoka hapo kwake nikiwa sipo sawa kabisa.

Kwa jinsi nilivyokuwa nampenda na mambo mengi mazuri niliyokuwa nimepanga na yeye, na jinsi ambavyo analia kuniomba msamaha, nkafikiria tu kwamba sisi wote ni binadamu hatujakamilika kila mtu ana mapungufu yake., so nikaamua tu kumsamehe na tukaendelea kuwa pamoja huku akiniahidi kutorudia tena.

Ila baada ya kumsamehe zikapita kama siku mbili nikimpigia simu hapokei, nikituma SMS hazijibiwi, ila WhatsApp anaview status zng vizuri tu, sasa hivi ni kama siku tatu zimepita hatuna mawasiliano kabisa, na mimi sasa hivi nimeamua tu kuwa kimya. nashindwa kuelewa mimi nimemkosea nini sas, naombeni ushauri wakuu!!
inabidi ukampigie magoti pia. Yeye alivyokupigia magoti ulitakiwa pia upige magoti uombr msamaha wa kumfuma na sms.

Cha kuelewa, wewe ulikuwa reserve. Vile umejua siri umepigwa chini
 
Back
Top Bottom