kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,058
- 3,613
Wakuu kwema,
kama mada inavyojieleza, hapa nipo njia panda nakosa la kufanya,naamin ntapata maoni kupitia nyinyi.
Labda niwaeleze kisa na mkasa mpaka kufikia hatua ya kupandisha uzi usiku huu.
Nina rafiki ambaye tulitokea kuwa marafiki na kilichotukutanisha ni kazi tuliyokuwa tukifanya sehemu moja (kampuni moja), nadhan ni moja ya marafiki ambao tuliaminiana kwa mengi sana na tumekuwa tukishirikiana katika mambo kadha wa kadha (nampa big up sana hana roho mbaya) kiumri ananizidi mbali,yeye ana mke na mtoto.
Kadiri siku zilivyozidi kwenda alinitambulisha kwa mkewake so tukawa kama ndugu sasa huku mm nikimwita mkewake shemeji.
Wakati tukiendelea na kazi jamaa ilibidi amfanyie mchongo mkewake naye akapata kazi hapo hapo tukaendelea kusukuma gurudumu. tatzo lilianza mkewake alitengeneza mazoea ya ghafla na mm ,ule u-shem shem na kumisiwa kukawa kwingi, japokuw nilijitahid kumkwepa lkn alikaza mwishowe jamaa nafikir aliusoma mchezo mzima
Upesi upesi jamaa kapunguza ule ukaribu yaan yale mazoea hataki tena, sikutaka hata kuuliza mimi pia nikala kmya, sasa kwa upande wake akahisi ni kweli namchapia mkewe.
Sasa juzi mwamba hakufika kazini wala kakutoa taarifa yoyote, alikuja mkewake tu na wafanya kaz wengne kwa mbali nikawasikia waliokuw pembeni wakidai jamaa anaumwa,
Kumbuka wakati huo mi sina mazoea na shemej zaidi ya yeye kunichangamkia tu.
Muda wa kurudi home naona text
No ngeni "mamb"
Mimi safi habari
No ngen. nzur 2
Nikaipotezea, dakika chache simu inaita namba ileile akajitambulisha na akanipa habari za mumewe kuugua bas nikawapa pole yao na maongezi yakaishia hapo
Nafika nyumbani text tena inaingia
No ngeni (ile ile)
"ila shem huwa nakumic sana ni bas tu usinifikirie vibaya jamani"
Mimi."shem tulia na mme wako" yeye."hata kama ila mi nakupenda tambua hilo'
Sikujibu tena kwanza nilihisi wapo wote wananiigizia kwanza namba kaipata wap.
Ndugu zangu ile meseji kwanza ilitisha nikahisi ni mtego so nikaichunia nikaendelea na masuala mengne hata yy kakunichek tena
Sasa jana nimekaa zangu home naona mwamba huyu hapa na mkewake,aisee hata kabla sijawakaribisha mwamba kaniporomoshea matusi ya nguoni huku mwanamke analia.
Cha kushangaza zaidi akanambia "kwa kuwa mnapendana nimeamua kukuletea kabsa furahini sasa" kisha jamaa huyo akaondoka speed kwa mbaaali namsikia akimshukuru kwa kumzalia tu mtoto.
Huyu shemej akanipa mkasa sasa aisee kwanza nilihuzunika kumbe zile sms alifuta zikabak kwenye recycle bin (wazee wa Samsung) alijisahau na mme wake akazifuma kule kule
Sasa wazee nipo njia panda mwanamke kakimbilia kwa rafik yake ,kule jamaa nae sijui ananifikiria nn na mm natafuta njia ya kumuaminisha kuwa sikuwa wala sina mahusiano na mkewake,
Naombeni ushauri juu ya hili
kama mada inavyojieleza, hapa nipo njia panda nakosa la kufanya,naamin ntapata maoni kupitia nyinyi.
Labda niwaeleze kisa na mkasa mpaka kufikia hatua ya kupandisha uzi usiku huu.
Nina rafiki ambaye tulitokea kuwa marafiki na kilichotukutanisha ni kazi tuliyokuwa tukifanya sehemu moja (kampuni moja), nadhan ni moja ya marafiki ambao tuliaminiana kwa mengi sana na tumekuwa tukishirikiana katika mambo kadha wa kadha (nampa big up sana hana roho mbaya) kiumri ananizidi mbali,yeye ana mke na mtoto.
Kadiri siku zilivyozidi kwenda alinitambulisha kwa mkewake so tukawa kama ndugu sasa huku mm nikimwita mkewake shemeji.
Wakati tukiendelea na kazi jamaa ilibidi amfanyie mchongo mkewake naye akapata kazi hapo hapo tukaendelea kusukuma gurudumu. tatzo lilianza mkewake alitengeneza mazoea ya ghafla na mm ,ule u-shem shem na kumisiwa kukawa kwingi, japokuw nilijitahid kumkwepa lkn alikaza mwishowe jamaa nafikir aliusoma mchezo mzima
Upesi upesi jamaa kapunguza ule ukaribu yaan yale mazoea hataki tena, sikutaka hata kuuliza mimi pia nikala kmya, sasa kwa upande wake akahisi ni kweli namchapia mkewe.
Sasa juzi mwamba hakufika kazini wala kakutoa taarifa yoyote, alikuja mkewake tu na wafanya kaz wengne kwa mbali nikawasikia waliokuw pembeni wakidai jamaa anaumwa,
Kumbuka wakati huo mi sina mazoea na shemej zaidi ya yeye kunichangamkia tu.
Muda wa kurudi home naona text
No ngeni "mamb"
Mimi safi habari
No ngen. nzur 2
Nikaipotezea, dakika chache simu inaita namba ileile akajitambulisha na akanipa habari za mumewe kuugua bas nikawapa pole yao na maongezi yakaishia hapo
Nafika nyumbani text tena inaingia
No ngeni (ile ile)
"ila shem huwa nakumic sana ni bas tu usinifikirie vibaya jamani"
Mimi."shem tulia na mme wako" yeye."hata kama ila mi nakupenda tambua hilo'
Sikujibu tena kwanza nilihisi wapo wote wananiigizia kwanza namba kaipata wap.
Ndugu zangu ile meseji kwanza ilitisha nikahisi ni mtego so nikaichunia nikaendelea na masuala mengne hata yy kakunichek tena
Sasa jana nimekaa zangu home naona mwamba huyu hapa na mkewake,aisee hata kabla sijawakaribisha mwamba kaniporomoshea matusi ya nguoni huku mwanamke analia.
Cha kushangaza zaidi akanambia "kwa kuwa mnapendana nimeamua kukuletea kabsa furahini sasa" kisha jamaa huyo akaondoka speed kwa mbaaali namsikia akimshukuru kwa kumzalia tu mtoto.
Huyu shemej akanipa mkasa sasa aisee kwanza nilihuzunika kumbe zile sms alifuta zikabak kwenye recycle bin (wazee wa Samsung) alijisahau na mme wake akazifuma kule kule
Sasa wazee nipo njia panda mwanamke kakimbilia kwa rafik yake ,kule jamaa nae sijui ananifikiria nn na mm natafuta njia ya kumuaminisha kuwa sikuwa wala sina mahusiano na mkewake,
Naombeni ushauri juu ya hili