trudie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 3,668
- 8,745
- Thread starter
- #101
Hapana shida sio harusi..shida ya wazazi wangu ni kwamba kama wananichukua bila harusi basi wao waambiwe ili wanikabidhi sio kuondoka kienyeji kama hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana shida yako na ndugu zako ni harusi?,ww ni mke wa mtu tayari ikiwa umelipiwa mahari hata kibiblia inajulikana hivyo,harusi ni mbwembwe tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app