Naombeni ushauri nipo njia panda

Naombeni ushauri nipo njia panda

Ila hiyo kauli duh, (eti ukienda kwenu usirudi) kweli kuna mapenz hapo? Mbona ni jambo linalomalizika kistaarabu kama kweli anakupenda na sio kukupa vitisho, pole ndugu yangu mana huyo mume mmh. Na kingine mahari sio ndoa siku yoyote akiamua anaweza dai arudishiwe ili kila mtu aendelee na maisha yake, au anaweza kuamua kuisamehe tu na akaoa mwingine
 
1. Sijaajiliwa bado nimemaliza chuo december nipo katika kutafuta ajir
2. Naweza nikasema ni poor kwa experience yangu mimi nilivyoishi nae
3. Tunapendana sana na tunajitahidi kufight mahusiano yetu sana tuu
4. Poor sababu mwenza wangu hana hata mawasiliano na familia yangu toka wametoa mahari na wanamshangaa sana kuhusu hilo
5. Kipato ni cha kawaida sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kutokana na Jibu namba 2 na namba 4 naomba nkwambie itoe ndoa kama priority yako kwa sasa ila endlea kuish na mwenza wako huku una focus kutengeneza kipato chako mwenyewe wether kuajiriwa au biashara kwa maana kwamba, right now hata ukirud kwenu hakuna ambae anaweza kuwa msaada kwako and yet utamtegmea mwenza wako kwa matunzo ya mtoto.
Pia Boreshen mahusiano yenu na wazaz wa pande zote mbili kwa maana mngekua mnaelewana vzur hili swala la ndoa ni dogo sana halihtaji kupigishana mikwara kama hyo.
 
Ninyi wabena wa wapi mnaopenda mpaka harusi. Mpilushe sendi nza vanu nde visaha uhupiliha uhwenyo. Mimi najua jamaa kalipa mahari kashamaliza harusi ni mbwembwe zingine. Unye mlivabena wa whiya . Kilichobaki ni kubariki ndoa endapo mtapata hela . Mmeshapakuana mpaka mkapata mtoto . We mbena ebu jifikirie Kwanza. Angalia uwezoni wa mume wako kama anauwezo wa hiyo ndoa kwasasa. Ningekuwa Mimi ningeomba wazazi wako wanirudishie pesa zangu nifanyie masuala Mengine. Jiandae kuwa single mother.

Sent using Jamii Forums mobile app
ndipulihe mwagito lakini shida inakuja hawakuwa wazinsiku wanavyotoa mahari. Isendi zao zipo kama unavyojua wabena wakipokea mahari hawatumii mapema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo Ni Nini????nendeni kanisani km wakristo mtafuteni mchungaji mmalize mambo ht nusu saa haiishi km ni waislamu ndo hamna longo longo kabisaaaaaa shehe namashahidi kadhaa.....
Mali imetolewa unahitaji baraka za Mungu tu sio sherehe....lakini hujasema msimamo wa mumeo maana yeye ndo mtu wa mwisho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh! Hiyo ndio maana halisi ya maisha,ni kukutana na changamoto mwanzo mwisho! ,,,. ushauri wangu ni huu, usome kwa makini kabisa, nyumbani kwenu ulifuatwa, na ukachukuliwa kwa makubaliano, hata sasa usiondoke ukweni mpaka wazazi wako watakapo kufuata hapo na kuja kuongea na mama mkwe wako , waambie wazazi wako wakufuate ,,,,. bila hivyo utaonekana jeuri, na haufai kuwa mke, kitendo cha kupokea mahali wazazi wako, tayari walibariki wewe kuolewa kilichobaki ni sherehe tu, , usiondoke mpaka wazazi wako wakufuate, waje waonge na wakwe zako.
 
ndipulihe mwagito lakini shida inakuja hawakuwa wazinsiku wanavyotoa mahari. Isendi zao zipo kama unavyojua wabena wakipokea mahari hawatumii mapema

Sent using Jamii Forums mobile app
Tayari Umeshazaa na Una mtoto . afadhali ungekuwa hujazaa. pia umri wako umeshaenda Tayari 25 ni umru mkubwa kuishi nyumba kuna kero nyingi pia endapo utaachana na mpenzi wako process ya kutafuta mwingine ni ngumu. Pia umemaliza Chuo hujaajiriwa fikiria jinsi malezi ya mtoto yatakavyokuwa ukirudi home, Je wazazi wako watakupa huduma zakwako na za mtoto. Angalia negative na positive effect zitakazotokea.najua wazee wetu ni wagumu kuelewa ila Waeleze wazazi wako full situation na kwamba mumeo Hana hela Kwa sasa. Ndoa mnaweza mkabariki hata baada ya Miaka 10. Maisha ni magumu. Situation hiyo wazazi wako wanayoanza kuonesha sio nzuri Kwa future ya ndoa yenu. Pia kama ni wagumu kuelewa mshauri mmeo kama itawezekena barikini ndoa bila sherehe yeyote ile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msikilize mumeo mama yako tupa kule, kwani anataka kuolewa yeye?
Habarini wana JF,

Kwanza niwatakie heri ya sikukuu ya wapendanao mzidi kupendana. Tukirudi katika mada mimi ni mwanamke wa miaka 25 na mama wa mtoto mmoja. Nina mwenza wangu ambae ndio baba wa mtoto wangu.
Kinachonifanya niombe ushauri ni hali iliyopo sasa.
Mwaka jana mwezi wa 6 mwenzi wangu alikuja kutoa mahari kwetu na kunivalisha pete ya uchumba wakati huo nilikuwa na mimba ya miezi 5.

Upande wa kiume wakaahidi tufunge ndoa mwezi wa 12 lakini ikaonekana kama Mungu akijalia nitajifungua salama basi mtoto atakuwa mdogo sana basi wakasogeza mpaka mwezi wa 4 mwaka huu na wakasema inabidi nikajifungue kwa mamamkwe na nitakuwa chini ya uangalizi wake .
namshukuru Mungu nilijifungua salama.

Sasa hivi mtoto ana miezi 5 wazazi wangu wanasema nirudi nyumbani sababu sijaolewa mpaka wanikabidhi kwa ndoa kabisa ila mama mkwe anasema nibaki sababu mahari ni ndoa tayari kanisani kubariki tuu mimi ni mke wa mtu. mchumba wangu ananiambia nikiondoka kurudi kwetu niondoke moja kwa moja nisirudi kwake. naombeni ushauri wenu juu ya hili.
Je ni kweli ukishatolewa mahari unakuwa umeolewa? Na nifanye nini katika hili? Mimi ni mbena na mchumba wangu ni mchaga.
Natanguliza shukrani.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tayari Umeshazaa na Una mtoto . afadhali ungekuwa hujazaa. pia umri wako umeshaenda Tayari 25 ni umru mkubwa kuishi nyumba kuna kero nyingi pia endapo utaachana na mpenzi wako process ya kutafuta mwingine ni ngumu. Pia umemaliza Chuo hujaajiriwa fikiria jinsi malezi ya mtoto yatakavyokuwa ukirudi home, Je wazazi wako watakupa huduma zakwako na za mtoto. Angalia negative na positive effect zitakazotokea.najua wazee wetu ni wagumu kuelewa ila Waeleze wazazi wako full situation na kwamba mumeo Hana hela Kwa sasa. Ndoa mnaweza mkabariki hata baada ya Miaka 10. Maisha ni magumu. Situation hiyo wazazi wako wanayoanza kuonesha sio nzuri Kwa future ya ndoa yenu. Pia kama ni wagumu kuelewa mshauri mmeo kama itawezekena barikini ndoa bila sherehe yeyote ile

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilishamshauri tubariki bila sherehe ili tuwaridhishe wazazi wa pande zote lakini alikataa anataka sherehe kubwa wakati kwa sasa hali sio nzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh! Hiyo ndio maana halisi ya maisha,ni kukutana na changamoto mwanzo mwisho! ,,,. ushauri wangu ni huu, usome kwa makini kabisa, nyumbani kwenu ulifuatwa, na ukachukuliwa kwa makubaliano, hata sasa usiondoke ukweni mpaka wazazi wako watakapo kufuata hapo na kuja kuongea na mama mkwe wako , waambie wazazi wako wakufuate ,,,,. bila hivyo utaonekana jeuri, na haufai kuwa mke, kitendo cha kupokea mahali wazazi wako, tayari walibariki wewe kuolewa kilichobaki ni sherehe tu, , usiondoke mpaka wazazi wako wakufuate, waje waonge na wakwe zako.
asante sana kwa ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wana JF,

Kwanza niwatakie heri ya sikukuu ya wapendanao mzidi kupendana. Tukirudi katika mada mimi ni mwanamke wa miaka 25 na mama wa mtoto mmoja. Nina mwenza wangu ambae ndio baba wa mtoto wangu.
Kinachonifanya niombe ushauri ni hali iliyopo sasa.
Mwaka jana mwezi wa 6 mwenzi wangu alikuja kutoa mahari kwetu na kunivalisha pete ya uchumba wakati huo nilikuwa na mimba ya miezi 5.

Upande wa kiume wakaahidi tufunge ndoa mwezi wa 12 lakini ikaonekana kama Mungu akijalia nitajifungua salama basi mtoto atakuwa mdogo sana basi wakasogeza mpaka mwezi wa 4 mwaka huu na wakasema inabidi nikajifungue kwa mamamkwe na nitakuwa chini ya uangalizi wake .
namshukuru Mungu nilijifungua salama.

Sasa hivi mtoto ana miezi 5 wazazi wangu wanasema nirudi nyumbani sababu sijaolewa mpaka wanikabidhi kwa ndoa kabisa ila mama mkwe anasema nibaki sababu mahari ni ndoa tayari kanisani kubariki tuu mimi ni mke wa mtu. mchumba wangu ananiambia nikiondoka kurudi kwetu niondoke moja kwa moja nisirudi kwake. naombeni ushauri wenu juu ya hili.
Je ni kweli ukishatolewa mahari unakuwa umeolewa? Na nifanye nini katika hili? Mimi ni mbena na mchumba wangu ni mchaga.
Natanguliza shukrani.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo busara za pande za wazee zinahitajika, ongea na mkubwa upande huu na mkubwa mwengine upande ule waeleze uhalisia ikiwezekana pande hizo mbili ambazo mnaziunganisha wakubaliane sioni kama ni mgogoro. tena kuwa makini na kukuza mambo madogo mno hayo yanazungumzika ila si kwako we fikisha ujumbe kwa wakubwa wa kwako waongee na wenzo.all the best kwenye ndoa
 
Hapo busara za pande za wazee zinahitajika, ongea na mkubwa upande huu na mkubwa mwengine upande ule waeleze uhalisia ikiwezekana pande hizo mbili ambazo mnaziunganisha wakubaliane sioni kama ni mgogoro. tena kuwa makini na kukuza mambo madogo mno hayo yanazungumzika ila si kwako we fikisha ujumbe kwa wakubwa wa kwako waongee na wenzo.all the best kwenye ndoa
asante sana kwa ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokana na Jibu namba 2 na namba 4 naomba nkwambie itoe ndoa kama priority yako kwa sasa ila endlea kuish na mwenza wako huku una focus kutengeneza kipato chako mwenyewe wether kuajiriwa au biashara kwa maana kwamba, right now hata ukirud kwenu hakuna ambae anaweza kuwa msaada kwako and yet utamtegmea mwenza wako kwa matunzo ya mtoto.
Pia Boreshen mahusiano yenu na wazaz wa pande zote mbili kwa maana mngekua mnaelewana vzur hili swala la ndoa ni dogo sana halihtaji kupigishana mikwara kama hyo.
Ushauri bora kabisa. Kama asipofuata hya basi atakua zwazwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni dini gani??

Kama n muslim ndoa ina nguzo zake, lazima mawalii wa pande zote mbili wawepo na watoe idhini ya kukuozesha kama hili halijapita wewe bado kua mke

Hata kama anataka kukuoa lakini lazima aheshim mawazo ya wazazi wako, imagine umezaliwa wazazi wako wakateseka kukulea kwa shida na raha ukawa hivi had nawe waenda itwa mama leo uwakaidi

Siamini sana kwenye ndoa za kimila, nimeshahudia pia watu wametolewa mahari harusi ikapangwa na bado ndoa haikua kiimani hujakua mke halali bado.

Ukitolewa mahari ww ni mchumba wa mtu sio mke.
Nyie ndio mnasababisha single mother wanaongezeka. .............mshauri arudi I'll abaki single mother. .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wana JF,

Kwanza niwatakie heri ya sikukuu ya wapendanao mzidi kupendana. Tukirudi katika mada mimi ni mwanamke wa miaka 25 na mama wa mtoto mmoja. Nina mwenza wangu ambae ndio baba wa mtoto wangu.
Kinachonifanya niombe ushauri ni hali iliyopo sasa.
Mwaka jana mwezi wa 6 mwenzi wangu alikuja kutoa mahari kwetu na kunivalisha pete ya uchumba wakati huo nilikuwa na mimba ya miezi 5.

Upande wa kiume wakaahidi tufunge ndoa mwezi wa 12 lakini ikaonekana kama Mungu akijalia nitajifungua salama basi mtoto atakuwa mdogo sana basi wakasogeza mpaka mwezi wa 4 mwaka huu na wakasema inabidi nikajifungue kwa mamamkwe na nitakuwa chini ya uangalizi wake .
namshukuru Mungu nilijifungua salama.

Sasa hivi mtoto ana miezi 5 wazazi wangu wanasema nirudi nyumbani sababu sijaolewa mpaka wanikabidhi kwa ndoa kabisa ila mama mkwe anasema nibaki sababu mahari ni ndoa tayari kanisani kubariki tuu mimi ni mke wa mtu. mchumba wangu ananiambia nikiondoka kurudi kwetu niondoke moja kwa moja nisirudi kwake. naombeni ushauri wenu juu ya hili.
Je ni kweli ukishatolewa mahari unakuwa umeolewa? Na nifanye nini katika hili? Mimi ni mbena na mchumba wangu ni mchaga.
Natanguliza shukrani.


Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na mahusiano ya ki.seng.e hayo !hujaolewa hali ndio hiyo ukiolewa itakuwaje na kwa nn mnakaa ukweni ?huyo mjamaa wako inaonesha anaendeshwa na mama yake hadi katika mahusiano a mamma boy!
Achana nae njoo kwangu sina mashart ya ki cho.ko kwenye mapenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom