AMARII
JF-Expert Member
- Aug 23, 2023
- 722
- 2,123
Dogo tatizo lako ni kumu entertain Mke wa rafiki yako... Mbaya zaidi jamaa alijisogeza nyuma wewe ulivyo fala ndio ukazidisha ukaribu na shemeji yako.. Jamaa alikuwa ana wa zoom from a distance. Aliona mengi bila shaka... Hilo ni kosa la kwanza.
Kosa la pili wewe ni muongo muongo... Hapa unatuomba ushauri ila bado unasema uongo. Huyo shemeji yako ulikuwa una chat nae zaidi ya unavyosema hapa.... Na hadi ukawa unajua jamaa hamjali Mke wake maana yake uliweka ukaribu ili wewe ndio uonekane unajua kujali.. Simping
Kosa la tatu siku jamaa kaja na Mke wake kwako na kutoa tuhumu wewe ulibaki ukicheka cheka tu kama zuzu.. Pale ungekaza hata umchape makofi jamaa na Mke wake kwa kukuvunjia heshima. Wewe ukatulia Mke wa mtu kaachwa ndani kwako mume akaondoka wewe ukabaki nae tu.. Na bado mkaendeleza stories ndio baadae akaondoka..
Mumewe alishakutuhumu... Kamleta kwako na wewe ukatulia.. Kama jamaa aliondoka hatua chache anageuka nyuma anashangaa Mke yupo ndani kwako tuu.. Dakika kadhaa... Hapo huyo jamaa ndio anachorea mstari majibu yake.
Sasa, wote bahati mbaya mnafanya kazi ofisi moja. Hili jambo likifika ofisini ni lazima hatua zitachukuliwa. Na ni obvious alieingilia ndoa ya watu ndio atakae shughulikiwa.
Kosa la pili wewe ni muongo muongo... Hapa unatuomba ushauri ila bado unasema uongo. Huyo shemeji yako ulikuwa una chat nae zaidi ya unavyosema hapa.... Na hadi ukawa unajua jamaa hamjali Mke wake maana yake uliweka ukaribu ili wewe ndio uonekane unajua kujali.. Simping
Kosa la tatu siku jamaa kaja na Mke wake kwako na kutoa tuhumu wewe ulibaki ukicheka cheka tu kama zuzu.. Pale ungekaza hata umchape makofi jamaa na Mke wake kwa kukuvunjia heshima. Wewe ukatulia Mke wa mtu kaachwa ndani kwako mume akaondoka wewe ukabaki nae tu.. Na bado mkaendeleza stories ndio baadae akaondoka..
Mumewe alishakutuhumu... Kamleta kwako na wewe ukatulia.. Kama jamaa aliondoka hatua chache anageuka nyuma anashangaa Mke yupo ndani kwako tuu.. Dakika kadhaa... Hapo huyo jamaa ndio anachorea mstari majibu yake.
Sasa, wote bahati mbaya mnafanya kazi ofisi moja. Hili jambo likifika ofisini ni lazima hatua zitachukuliwa. Na ni obvious alieingilia ndoa ya watu ndio atakae shughulikiwa.