Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa jinsi ulivyo zwazwa, inabidi wewe ndo umwombe msamaha kwa kuangalia simu yake na kujua mko wengi. Akikusamehe akuongeze kwenye orodha ya anaopendanà nao sana na kuheshimiana sana. Huo ndo ushauri wangu.Nina mpenzi wng ambae tulikuwa tunapendana sana, ni mwanamke ambae amekuwa akinionyesha maana halisi ya upendo wa dhati, amekuwa akinipenda na kuniheshimu sana tu na hatujawahi kugombana tangu tuwe pamoja. Ila siku ya Jumatano iliyopita nilienda kwake, maana huwa kuna wakati anakuja kwangu na mimi naenda kwake.
Sasa nilipokuwa kwake, kuna muda akaenda dukani akawa ameacha simu yake juu ya kochi( Mimi na yeye huwa hatufichani simu, kila mtu anajua password ya mwenzake), basi nikachukua simu yake, huwezi amini katika kuangalia kwenye SMS nikaona kuna namba ambayo haijaseviwa inaishia 32 ilituma SMS inayosemaHivi unablid mwezi mzima?`, daahh nlipata mshtuko hatari maana nlimuamini sana mpenzi wng na sikutegemea kitu kama hicho kwake.
Sasa mpnz wng, aliporudi kutoka dukani, ilibidi tu nimwambie alishtuka sana na akaanza kulia akidai eti huyo mtu hamjui, basi nikamwambia kama unasema humjui basi piga hiyo namba saiv nihakikishe kama humjui, akawa anakwepakwepa bila sababu za msingi baadae akakataa kabisa, huwezi alinifanya nikasirike haswa ila ni kwamba niljizuia tu nisimfanye kitu kibaya.
Baada ya kumtishia na kumbana sana akasema huyo mtu anamfahamu na ni Ex wake alikuwa nae kabla ya kuwa na mimi. Akaniamba msamaha sana akinipigia magoti huku akilia, mimi sikuongea tena kitu bali niliondoka hapo kwake nikiwa sipo sawa kabisa.
Kwa jinsi nilivyokuwa nampenda na mambo mengi mazuri niliyokuwa nimepanga na yeye, na jinsi ambavyo analia kuniomba msamaha, nkafikiria tu kwamba sisi wote ni binadamu hatujakamilika kila mtu ana mapungufu yake., so nikaamua tu kumsamehe na tukaendelea kuwa pamoja huku akiniahidi kutorudia tena.
Ila baada ya kumsamehe zikapita kama siku mbili nikimpigia simu hapokei, nikituma SMS hazijibiwi, ila WhatsApp anaview status zng vizuri tu, sasa hivi ni kama siku tatu zimepita hatuna mawasiliano kabisa, na mimi sasa hivi nimeamua tu kuwa kimya. nashindwa kuelewa mimi nimemkosea nini sas, naombeni ushauri wakuu!!
Hujui kama mpenzi wako ni mpenzi wenu so mwenye namba mwisho 32 amerudi kuwa tu mpole 🤣🤣🤣🤣ila mapenzi ni upuuzi tu 😏😛Nina mpenzi wng ambae tulikuwa tunapendana sana, ni mwanamke ambae amekuwa akinionyesha maana halisi ya upendo wa dhati, amekuwa akinipenda na kuniheshimu sana tu na hatujawahi kugombana tangu tuwe pamoja. Ila siku ya Jumatano iliyopita nilienda kwake, maana huwa kuna wakati anakuja kwangu na mimi naenda kwake.
Sasa nilipokuwa kwake, kuna muda akaenda dukani akawa ameacha simu yake juu ya kochi( Mimi na yeye huwa hatufichani simu, kila mtu anajua password ya mwenzake), basi nikachukua simu yake, huwezi amini katika kuangalia kwenye SMS nikaona kuna namba ambayo haijaseviwa inaishia 32 ilituma SMS inayosemaHivi unablid mwezi mzima?`, daahh nlipata mshtuko hatari maana nlimuamini sana mpenzi wng na sikutegemea kitu kama hicho kwake.
Sasa mpnz wng, aliporudi kutoka dukani, ilibidi tu nimwambie alishtuka sana na akaanza kulia akidai eti huyo mtu hamjui, basi nikamwambia kama unasema humjui basi piga hiyo namba saiv nihakikishe kama humjui, akawa anakwepakwepa bila sababu za msingi baadae akakataa kabisa, huwezi alinifanya nikasirike haswa ila ni kwamba niljizuia tu nisimfanye kitu kibaya.
Baada ya kumtishia na kumbana sana akasema huyo mtu anamfahamu na ni Ex wake alikuwa nae kabla ya kuwa na mimi. Akaniamba msamaha sana akinipigia magoti huku akilia, mimi sikuongea tena kitu bali niliondoka hapo kwake nikiwa sipo sawa kabisa.
Kwa jinsi nilivyokuwa nampenda na mambo mengi mazuri niliyokuwa nimepanga na yeye, na jinsi ambavyo analia kuniomba msamaha, nkafikiria tu kwamba sisi wote ni binadamu hatujakamilika kila mtu ana mapungufu yake., so nikaamua tu kumsamehe na tukaendelea kuwa pamoja huku akiniahidi kutorudia tena.
Ila baada ya kumsamehe zikapita kama siku mbili nikimpigia simu hapokei, nikituma SMS hazijibiwi, ila WhatsApp anaview status zng vizuri tu, sasa hivi ni kama siku tatu zimepita hatuna mawasiliano kabisa, na mimi sasa hivi nimeamua tu kuwa kimya. nashindwa kuelewa mimi nimemkosea nini sas, naombeni ushauri wakuu!!
Ni hivi tushaambiwa mwanamke akichetiwa atasamehe na ataendelea na mapenz ila sio mwanaume. Ingawa ww umemsamehe anaamin haujamsamehe na utamlipa siku si nying kaamua kujiengua mapemaNina mpenzi wng ambae tulikuwa tunapendana sana, ni mwanamke ambae amekuwa akinionyesha maana halisi ya upendo wa dhati, amekuwa akinipenda na kuniheshimu sana tu na hatujawahi kugombana tangu tuwe pamoja. Ila siku ya Jumatano iliyopita nilienda kwake, maana huwa kuna wakati anakuja kwangu na mimi naenda kwake.
Sasa nilipokuwa kwake, kuna muda akaenda dukani akawa ameacha simu yake juu ya kochi( Mimi na yeye huwa hatufichani simu, kila mtu anajua password ya mwenzake), basi nikachukua simu yake, huwezi amini katika kuangalia kwenye SMS nikaona kuna namba ambayo haijaseviwa inaishia 32 ilituma SMS inayosemaHivi unablid mwezi mzima?`, daahh nlipata mshtuko hatari maana nlimuamini sana mpenzi wng na sikutegemea kitu kama hicho kwake.
Sasa mpnz wng, aliporudi kutoka dukani, ilibidi tu nimwambie alishtuka sana na akaanza kulia akidai eti huyo mtu hamjui, basi nikamwambia kama unasema humjui basi piga hiyo namba saiv nihakikishe kama humjui, akawa anakwepakwepa bila sababu za msingi baadae akakataa kabisa, huwezi alinifanya nikasirike haswa ila ni kwamba niljizuia tu nisimfanye kitu kibaya.
Baada ya kumtishia na kumbana sana akasema huyo mtu anamfahamu na ni Ex wake alikuwa nae kabla ya kuwa na mimi. Akaniamba msamaha sana akinipigia magoti huku akilia, mimi sikuongea tena kitu bali niliondoka hapo kwake nikiwa sipo sawa kabisa.
Kwa jinsi nilivyokuwa nampenda na mambo mengi mazuri niliyokuwa nimepanga na yeye, na jinsi ambavyo analia kuniomba msamaha, nkafikiria tu kwamba sisi wote ni binadamu hatujakamilika kila mtu ana mapungufu yake., so nikaamua tu kumsamehe na tukaendelea kuwa pamoja huku akiniahidi kutorudia tena.
Ila baada ya kumsamehe zikapita kama siku mbili nikimpigia simu hapokei, nikituma SMS hazijibiwi, ila WhatsApp anaview status zng vizuri tu, sasa hivi ni kama siku tatu zimepita hatuna mawasiliano kabisa, na mimi sasa hivi nimeamua tu kuwa kimya. nashindwa kuelewa mimi nimemkosea nini sas, naombeni ushauri wakuu!!
Kumlipa lazimaNi hivi tushaambiwa mwanamke akichetiwa atasamehe na ataendelea na mapenz ila sio mwanaume. Ingawa ww umemsamehe anaamin haujamsamehe na utamlipa siku si nying kaamua kujiengua mapema
#bro mwanamke wapekeyako hakuna dunia yasasa_muhimu ajue kucheza na muda pia ahakikishe ww hujui
_ila huyo wakwako vyote kashindwa (piga chini kaka-ok fine kakosea sasa mbona anakasirika yeye..?) maana yake ww huna faida ukilinganisha nahuyo jamaa
NOTE: kama mwanamke hukumuoa hata kama umempangia nyumba unampa matumizi yote ila hakikisha ukitaka kwenda kwake mpe taarifa kwafaida yako mwenye
Temana nae mkuuNina mpenzi wng ambae tulikuwa tunapendana sana, ni mwanamke ambae amekuwa akinionyesha maana halisi ya upendo wa dhati, amekuwa akinipenda na kuniheshimu sana tu na hatujawahi kugombana tangu tuwe pamoja. Ila siku ya Jumatano iliyopita nilienda kwake, maana huwa kuna wakati anakuja kwangu na mimi naenda kwake.
Sasa nilipokuwa kwake, kuna muda akaenda dukani akawa ameacha simu yake juu ya kochi( Mimi na yeye huwa hatufichani simu, kila mtu anajua password ya mwenzake), basi nikachukua simu yake, huwezi amini katika kuangalia kwenye SMS nikaona kuna namba ambayo haijaseviwa inaishia 32 ilituma SMS inayosemaHivi unablid mwezi mzima?`, daahh nlipata mshtuko hatari maana nlimuamini sana mpenzi wng na sikutegemea kitu kama hicho kwake.
Sasa mpnz wng, aliporudi kutoka dukani, ilibidi tu nimwambie alishtuka sana na akaanza kulia akidai eti huyo mtu hamjui, basi nikamwambia kama unasema humjui basi piga hiyo namba saiv nihakikishe kama humjui, akawa anakwepakwepa bila sababu za msingi baadae akakataa kabisa, huwezi alinifanya nikasirike haswa ila ni kwamba niljizuia tu nisimfanye kitu kibaya.
Baada ya kumtishia na kumbana sana akasema huyo mtu anamfahamu na ni Ex wake alikuwa nae kabla ya kuwa na mimi. Akaniamba msamaha sana akinipigia magoti huku akilia, mimi sikuongea tena kitu bali niliondoka hapo kwake nikiwa sipo sawa kabisa.
Kwa jinsi nilivyokuwa nampenda na mambo mengi mazuri niliyokuwa nimepanga na yeye, na jinsi ambavyo analia kuniomba msamaha, nkafikiria tu kwamba sisi wote ni binadamu hatujakamilika kila mtu ana mapungufu yake., so nikaamua tu kumsamehe na tukaendelea kuwa pamoja huku akiniahidi kutorudia tena.
Ila baada ya kumsamehe zikapita kama siku mbili nikimpigia simu hapokei, nikituma SMS hazijibiwi, ila WhatsApp anaview status zng vizuri tu, sasa hivi ni kama siku tatu zimepita hatuna mawasiliano kabisa, na mimi sasa hivi nimeamua tu kuwa kimya. nashindwa kuelewa mimi nimemkosea nini sas, naombeni ushauri wakuu!!
Ahahahah we jamaa mbona unataka mwamba ajinyonge asee ahahah ila kweli kama viletulia yuko busy kwa ex wake baada ya kumaliza bleed, akianza mzunguko mwingine atarudi kwako.
Tulia dogo utombe-we akili zikukae sawa.Nina mpenzi wng ambae tulikuwa tunapendana sana, ni mwanamke ambae amekuwa akinionyesha maana halisi ya upendo wa dhati, amekuwa akinipenda na kuniheshimu sana tu na hatujawahi kugombana tangu tuwe pamoja. Ila siku ya Jumatano iliyopita nilienda kwake, maana huwa kuna wakati anakuja kwangu na mimi naenda kwake.
Sasa nilipokuwa kwake, kuna muda akaenda dukani akawa ameacha simu yake juu ya kochi( Mimi na yeye huwa hatufichani simu, kila mtu anajua password ya mwenzake), basi nikachukua simu yake, huwezi amini katika kuangalia kwenye SMS nikaona kuna namba ambayo haijaseviwa inaishia 32 ilituma SMS inayosemaHivi unablid mwezi mzima?`, daahh nlipata mshtuko hatari maana nlimuamini sana mpenzi wng na sikutegemea kitu kama hicho kwake.
Sasa mpnz wng, aliporudi kutoka dukani, ilibidi tu nimwambie alishtuka sana na akaanza kulia akidai eti huyo mtu hamjui, basi nikamwambia kama unasema humjui basi piga hiyo namba saiv nihakikishe kama humjui, akawa anakwepakwepa bila sababu za msingi baadae akakataa kabisa, huwezi alinifanya nikasirike haswa ila ni kwamba niljizuia tu nisimfanye kitu kibaya.
Baada ya kumtishia na kumbana sana akasema huyo mtu anamfahamu na ni Ex wake alikuwa nae kabla ya kuwa na mimi. Akaniamba msamaha sana akinipigia magoti huku akilia, mimi sikuongea tena kitu bali niliondoka hapo kwake nikiwa sipo sawa kabisa.
Kwa jinsi nilivyokuwa nampenda na mambo mengi mazuri niliyokuwa nimepanga na yeye, na jinsi ambavyo analia kuniomba msamaha, nkafikiria tu kwamba sisi wote ni binadamu hatujakamilika kila mtu ana mapungufu yake., so nikaamua tu kumsamehe na tukaendelea kuwa pamoja huku akiniahidi kutorudia tena.
Ila baada ya kumsamehe zikapita kama siku mbili nikimpigia simu hapokei, nikituma SMS hazijibiwi, ila WhatsApp anaview status zng vizuri tu, sasa hivi ni kama siku tatu zimepita hatuna mawasiliano kabisa, na mimi sasa hivi nimeamua tu kuwa kimya. nashindwa kuelewa mimi nimemkosea nini sas, naombeni ushauri wakuu!!
🤣🤣🤣🤣Aiseetulia yuko busy kwa ex wake baada ya kumaliza bleed, akianza mzunguko mwingine atarudi kwako.
Numbisa Dear eX pokea simu tupashe kiporohuyo mtu anamfahamu na ni Ex wake alikuwa nae kabla ya kuwa na mimi
Ndo kajiepushaKumlipa lazima
Yalishakukuta sio 😂Hujui kama mpenzi wako ni mpenzi wenu so mwenye namba mwisho 32 amerudi kuwa tu mpole 🤣🤣🤣🤣ila mapenzi ni upuuzi tu 😏😛
🤣🤣🤣🤣🤣Yalishakukuta sio 😂
Huyo ni kicheche achana naye atakuua bure kwa maradhi,hivi usichoelewa nini mtu akikuashia maana yake hana muda na wewe tena. Usikute hata hiyo simu alivyoiacha ikiwa na hiyo meseji na huyo x wake ilikuwa ni makusudi ujue kuwa ana mtu mwingine, jiongeze blaza huyo ni malaya tuNina mpenzi wng ambae tulikuwa tunapendana sana, ni mwanamke ambae amekuwa akinionyesha maana halisi ya upendo wa dhati, amekuwa akinipenda na kuniheshimu sana tu na hatujawahi kugombana tangu tuwe pamoja. Ila siku ya Jumatano iliyopita nilienda kwake, maana huwa kuna wakati anakuja kwangu na mimi naenda kwake.
Sasa nilipokuwa kwake, kuna muda akaenda dukani akawa ameacha simu yake juu ya kochi( Mimi na yeye huwa hatufichani simu, kila mtu anajua password ya mwenzake), basi nikachukua simu yake, huwezi amini katika kuangalia kwenye SMS nikaona kuna namba ambayo haijaseviwa inaishia 32 ilituma SMS inayosemaHivi unablid mwezi mzima?`, daahh nlipata mshtuko hatari maana nlimuamini sana mpenzi wng na sikutegemea kitu kama hicho kwake.
Sasa mpnz wng, aliporudi kutoka dukani, ilibidi tu nimwambie alishtuka sana na akaanza kulia akidai eti huyo mtu hamjui, basi nikamwambia kama unasema humjui basi piga hiyo namba saiv nihakikishe kama humjui, akawa anakwepakwepa bila sababu za msingi baadae akakataa kabisa, huwezi alinifanya nikasirike haswa ila ni kwamba niljizuia tu nisimfanye kitu kibaya.
Baada ya kumtishia na kumbana sana akasema huyo mtu anamfahamu na ni Ex wake alikuwa nae kabla ya kuwa na mimi. Akaniamba msamaha sana akinipigia magoti huku akilia, mimi sikuongea tena kitu bali niliondoka hapo kwake nikiwa sipo sawa kabisa.
Kwa jinsi nilivyokuwa nampenda na mambo mengi mazuri niliyokuwa nimepanga na yeye, na jinsi ambavyo analia kuniomba msamaha, nkafikiria tu kwamba sisi wote ni binadamu hatujakamilika kila mtu ana mapungufu yake., so nikaamua tu kumsamehe na tukaendelea kuwa pamoja huku akiniahidi kutorudia tena.
Ila baada ya kumsamehe zikapita kama siku mbili nikimpigia simu hapokei, nikituma SMS hazijibiwi, ila WhatsApp anaview status zng vizuri tu, sasa hivi ni kama siku tatu zimepita hatuna mawasiliano kabisa, na mimi sasa hivi nimeamua tu kuwa kimya. nashindwa kuelewa mimi nimemkosea nini sas, naombeni ushauri wakuu!!