Naombeni ushauri nipo njia panda

Miezi 6 imepita sasa ila nashukuru kwa uamuzi niliochukua aisee kuna familia nyingine sizo kabisa. Mtu unaingia chaka kabisa.
Utabaki kuwa single mother maisha yako yote!!!! Kukosa akili ndio kumekupoteza
 
Heshima ni kwa mume wako otherwise usiolewe kabsa! Single mother.....
 
Utabaki kuwa single mother maisha yako yote!!!! Kukosa akili ndio kumekupoteza
Nashukuru nimekuwa single mother kwa heri. Na kama usingle mother ni dhambi basi sina shida kuwa mdhambi. Bora nilivyoondoka kwenda kwetu kuliko ningeondoka baada ya kuletewa magonjwa ndani nikiwa na mtoto mdogo. Kaka /dada yangu dunia ina mengi sana ni kumshuru Mungu kwa kila jambo.
 
Nilimweshimu sana baba mtoto wangu lakini sikuwa appriciated sababu sikuwa kabila lake sikuwa mchaga. Ndio maana nakwambia kaka mshukuru Mungu kwa kila jambo mimi hata sioni aibu wala sijisikii vibaya kuitwa single mother ni kweli nina binti mzuri sana ambae siishi na baba yake. Hata nikiwa single mother milele kama unavyosema binti yangu anastahili kuliko mwanaume niliyemwacha.
Heshima ni kwa mume wako otherwise usiolewe kabsa! Single mother.....
 
Kwa tabia ulizo onyesha hapa, you deserve to be a single mother!
Ktk hoja zako hakuna sehemu ulieleza shaka ya kuletewa magonjwa!
Naona unaugua ugonjwa wa ujinga
 
Hayo mambo ya ukabila yametoka wapi tena? Kutokana na maelezo yako, hukufukuzwa, uliondoka mwenyewe! So, ukabila unatoka wapi hapo??
 
Kwa tabia ulizo onyesha hapa, you deserve to be a single mother!
Ktk hoja zako hakuna sehemu ulieleza shaka ya kuletewa magonjwa!
Naona unaugua ugonjwa wa ujinga
Naona may be una stress zako kaka pole. Ila narudia kusema usilolijua liache kama lilivyo. Unafikiri kuwa single mother ni tusi au ugonjwa? Ila pole sana kwa unayopitia unaonekana haupo vizuri kisaikolojia
 
Hayo mambo ya ukabila yametoka wapi tena? Kutokana na maelezo yako, hukufukuzwa, uliondoka mwenyewe! So, ukabila unatoka wapi hapo??
Ingekuwa sijui ID ya baba mtoto wangu basi ningehisi ni yeye nini ila kwa kuwa anaijua basi nmehisi unapitia kipindi kigumu basi ukaona heri uje kumalizia stress zako hapa ukidhani ukiniita single mother nitajisikia vibaya. Narudia tena kuwa single mother sio ulemavu wala ugonjwa. Niliondoka kwake February ila kuna mengi yametokea hapa kati nimejua mengi sana ambayo sijilaumu kwa lolote. Pole kwa magumu unayopitia pia.
 
Sio binti yako ni binti yenu. Ubinafsi unawatafuna wanawake wa siku hizi. Ndo nyie mnakuja kuwajaza watoto chuki dhidi ya baba zao.

Na wewe huyo wako utakuja kumkuza unamjaza mineno kibao juu ya baba ake hadi na yeye amchukie baba ake kwa mambo ambayo mmekoseana wenyewe na isitoshe huenda angesikiliza upande wa baba huenda angekuona we mama ndo pompoma kwa uamuzi uliofanya wa kumuacha baba ake.

Shame
 
Pole kwa povu mkuu inaonekana ulitelekeza mwanamke na mtoto sasa hivi mtoto wako hataki hata kukusikia. Mimi sina hiyo tabia hata leo binti alikuwa na baba yake na anatumia muda mwingi nae. kusema binti yangu au yetu hakuelezei chochote juu ya uhisiano walio nao baba na mtoto
 

Umelipiwa mahari
Umepata mimba
Umeitwa ukweni kuifungua
Wewe tayari ni mtu mwenye maisha yako. Tumia busara kuongea na wazazi wako watakuelewa
 
Kama anakupenda atakufuata mfunge ndoa
.
Usikatishwe tamaa na maneno ya waropokaji,upo sawa kwa uamuzi ulichukua mahari siyo ndoa,ndoa ni cheti.
 
Kama huyo kwenye avatar ni wewe basi unafaa kuliwa na kuacha. Haiwezekani mke wa mtu ukavaa hivyo, na ukaweka picha ya hivyo
 
Acha kupanic single mother. Mi nimetoa ushauri wangu kutokana na experinve niliyo nayo katika malezi niliyolelewa mimi pamoja na wadogo zangu. Kwa taarifa yako mimi sijaoa na sina hata mtoto wa kusingiziwa. Na sababu kubwanya kutotaka kuzaa na mwanamke ambaye sijamuoa/sitamuoa ni hiyo. Sitaki watoto wangu walelewe na single mother. Maana nimeona wadogo zangu waliolelewa na mama wanavyomchukulia baba wakati mimi niliyelelewa na bibi niko very positive kwa baba.

Ukiona % kubwa wanapinga uamuzi wako na kukuponda usifikiri wana jambo binafsi na wewe. Ukumbuke hatukufaham personally kwa hiyo hatuna chochote cha kukuchukia bali tunakuelekeza upate picha halisi ya maamuzi uliyofanya ikoje kwa jamii na kwa future yako na mtoto wako.

Sasa wewe weka mbele ujuaji na kufikiria watu wote wanakuchukia, olayemanya
 
Sijapanick ila nawashangaa mnavyoipamba hiyo single mother utafikiri ni ulemavu. Halafu kumbe mama yako pia ni single mother na wewe ni mtoto wa single mother sasa amepungukiwa nini mama yako mpaka muwaatack hivyo single mothers? Na asilimia kubwa ya wanaume wa JF wanaowasema single mothers kila kukicha wamelelewa na single mothers.
 
Mama acha kubishana na watu wa humu wana stress ajira hakuna mshahara mwaka wa 3 sijui wa ngapi hakuna increment just live your life baby girl.
 
Wewe ndio umechanganyikiwa, I thought these stories are not real! But from this reaction, naamini ni kwel!
After all umefanya yote uliyotaka, na matokeo yameonekana, je kuna wakumlaumu??
Naona may be una stress zako kaka pole. Ila narudia kusema usilolijua liache kama lilivyo. Unafikiri kuwa single mother ni tusi au ugonjwa? Ila pole sana kwa unayopitia unaonekana haupo vizuri kisaikolojia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…