Naombeni ushauri nimemfumania shemeji yangu

Naombeni ushauri nimemfumania shemeji yangu

Naona utumie busara kumwambia amchunguze mkewe na safari zake ila usimwambie direct. Kama anampenda sana mke wake anaeza akaona unamsingizia na hata ukionyesha ushahidi mwanamke anaweza jitetea ukaonekana mbaya…mapenzi yana ufala mwingi, maandiko matakatifu ya biblia yanasema Ndoa na iheshimiwe na watu wote…usiwe chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ya watu.
Umeongea vyema mkuu shukrani nitajitahidi Sana kulea uovu nashindwa abadani[emoji17]
 
Habari Wana jamvi,
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu.

Nina rafiki yangu ambaye ni Kama ndugu yangu kwa jinsi tunavyoishi na kusaidiana once changamoto za kimaisha zinapo arise.

Nimeishi vizuri Sana na huyu rafiki yangu tena kwa ukaribu Sana tukiwa mtaa mmoja. lakini kwa Sasa tupo mbali kwa maana ya distance lakini urafiki wetu bado upo na unakua siku Hadi siku.


Huyo rafiki yangu ni mtumishi wa taasisi Y wakati mke wake naye ni mtumishi wa taasisi W (mwanamke ni mtu wa kusafiri Mara kwa Mara kwa nature ya kazi yao).


Sasa week chache zilizopita nikiwa kwenye Moja ya group la WhatsApp linalodeal na ndoa.

Ghafla nikaona picha ya Shemeji yangu akiwa huged na jamaa Fulani imetumwa kwenye group na jamaa.

Kwa Sababu namfaham nilishtuka Sana nikafuatilia vizuri nani ametuma Ile picha, nikapata kumfaham. nikiwa najiuliza maswali na kutafakari.

Moja ya member katika hilo group aliuliza kwa kumtag mtu aliyetuma Ile picha,,, Boss huyo mwanamke ni mkali Sana ni wa wawapi...?

Jamaa akajibu ni wa mkoa X, alipo taja mkoa kwangu maumivu makali Sana yalikuwa upande wangu as if Mimi ndiye nasaritiwa.

Why niliumia Sasa Mimi wakati sio mke wangu amefanya hivyo?

Kama nilivyosema awali mume wa huyo mwanamke ni rafiki yangu Sana na tumepitia mengi Sana pamoja so ni Kama ndugu yangu tu kwa Sasa.

Huyo Shemeji kabla ya kuwa na rafiki yangu alikuwa na mahusiano na jamaa mmoja ambaye alikuwa na kesi. Yule jamaa akamkopa mwanamke pesa akimuahidi atamrudishia kumbe dhamira yake ni kumtapeli mwanamke na kweli mwanamke alikopa pesa kwenye Vikoba na akachukua mkopo benk then akampa jamaa apeleke kwenye kesi aliyokuwa anakabiliwa nayo.

Kumbe jamaa alifake na kutengeneza matukio ili apate pesa Wala hakukuwepo na kesi halisia Bali ilikuwa ni mipango iliyofanywa na Wakili asiyekuwa mwaminifu.

Basi mgogoro mkubwa ukaibuka mpaka mahusiano yakavunjika.

Ndipo huyo mwanamke akaanza mahusiano na rafiki yangu, kwa Sababu rafiki yangu ni ndugu yangu the way tulivyishi akamtambulisha kwangu yule mwanamke then maisha yakaendelee.

Ila kabla hatujua kuwa mwanamke alikotoka alikuwa na mzigo wa mikopo.

Kuna siku nilimuuliza rafiki yangu unaijua background ya huyo mwanamke ? Akasema hapana hakujua nilimshauri afuatilie kweli anagundua kuwa mwanamke yupo single kwa siku 25.

Hiyo taarifa ilinishtua kidogo na kunipa maswali inawezekanaje mwanamke aliyeumizwa Sana hajapata muda wa kutafakari anaanzisha mahusiano mapya ndani ya muda mfupi hivyo?


Seriously nilihisi hapo Kuna kitu zaidi kinatafutwa sio upendo, nikutaka kumhoji Sana rafiki yangu nilimwambia tu awe makini sana, Basi maisha yakaendelea Kama kawaida.

Miezi kadhaa badaye nikaona rafiki yangu anahangaika Sana kutafuta pesa ikionyesha ana uhitaji mkubwa Sana wa pesa isivyo kawaida yake.

Kama tujuavyo ukitaka kumjua mtu kaa karibu naye so kwa ukaribu niliokuwa nao kwa rafiki yangu niligundua jamaa ana matatizo.

Nikaomba kuongea naye bila hiana akafunguka yote A to Z kuhusu Shemeji na mikopo aliyochukua benk na kwenye vikobo ilikuwa mikopo iliyokuwa kiasi kwamba mshahara wote ulikuwa unakatwa huko huko, huku wa Vikoba nao wakiwa wanamsumbua sana.

Basi nikaingiwa na hurumu Sana kumuona rafiki yangu anateseka vile Kuna kiendo tulinunua eneo la pamoja kwa lengo la kujenga fremu za biashara Kisha tugawane fremu.

Rafiki yangu akaniomba kuuze ili ipatikane pesa ya haraka kuclear mikopo ya Shemeji.
nampenda Sana rafiki yangu, nilikubali kufanya hivyo.

Tukauza tukaclear mikopo yote ya Shemeji maisha yakaendelee.

Mimi nikapata Safari ya kikazi kwenda nje ya Tz. Wakati nasafiri rafiki yangu alikuwa kwenye process za mwisho kabsa za kumuoa huyo Shemeji yangu.

MUNGU saidia kweli alifanikisha na Mambo yalienda vizuri kabisa thou niliumia kutohudhuria harusi ya rafiki yangu lakini sikuwa na namna majukumu ya kazi yalinibana Sana.

Yapata miaka miwili Sasa sijaonana live na rafiki yangu japo tunawasiliana vizuri na Kama Kuna changamoto tunashirikishana ingawa Kuna mazingira nakuwa nipo mawasiliano yanakuwa hamna kabisa mwezi mzima au zaidi.

Mpaka hapa mtakuwa mmeelewa kwanini naumia Sana kuona huo usariti.

Sasa turudi kwenye group la WhatsApp,

Baada ya kuona Ile picha ya mke wa rafiki yangu nikataka evidence juu ya lile Jambo, kweli nilipata evidence zote zikiwemo videos.

Kumbe Mwanamke anamuaga Mwanume kuwa waenda kikazi kwenye mkoa huo lakini kumbe anaenda kwa mwanaume mwingine(mchepuko).


Kusema kweli tangu nione usariti ule nimejikuta sipo sawa kabisa naumia Sana maana rafiki yangu amehangaika Sana na kuhairisha Mambo yake mengi ili tu kuweza kumsaidia mwanamke pamoja na familia ya mwanamke.

Hapa napambana na nafsi mbili

Moja inaniambia nimwambie rafiki yangu ....na nafsi nyingine inasema nisimwambie ...

Tafadhali naombeni ushauri wenu wana jamvi nifanye nini nampenda Sana rafiki yangu.
















Nakuja kwenu kupata ushauri mpana zaidi.
Binafsi huwa naona SI SAWA KUMWAMBIA MWENZA BAADA YA KUMFUMA MWINGINE.. Kama kweli unataka kujenga, mwambie huyu shemeji yako kuwa anayoyafanya siyo, na aache Mara moj...!! Najua huyo shemeji anaweza kukusingizia jambo kwa jamaa, wewe tunza ushahidi...!! Hasa kwamba unamtaka kimapenzi

Ila kwa upande mwingine, jiandae kuvunja urafiki wenu.
 
Habari Wana jamvi,
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu.

Nina rafiki yangu ambaye ni Kama ndugu yangu kwa jinsi tunavyoishi na kusaidiana once changamoto za kimaisha zinapo arise.

Nimeishi vizuri Sana na huyu rafiki yangu tena kwa ukaribu Sana tukiwa mtaa mmoja. lakini kwa Sasa tupo mbali kwa maana ya distance lakini urafiki wetu bado upo na unakua siku Hadi siku.


Huyo rafiki yangu ni mtumishi wa taasisi Y wakati mke wake naye ni mtumishi wa taasisi W (mwanamke ni mtu wa kusafiri Mara kwa Mara kwa nature ya kazi yao).


Sasa week chache zilizopita nikiwa kwenye Moja ya group la WhatsApp linalodeal na ndoa.

Ghafla nikaona picha ya Shemeji yangu akiwa huged na jamaa Fulani imetumwa kwenye group na jamaa.

Kwa Sababu namfaham nilishtuka Sana nikafuatilia vizuri nani ametuma Ile picha, nikapata kumfaham. nikiwa najiuliza maswali na kutafakari.

Moja ya member katika hilo group aliuliza kwa kumtag mtu aliyetuma Ile picha,,, Boss huyo mwanamke ni mkali Sana ni wa wawapi...?

Jamaa akajibu ni wa mkoa X, alipo taja mkoa kwangu maumivu makali Sana yalikuwa upande wangu as if Mimi ndiye nasaritiwa.

Why niliumia Sasa Mimi wakati sio mke wangu amefanya hivyo?

Kama nilivyosema awali mume wa huyo mwanamke ni rafiki yangu Sana na tumepitia mengi Sana pamoja so ni Kama ndugu yangu tu kwa Sasa.

Huyo Shemeji kabla ya kuwa na rafiki yangu alikuwa na mahusiano na jamaa mmoja ambaye alikuwa na kesi. Yule jamaa akamkopa mwanamke pesa akimuahidi atamrudishia kumbe dhamira yake ni kumtapeli mwanamke na kweli mwanamke alikopa pesa kwenye Vikoba na akachukua mkopo benk then akampa jamaa apeleke kwenye kesi aliyokuwa anakabiliwa nayo.

Kumbe jamaa alifake na kutengeneza matukio ili apate pesa Wala hakukuwepo na kesi halisia Bali ilikuwa ni mipango iliyofanywa na Wakili asiyekuwa mwaminifu.

Basi mgogoro mkubwa ukaibuka mpaka mahusiano yakavunjika.

Ndipo huyo mwanamke akaanza mahusiano na rafiki yangu, kwa Sababu rafiki yangu ni ndugu yangu the way tulivyishi akamtambulisha kwangu yule mwanamke then maisha yakaendelee.

Ila kabla hatujua kuwa mwanamke alikotoka alikuwa na mzigo wa mikopo.

Kuna siku nilimuuliza rafiki yangu unaijua background ya huyo mwanamke ? Akasema hapana hakujua nilimshauri afuatilie kweli anagundua kuwa mwanamke yupo single kwa siku 25.

Hiyo taarifa ilinishtua kidogo na kunipa maswali inawezekanaje mwanamke aliyeumizwa Sana hajapata muda wa kutafakari anaanzisha mahusiano mapya ndani ya muda mfupi hivyo?


Seriously nilihisi hapo Kuna kitu zaidi kinatafutwa sio upendo, nikutaka kumhoji Sana rafiki yangu nilimwambia tu awe makini sana, Basi maisha yakaendelea Kama kawaida.

Miezi kadhaa badaye nikaona rafiki yangu anahangaika Sana kutafuta pesa ikionyesha ana uhitaji mkubwa Sana wa pesa isivyo kawaida yake.

Kama tujuavyo ukitaka kumjua mtu kaa karibu naye so kwa ukaribu niliokuwa nao kwa rafiki yangu niligundua jamaa ana matatizo.

Nikaomba kuongea naye bila hiana akafunguka yote A to Z kuhusu Shemeji na mikopo aliyochukua benk na kwenye vikobo ilikuwa mikopo iliyokuwa kiasi kwamba mshahara wote ulikuwa unakatwa huko huko, huku wa Vikoba nao wakiwa wanamsumbua sana.

Basi nikaingiwa na hurumu Sana kumuona rafiki yangu anateseka vile Kuna kiendo tulinunua eneo la pamoja kwa lengo la kujenga fremu za biashara Kisha tugawane fremu.

Rafiki yangu akaniomba kuuze ili ipatikane pesa ya haraka kuclear mikopo ya Shemeji.
nampenda Sana rafiki yangu, nilikubali kufanya hivyo.

Tukauza tukaclear mikopo yote ya Shemeji maisha yakaendelee.

Mimi nikapata Safari ya kikazi kwenda nje ya Tz. Wakati nasafiri rafiki yangu alikuwa kwenye process za mwisho kabsa za kumuoa huyo Shemeji yangu.

MUNGU saidia kweli alifanikisha na Mambo yalienda vizuri kabisa thou niliumia kutohudhuria harusi ya rafiki yangu lakini sikuwa na namna majukumu ya kazi yalinibana Sana.

Yapata miaka miwili Sasa sijaonana live na rafiki yangu japo tunawasiliana vizuri na Kama Kuna changamoto tunashirikishana ingawa Kuna mazingira nakuwa nipo mawasiliano yanakuwa hamna kabisa mwezi mzima au zaidi.

Mpaka hapa mtakuwa mmeelewa kwanini naumia Sana kuona huo usariti.

Sasa turudi kwenye group la WhatsApp,

Baada ya kuona Ile picha ya mke wa rafiki yangu nikataka evidence juu ya lile Jambo, kweli nilipata evidence zote zikiwemo videos.

Kumbe Mwanamke anamuaga Mwanume kuwa waenda kikazi kwenye mkoa huo lakini kumbe anaenda kwa mwanaume mwingine(mchepuko).


Kusema kweli tangu nione usariti ule nimejikuta sipo sawa kabisa naumia Sana maana rafiki yangu amehangaika Sana na kuhairisha Mambo yake mengi ili tu kuweza kumsaidia mwanamke pamoja na familia ya mwanamke.

Hapa napambana na nafsi mbili

Moja inaniambia nimwambie rafiki yangu ....na nafsi nyingine inasema nisimwambie ...

Tafadhali naombeni ushauri wenu wana jamvi nifanye nini nampenda Sana rafiki yangu.
















Nakuja kwenu kupata ushauri mpana zaidi.

Chukua hizo evidence umtumie huyo shemeji yako (mwanamke) usiandike chochote zaidi ya evidence.

Alafu ukaushe kimya. Rafiki yako usimtumie kwanza. Mwanake atafunguka tu. Na wala usimwambie mwanamke kwamba hukusudii kumpa taarifa mumewe
 
Nitumie mimi hizo picha na video za shemeji yako kisha nicheki na namba ya rafiki yako ntakusaidia kufikisha ujumbe bila ya wewe kujulikana....hahaaaaa natania tu mkuu.

Mi nakushauri tafuta namna ya kumwambia huyo rafikiyo.Kukaa kimya baada ya kujua yote hayo ni usaliti kwa urafiki wenu.
 
Malaya malaya tu

Km rafiki yako aliuziwa madeni mbuzi kwenye gunia ujue hata reasoning yake ipo chini

Rafiki yako atapata ukimwi kwa ujinga wake wa kuokota wanawake hovyo

Tafuta line mpya mpe evidence zote ila asijue km ni wewe

Ukimpenda mtu unamlinda kwangu mimi ni bora nipewe ukweli nitajua rafiki ninaye kuliko nijue mwenyewe hlf uje kusema ulikuwa unajua.

Mi sijawahi kuogopa tatizo hlf sijawahi kupenda unafiki.

Kuna zile case za mtu amuacha mwanamke baada yakudumu nae miaka 40 ndoanihlf akagundua walipokuwa na miaka 15 ya ndoa mkewe alimsaliti basi haba tofauti na mimi.
 
Habari Wana jamvi,
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu.

Nina rafiki yangu ambaye ni Kama ndugu yangu kwa jinsi tunavyoishi na kusaidiana once changamoto za kimaisha zinapo arise.

Nimeishi vizuri Sana na huyu rafiki yangu tena kwa ukaribu Sana tukiwa mtaa mmoja. lakini kwa Sasa tupo mbali kwa maana ya distance lakini urafiki wetu bado upo na unakua siku Hadi siku.


Huyo rafiki yangu ni mtumishi wa taasisi Y wakati mke wake naye ni mtumishi wa taasisi W (mwanamke ni mtu wa kusafiri Mara kwa Mara kwa nature ya kazi yao).


Sasa week chache zilizopita nikiwa kwenye Moja ya group la WhatsApp linalodeal na ndoa.

Ghafla nikaona picha ya Shemeji yangu akiwa huged na jamaa Fulani imetumwa kwenye group na jamaa.

Kwa Sababu namfaham nilishtuka Sana nikafuatilia vizuri nani ametuma Ile picha, nikapata kumfaham. nikiwa najiuliza maswali na kutafakari.

Moja ya member katika hilo group aliuliza kwa kumtag mtu aliyetuma Ile picha,,, Boss huyo mwanamke ni mkali Sana ni wa wawapi...?

Jamaa akajibu ni wa mkoa X, alipo taja mkoa kwangu maumivu makali Sana yalikuwa upande wangu as if Mimi ndiye nasaritiwa.

Why niliumia Sasa Mimi wakati sio mke wangu amefanya hivyo?

Kama nilivyosema awali mume wa huyo mwanamke ni rafiki yangu Sana na tumepitia mengi Sana pamoja so ni Kama ndugu yangu tu kwa Sasa.

Huyo Shemeji kabla ya kuwa na rafiki yangu alikuwa na mahusiano na jamaa mmoja ambaye alikuwa na kesi. Yule jamaa akamkopa mwanamke pesa akimuahidi atamrudishia kumbe dhamira yake ni kumtapeli mwanamke na kweli mwanamke alikopa pesa kwenye Vikoba na akachukua mkopo benk then akampa jamaa apeleke kwenye kesi aliyokuwa anakabiliwa nayo.

Kumbe jamaa alifake na kutengeneza matukio ili apate pesa Wala hakukuwepo na kesi halisia Bali ilikuwa ni mipango iliyofanywa na Wakili asiyekuwa mwaminifu.

Basi mgogoro mkubwa ukaibuka mpaka mahusiano yakavunjika.

Ndipo huyo mwanamke akaanza mahusiano na rafiki yangu, kwa Sababu rafiki yangu ni ndugu yangu the way tulivyishi akamtambulisha kwangu yule mwanamke then maisha yakaendelee.

Ila kabla hatujua kuwa mwanamke alikotoka alikuwa na mzigo wa mikopo.

Kuna siku nilimuuliza rafiki yangu unaijua background ya huyo mwanamke ? Akasema hapana hakujua nilimshauri afuatilie kweli anagundua kuwa mwanamke yupo single kwa siku 25.

Hiyo taarifa ilinishtua kidogo na kunipa maswali inawezekanaje mwanamke aliyeumizwa Sana hajapata muda wa kutafakari anaanzisha mahusiano mapya ndani ya muda mfupi hivyo?


Seriously nilihisi hapo Kuna kitu zaidi kinatafutwa sio upendo, nikutaka kumhoji Sana rafiki yangu nilimwambia tu awe makini sana, Basi maisha yakaendelea Kama kawaida.

Miezi kadhaa badaye nikaona rafiki yangu anahangaika Sana kutafuta pesa ikionyesha ana uhitaji mkubwa Sana wa pesa isivyo kawaida yake.

Kama tujuavyo ukitaka kumjua mtu kaa karibu naye so kwa ukaribu niliokuwa nao kwa rafiki yangu niligundua jamaa ana matatizo.

Nikaomba kuongea naye bila hiana akafunguka yote A to Z kuhusu Shemeji na mikopo aliyochukua benk na kwenye vikobo ilikuwa mikopo iliyokuwa kiasi kwamba mshahara wote ulikuwa unakatwa huko huko, huku wa Vikoba nao wakiwa wanamsumbua sana.

Basi nikaingiwa na hurumu Sana kumuona rafiki yangu anateseka vile Kuna kiendo tulinunua eneo la pamoja kwa lengo la kujenga fremu za biashara Kisha tugawane fremu.

Rafiki yangu akaniomba kuuze ili ipatikane pesa ya haraka kuclear mikopo ya Shemeji.
nampenda Sana rafiki yangu, nilikubali kufanya hivyo.

Tukauza tukaclear mikopo yote ya Shemeji maisha yakaendelee.

Mimi nikapata Safari ya kikazi kwenda nje ya Tz. Wakati nasafiri rafiki yangu alikuwa kwenye process za mwisho kabsa za kumuoa huyo Shemeji yangu.

MUNGU saidia kweli alifanikisha na Mambo yalienda vizuri kabisa thou niliumia kutohudhuria harusi ya rafiki yangu lakini sikuwa na namna majukumu ya kazi yalinibana Sana.

Yapata miaka miwili Sasa sijaonana live na rafiki yangu japo tunawasiliana vizuri na Kama Kuna changamoto tunashirikishana ingawa Kuna mazingira nakuwa nipo mawasiliano yanakuwa hamna kabisa mwezi mzima au zaidi.

Mpaka hapa mtakuwa mmeelewa kwanini naumia Sana kuona huo usariti.

Sasa turudi kwenye group la WhatsApp,

Baada ya kuona Ile picha ya mke wa rafiki yangu nikataka evidence juu ya lile Jambo, kweli nilipata evidence zote zikiwemo videos.

Kumbe Mwanamke anamuaga Mwanume kuwa waenda kikazi kwenye mkoa huo lakini kumbe anaenda kwa mwanaume mwingine(mchepuko).


Kusema kweli tangu nione usariti ule nimejikuta sipo sawa kabisa naumia Sana maana rafiki yangu amehangaika Sana na kuhairisha Mambo yake mengi ili tu kuweza kumsaidia mwanamke pamoja na familia ya mwanamke.

Hapa napambana na nafsi mbili

Moja inaniambia nimwambie rafiki yangu ....na nafsi nyingine inasema nisimwambie ...

Tafadhali naombeni ushauri wenu wana jamvi nifanye nini nampenda Sana rafiki yangu.
















Nakuja kwenu kupata ushauri mpana zaidi.

Mwisho kabisa, kama kweli huyo ni rafiki yako, lazima umwambie ajue maana kusema amchunguze mkewe wakati una idea ya kinachoendelea bado hujamsaidia.

Rafiki yako mwambie ukweli ajue kinachoendelea. Usipomuambia akigundua kwamba taarifa ulikuwa nayo ila ulimbania ndo urafiki utaishia hapo kwasababu huna msaada kwake. Tell him
 
Naona utumie busara kumwambia amchunguze mkewe na safari zake ila usimwambie direct. Kama anampenda sana mke wake anaeza akaona unamsingizia na hata ukionyesha ushahidi mwanamke anaweza jitetea ukaonekana mbaya…mapenzi yana ufala mwingi, maandiko matakatifu ya biblia yanasema Ndoa na iheshimiwe na watu wote…usiwe chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ya watu.
Waliposema ndoa iheshimiwe na watu wote hawakua na maana ndoa ya mwanamke mmoja na wanaume wawili , ndoa ilisha vunjika siku nyingi ambae hajui ni rafiki yako hivyo mtaarifu tu, mtumie hiyo video hata kwa mail mpya ya kutengeneza
 
Je nikimwambia kwa njia ya simu Ina Afya au nionane naye ana kwa ana....???
Maana kwa Sasa nipo mbali naye kwa Maana ya distance.

Wewe tumia muda mrefu mpigie simu kamanda muulize kwa mapana juu ya welfare yake na ndoa kiujumla, na muulize kwa upana maisha ya ndoa anayaonaje, nje na makwazo yale ya madeni ya mwanzo je kwa sasa yukoje? Ana changamoto zozote kwa sasa? Mpongeze kwa kuoa, kama hujaoa mwambie unatamani ndoa pia, mdodose kuhusu any joint projects kati yake na mkewe zilizopo na tarajiwa, uliza kwa kiasi gani mkewe ni mshirika na msiri wake wa karibu wa kimaendeleo taarifa za kibenki, mashamba, nyumba, viwanja, biashara etc.
Kisha namna nzuri kwa baadae ikihitajika taarifa na videos na picha usitoe wewe mtumie baharia mwingine kbsa.

Mpime kwenye mastori yenu kama mwamba ana kifua ama kaba ya kiume.

Kuchapiwa si sehemu ya kubebeana kwenye maisha ya ndoa.
 
Mambo ya ndoa humalizwa na wanandoa, usiingilie ndoa yao, utajiweka katikati ya migogoro bila sababu yoyote na mwisho wake kupoteza hata urafiki !
Acha ujinga wewe,mitaani kote wanawake wanapofanya ujinga wao pasipo wanaume zao kujua lakini badaye huja kugundua kupitia majirani na watu wa karibu.
Huyo Jamaa anatakiwa amwambie ni kitu kibaya sana mwanamke kuchepuka,kibaya zaidi ya kibaya.
 
utakapomtumia video au picha atasema hizo picha ni za zamani!!alipokuwa na x wake!

embu endelea kupata ushauri humu labda unaweza kupata solution.
lakini never let this go undone!
muokoe msela inaonyesha ameshikwa maskio sana.
 
Kuna jamaa walikuwa wanajua ya kwamba shemeji yao anamegwa na njemba fulani kutokana na urafiki wao wakawa wanumia sana wakamwambia muhusika na wakandaa mtego, cku ya cku muhusika akapigiwa cm mkeo agawa uroda njoo ushuhudie huku jamaa akafika chap kwa haraka, wakamwambia subili hapa maana wameingia gest, wakasubili muda wakawaona wanatoka huku wamekumbatia basi kwa kuwa ilikuwa ucku jamaa akawa anawafuatilia kwa nyuma bila wao kujua, kufika mbele wakasimama wakiongea mwanamke akasema ngoja nimuwai huyu bwege atakuwa amesharudi jamaa kusikia vile uzalendo ukamshinda akamchoma kisu mwanamme na kufa pale pale, mwisho mwanamme amefunga mgoni amekufa mwanamke ameolewa tena hukoooooooooooooooooooooooooo, marafiki wanajuta kwa walichokifanya.
 
Screenshot picha na what sap messages halafu mtumie.Kisha omba muda umuelezee ishu nzima,mwanamke Malaya si wa kumfichia mambo yake ni hatari kwa rafiki yako.
 
aise vunga tu,kunguru hafugiki ipo siku rafiki yako atajionea mwenyewe,haiingii akilini kama tayari wana ndoa na bado anapostiwa kwenye group za wasap,kumwambia rafikio ni kuuweka urafiki wenu mashakani asilimia ya kuendelea kuwa marafiki endapo utamwambia ni 1 tu mapenzi ni zaidi ya ukichaa...wacha na wala usithubutu kumwambia kama bado unahitaji kuendeleza urafiki wenu...ipo siku atajua na usishangae wewe unaweza kumwambia kumbe mwenzako anajua siku nyingi ila ameamua kukubaliana na matokeo
 
Naona utumie busara kumwambia amchunguze mkewe na safari zake ila usimwambie direct. Kama anampenda sana mke wake anaeza akaona unamsingizia na hata ukionyesha ushahidi mwanamke anaweza jitetea ukaonekana mbaya…mapenzi yana ufala mwingi, maandiko matakatifu ya biblia yanasema Ndoa na iheshimiwe na watu wote…usiwe chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ya watu.
Kama mwenye ndoa kashindwa kuiheshimu wewe Baki utaweza?
 
Back
Top Bottom