Naombeni ushauri nimemfumania shemeji yangu

Naombeni ushauri nimemfumania shemeji yangu

Aisee ulifanya jambo la busara mkuu, japo inauma yaani unashuhudia Kaka yako akisalitiwa😪, ila sasa ukifikiria consequences baada ya kumwambia mmh, labda tu siku ungemchana huyo shemeji kwamba siku ile hukupenda alichokifanya na asirudie otherwise utamwambia Bro nadhani angeogopa na asingerudia.
Mpk leo ananiangaliaga kwa wasiwasi,ila sijamwambia mtu.
Shem mwenyewe namjua tuliwai fanya
Aisee ulifanya jambo la busara mkuu, japo inauma yaani unashuhudia Kaka yako akisalitiwa😪, ila sasa ukifikiria consequences baada ya kumwambia mmh, labda tu siku ungemchana huyo shemeji kwamba siku ile hukupenda alichokifanya na asirudie otherwise utamwambia Bro nadhani angeogopa na asingerudia.
Mpk leo ananiangaliaga kwa wasiwasi,
Demu mwenyewe namjua,tuliwai fanya kazi kitengo kimoja kabla bro hajamuoa na ni alikua mtulivu ,mpole na mkimya haswa.
Siku bro anatutambulisha nikampa tiki 100%.
Naona alianza hayo mambo baada ya ndoa.
Maana bro nae alikua hajapoa kivile.
 
Hofu yangu ipo kwenye mapokeo ya jamaa maamuzi magumu yeyote yakitokea Mimi siwezi kuwa chanzo?
Kafungue hata account fake umtumie ujumbe Facebook na number za huyo mtu umwambie afatilie huyo mwanamke. Ila huyo mwanamke kanisikitisha jinsi mumewe anavojitoa kwake then ana msaliti, si ajabu na watoto ni wamuchepuko
 
Labda tumetofautiana huyu ni rafiki yangu zaidi ya ndugu tumetoka mbali Sana ndio Maana naumia Sana mpaka naomba ushauri zaidi means nashindwa kulibeba kimya kimya.
Kwa comment hii inadhihirisha umeshafanya uamuzi bado utekelezaji tu. Kila la kheri
 
Tafuta admin au mtu yoyote amuunganishe katika Hilo kundi la whatsaap then wewe nitoe kwa siku chache kama mbili Tatu hivi halafu hizo picha azione basi hapo jamaa atajua kila kitu na baadae atolewe na wewe urudi. Hatajua kama wewe ni mhusika ila atajua yote na ushahidi. Mke hapo atajua afanye nini
Huu ushauri unaweza kuwa mzuri ila likitokea jina la jamaa kwenye usajili wa laini inakuaje apo?
 
Habari Wana jamvi,
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu.

Nina rafiki yangu ambaye ni Kama ndugu yangu kwa jinsi tunavyoishi na kusaidiana once
Tafuta namba feki uscreen shot ufoward hizo picha KWA jamaa halafu utupe hiyo line kbsa. Halafu usikilizie
 
Hawa wanawake msiwalegezeee,, msiwachukulie kama malaikaaa...

Wanapofanya UJINGA..muwape ADHABU .

Sema wanaume wengi wanawaza inakuaje kumuacha mwanamke mwenye kazi na elimu na mmezaa[emoji23][emoji23][emoji23] UJINGA.
 
Kuna msemo huwa unasema ivi " ck ukijua Jambo fulan maana yake ww ndo mtu wa mwisho kujua". Maana yake nn huyu jamaa atakuja kujua tuu ingawaje itachukua muda kidogo. Na akija kujua bas ujue yy ndo mtu wa mwisho kujua. Usidhan Ni ww unajua tuu, wapo na wengne wanajua ila wametulia tuuu.
 
Naona utumie busara kumwambia amchunguze mkewe na safari zake ila usimwambie direct. Kama anampenda sana mke wake anaeza akaona unamsingizia na hata ukionyesha ushahidi mwanamke anaweza jitetea ukaonekana mbaya…mapenzi yana ufala mwingi, maandiko matakatifu ya biblia yanasema Ndoa na iheshimiwe na watu wote…usiwe chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ya watu.
Heshima mbona mke kishaivunja...heshima gani unayoongelea hapa🤔!
Mwambie tena yote...ila siyo kwa ghafla asije akapata dhambulizi la moyo😭!
 
Naona utumie busara kumwambia amchunguze mkewe na safari zake ila usimwambie direct. Kama anampenda sana mke wake anaeza akaona unamsingizia na hata ukionyesha ushahidi mwanamke anaweza jitetea ukaonekana mbaya…mapenzi yana ufala mwingi, maandiko matakatifu ya biblia yanasema Ndoa na iheshimiwe na watu wote…usiwe chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ya watu.
Heshima mbona mke kishaivunja...heshima gani unayoongelea hapa🤔!
Mwambie tena yote...ila siyo kwa ghafla asije akapata dhambulizi la moyo😭!
 
Naona utumie busara kumwambia amchunguze mkewe na safari zake ila usimwambie direct. Kama anampenda sana mke wake anaeza akaona unamsingizia na hata ukionyesha ushahidi mwanamke anaweza jitetea ukaonekana mbaya…mapenzi yana ufala mwingi, maandiko matakatifu ya biblia yanasema Ndoa na iheshimiwe na watu wote…usiwe chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ya watu.
Mtu wa kwanza anaetakiwa kuihemshimu ndoa ni mwanandoa. Kitendo cha huyo bibie tayari kimeshavunja hiyo heshima.

Mimi huwa sifugi ujinga wa namna hii, kama ni rafiki yangu wa kiume anafanya upuuzi namchana, na kama ni mkewe namchana pia unless nisiwe na ukaribu nae.

Amweke wazi tu ndugu yake. Kizazi chetu kimekuwa cha ajabu sana kufumbia macho mambo ya kipuuzi.
 
J
Mtu wa kwanza anaetakiwa kuihemshimu ndoa ni mwanandoa. Kitendo cha huyo bibie tayari kimeshavunja hiyo heshima.

Mimi huwa sifugi ujinga wa namna hii, kama ni rafiki yangu wa kiume anafanya upuuzi namchana, na kama ni mkewe namchana pia unless nisiwe na ukaribu nae.

Amweke wazi tu ndugu yake. Kizazi chetu kimekuwa cha ajabu sana kufumbia macho mambo ya kipuuzi.
Je, ingekuwa wewe mwanaume unayafanya hayo, mkeo aelezwe ili ukamatwe?
 
Back
Top Bottom