Naombeni ushauri wa busara, amemfukuza mke wake kwa sababu yangu

Naombeni ushauri wa busara, amemfukuza mke wake kwa sababu yangu

Dogo tatizo lako ni kumu entertain Mke wa rafiki yako... Mbaya zaidi jamaa alijisogeza nyuma wewe ulivyo fala ndio ukazidisha ukaribu na shemeji yako.. Jamaa alikuwa ana wa zoom from a distance. Aliona mengi bila shaka... Hilo ni kosa la kwanza.

Kosa la pili wewe ni muongo muongo... Hapa unatuomba ushauri ila bado unasema uongo. Huyo shemeji yako ulikuwa una chat nae zaidi ya unavyosema hapa.... Na hadi ukawa unajua jamaa hamjali Mke wake maana yake uliweka ukaribu ili wewe ndio uonekane unajua kujali.. Simping

Kosa la tatu siku jamaa kaja na Mke wake kwako na kutoa tuhumu wewe ulibaki ukicheka cheka tu kama zuzu.. Pale ungekaza hata umchape makofi jamaa na Mke wake kwa kukuvunjia heshima. Wewe ukatulia Mke wa mtu kaachwa ndani kwako mume akaondoka wewe ukabaki nae tu.. Na bado mkaendeleza stories ndio baadae akaondoka..

Mumewe alishakutuhumu... Kamleta kwako na wewe ukatulia.. Kama jamaa aliondoka hatua chache anageuka nyuma anashangaa Mke yupo ndani kwako tuu.. Dakika kadhaa... Hapo huyo jamaa ndio anachorea mstari majibu yake.

Sasa, wote bahati mbaya mnafanya kazi ofisi moja. Hili jambo likifika ofisini ni lazima hatua zitachukuliwa. Na ni obvious alieingilia ndoa ya watu ndio atakae shughulikiwa.
 
Chema chajiuza na kibaya chajitembeza

Kama ni mwanamke mwema na hawana ndoa, mwambie tu afuate vitu vyake muoane

Kwani shilingi ngapi, ye si kasusa
 
Wakuu kwema,

kama mada inavyojieleza, hapa nipo njia panda nakosa la kufanya,naamin ntapata maoni kupitia nyinyi.

Labda niwaeleze kisa na mkasa mpaka kufikia hatua ya kupandisha uzi usiku huu.

Nina rafiki ambaye tulitokea kuwa marafiki na kilichotukutanisha ni kazi tuliyokuwa tukifanya sehemu moja (kampuni moja), nadhan ni moja ya marafiki ambao tuliaminiana kwa mengi sana na tumekuwa tukishirikiana katika mambo kadha wa kadha (nampa big up sana hana roho mbaya) kiumri ananizidi mbali,yeye ana mke na mtoto.

Kadiri siku zilivyozidi kwenda alinitambulisha kwa mkewake so tukawa kama ndugu sasa huku mm nikimwita mkewake shemeji.

Wakati tukiendelea na kazi jamaa ilibidi amfanyie mchongo mkewake naye akapata kazi hapo hapo tukaendelea kusukuma gurudumu. tatzo lilianza mkewake alitengeneza mazoea ya ghafla na mm ,ule u-shem shem na kumisiwa kukawa kwingi, japokuw nilijitahid kumkwepa lkn alikaza mwishowe jamaa nafikir aliusoma mchezo mzima

Upesi upesi jamaa kapunguza ule ukaribu yaan yale mazoea hataki tena, sikutaka hata kuuliza mimi pia nikala kmya, sasa kwa upande wake akahisi ni kweli namchapia mkewe.

Sasa juzi mwamba hakufika kazini wala kakutoa taarifa yoyote, alikuja mkewake tu na wafanya kaz wengne kwa mbali nikawasikia waliokuw pembeni wakidai jamaa anaumwa,

Kumbuka wakati huo mi sina mazoea na shemej zaidi ya yeye kunichangamkia tu.

Muda wa kurudi home naona text

No ngeni "mamb"
Mimi safi habari
No ngen. nzur 2

Nikaipotezea, dakika chache simu inaita namba ileile akajitambulisha na akanipa habari za mumewe kuugua bas nikawapa pole yao na maongezi yakaishia hapo

Nafika nyumbani text tena inaingia

No ngeni (ile ile)
"ila shem huwa nakumic sana ni bas tu usinifikirie vibaya jamani"
Mimi."shem tulia na mme wako" yeye."hata kama ila mi nakupenda tambua hilo'

Sikujibu tena kwanza nilihisi wapo wote wananiigizia kwanza namba kaipata wap.

Ndugu zangu ile meseji kwanza ilitisha nikahisi ni mtego so nikaichunia nikaendelea na masuala mengne hata yy kakunichek tena

Sasa jana nimekaa zangu home naona mwamba huyu hapa na mkewake,aisee hata kabla sijawakaribisha mwamba kaniporomoshea matusi ya nguoni huku mwanamke analia.

Cha kushangaza zaidi akanambia "kwa kuwa mnapendana nimeamua kukuletea kabsa furahini sasa" kisha jamaa huyo akaondoka speed kwa mbaaali namsikia akimshukuru kwa kumzalia tu mtoto.

Huyu shemej akanipa mkasa sasa aisee kwanza nilihuzunika kumbe zile sms alifuta zikabak kwenye recycle bin (wazee wa Samsung) alijisahau na mme wake akazifuma kule kule

Sasa wazee nipo njia panda mwanamke kakimbilia kwa rafik yake ,kule jamaa nae sijui ananifikiria nn na mm natafuta njia ya kumuaminisha kuwa sikuwa wala sina mahusiano na mkewake,

Naombeni ushauri juu ya hili
Aisee
 
Kwa ufupi wewe ndiye uliyesababisha matatizo yote hayo,
Kama ungesimama as a Gentleman,wala huyo mke wa rafiki yako asingekua na ujasiri wa kukutamkia kua anakupenda,ila alikuona unaingilika kwa jinsi ulivyokua unadeal nae,

Jiandae kutafuta kazi sehemu nyingine tu.
 
Weka wazi kwanza ndio tuingie front kukupa maujanja. Tunajua hapo there is something fishy. Kiukweli kabisa picha iko wazi unamla,unapita nae,huyo shemeji. ??.

Hapa sio mahakamani,hapa ni sehemu ya wazi unasaidiwa unapita kushoto. Sasa ukifunga code kama hivyo,hata misaada inakuwa kwenye code hivyo hivyo.

Kwa hiyo Uzi unaweza ukatembea sana kwa hiyo mpaka mwisho unaweza usijue umesaidiwa ama ndio umejiongezea misamiati ktk tatizo lako. Kumbe chanzo kimeanzia kwako kupiga pin baadhi ya mavitu
 
Nawe pia jiandaeee
Mwenzio akinyolewa wewe tia majii
 
Wakuu kwema,

kama mada inavyojieleza, hapa nipo njia panda nakosa la kufanya,naamin ntapata maoni kupitia nyinyi.

Labda niwaeleze kisa na mkasa mpaka kufikia hatua ya kupandisha uzi usiku huu.

Nina rafiki ambaye tulitokea kuwa marafiki na kilichotukutanisha ni kazi tuliyokuwa tukifanya sehemu moja (kampuni moja), nadhan ni moja ya marafiki ambao tuliaminiana kwa mengi sana na tumekuwa tukishirikiana katika mambo kadha wa kadha (nampa big up sana hana roho mbaya) kiumri ananizidi mbali,yeye ana mke na mtoto.

Kadiri siku zilivyozidi kwenda alinitambulisha kwa mkewake so tukawa kama ndugu sasa huku mm nikimwita mkewake shemeji.

Wakati tukiendelea na kazi jamaa ilibidi amfanyie mchongo mkewake naye akapata kazi hapo hapo tukaendelea kusukuma gurudumu. tatzo lilianza mkewake alitengeneza mazoea ya ghafla na mm ,ule u-shem shem na kumisiwa kukawa kwingi, japokuw nilijitahid kumkwepa lkn alikaza mwishowe jamaa nafikir aliusoma mchezo mzima

Upesi upesi jamaa kapunguza ule ukaribu yaan yale mazoea hataki tena, sikutaka hata kuuliza mimi pia nikala kmya, sasa kwa upande wake akahisi ni kweli namchapia mkewe.

Sasa juzi mwamba hakufika kazini wala kakutoa taarifa yoyote, alikuja mkewake tu na wafanya kaz wengne kwa mbali nikawasikia waliokuw pembeni wakidai jamaa anaumwa,

Kumbuka wakati huo mi sina mazoea na shemej zaidi ya yeye kunichangamkia tu.

Muda wa kurudi home naona text

No ngeni "mamb"
Mimi safi habari
No ngen. nzur 2

Nikaipotezea, dakika chache simu inaita namba ileile akajitambulisha na akanipa habari za mumewe kuugua bas nikawapa pole yao na maongezi yakaishia hapo

Nafika nyumbani text tena inaingia

No ngeni (ile ile)
"ila shem huwa nakumic sana ni bas tu usinifikirie vibaya jamani"
Mimi."shem tulia na mme wako" yeye."hata kama ila mi nakupenda tambua hilo'

Sikujibu tena kwanza nilihisi wapo wote wananiigizia kwanza namba kaipata wap.

Ndugu zangu ile meseji kwanza ilitisha nikahisi ni mtego so nikaichunia nikaendelea na masuala mengne hata yy kakunichek tena

Sasa jana nimekaa zangu home naona mwamba huyu hapa na mkewake,aisee hata kabla sijawakaribisha mwamba kaniporomoshea matusi ya nguoni huku mwanamke analia.

Cha kushangaza zaidi akanambia "kwa kuwa mnapendana nimeamua kukuletea kabsa furahini sasa" kisha jamaa huyo akaondoka speed kwa mbaaali namsikia akimshukuru kwa kumzalia tu mtoto.

Huyu shemej akanipa mkasa sasa aisee kwanza nilihuzunika kumbe zile sms alifuta zikabak kwenye recycle bin (wazee wa Samsung) alijisahau na mme wake akazifuma kule kule

Sasa wazee nipo njia panda mwanamke kakimbilia kwa rafik yake ,kule jamaa nae sijui ananifikiria nn na mm natafuta njia ya kumuaminisha kuwa sikuwa wala sina mahusiano na mkewake,

Naombeni ushauri juu ya hili
Rule 1. Usiwe na mazoea na mke wa Rafiki yako
 
Pole dogo.!ulifanya kosa kukaa kimya ila imesha tokea huna budi kutafuta suruhuu.aah..!umesema unafanya kazi kampuni moja,yaani rafiki yako,mke wake na wewe si ndio?ushauri wangu .“NENDA KWA MTU WAMAKAMO AMBAE YEYE ANA MUHESHIMU MUELEZEE KWA UKWELI NA UWAZI,KISHA AMUITE RAFIKI YAKO NA MKE WAKE MJADILI.KISHA JISHUSHE UMUOMBE MSAMAHA KWA KUTO MJULISHA MAPEMA.naami kufanya hivyo yata isha kwani KWENYE UKWELI UONGO UJITENGA.
(muhenga aishiwi busara karibu kijana)
 
Wakuu kwema,

kama mada inavyojieleza, hapa nipo njia panda nakosa la kufanya,naamin ntapata maoni kupitia nyinyi.

Labda niwaeleze kisa na mkasa mpaka kufikia hatua ya kupandisha uzi usiku huu.

Nina rafiki ambaye tulitokea kuwa marafiki na kilichotukutanisha ni kazi tuliyokuwa tukifanya sehemu moja (kampuni moja), nadhan ni moja ya marafiki ambao tuliaminiana kwa mengi sana na tumekuwa tukishirikiana katika mambo kadha wa kadha (nampa big up sana hana roho mbaya) kiumri ananizidi mbali,yeye ana mke na mtoto.

Kadiri siku zilivyozidi kwenda alinitambulisha kwa mkewake so tukawa kama ndugu sasa huku mm nikimwita mkewake shemeji.

Wakati tukiendelea na kazi jamaa ilibidi amfanyie mchongo mkewake naye akapata kazi hapo hapo tukaendelea kusukuma gurudumu. tatzo lilianza mkewake alitengeneza mazoea ya ghafla na mm ,ule u-shem shem na kumisiwa kukawa kwingi, japokuw nilijitahid kumkwepa lkn alikaza mwishowe jamaa nafikir aliusoma mchezo mzima

Upesi upesi jamaa kapunguza ule ukaribu yaan yale mazoea hataki tena, sikutaka hata kuuliza mimi pia nikala kmya, sasa kwa upande wake akahisi ni kweli namchapia mkewe.

Sasa juzi mwamba hakufika kazini wala kakutoa taarifa yoyote, alikuja mkewake tu na wafanya kaz wengne kwa mbali nikawasikia waliokuw pembeni wakidai jamaa anaumwa,

Kumbuka wakati huo mi sina mazoea na shemej zaidi ya yeye kunichangamkia tu.

Muda wa kurudi home naona text

No ngeni "mamb"
Mimi safi habari
No ngen. nzur 2

Nikaipotezea, dakika chache simu inaita namba ileile akajitambulisha na akanipa habari za mumewe kuugua bas nikawapa pole yao na maongezi yakaishia hapo

Nafika nyumbani text tena inaingia

No ngeni (ile ile)
"ila shem huwa nakumic sana ni bas tu usinifikirie vibaya jamani"
Mimi."shem tulia na mme wako" yeye."hata kama ila mi nakupenda tambua hilo'

Sikujibu tena kwanza nilihisi wapo wote wananiigizia kwanza namba kaipata wap.

Ndugu zangu ile meseji kwanza ilitisha nikahisi ni mtego so nikaichunia nikaendelea na masuala mengne hata yy kakunichek tena

Sasa jana nimekaa zangu home naona mwamba huyu hapa na mkewake,aisee hata kabla sijawakaribisha mwamba kaniporomoshea matusi ya nguoni huku mwanamke analia.

Cha kushangaza zaidi akanambia "kwa kuwa mnapendana nimeamua kukuletea kabsa furahini sasa" kisha jamaa huyo akaondoka speed kwa mbaaali namsikia akimshukuru kwa kumzalia tu mtoto.

Huyu shemej akanipa mkasa sasa aisee kwanza nilihuzunika kumbe zile sms alifuta zikabak kwenye recycle bin (wazee wa Samsung) alijisahau na mme wake akazifuma kule kule

Sasa wazee nipo njia panda mwanamke kakimbilia kwa rafik yake ,kule jamaa nae sijui ananifikiria nn na mm natafuta njia ya kumuaminisha kuwa sikuwa wala sina mahusiano na mkewake,

Naombeni ushauri juu ya hili
Madogo tushawaambia acheni mazoea na wake za watu hata kuchat nae tu ni kosa acha kabisa
 
Kuna mambo umeficha ili uonekana hauna hatia....mtu hawezi kumuacha mke aliyezaa nae watoto kizembe hivyo.
 
Umiwahi kuitazama movie ya Andhaa Kanoon(kama wewe wa kitambo kile) kama umewahi fanya kama vile Amitha akifanya..kama hujaiona hiyo movie itafute uitazame utapata majibu.
 
Umiwahi kuitazama movie ya Andhaa Kanoom(kama wewe wa kitambo kile) kama umewahi fanya kama vile Amitha akifanya..kama hujaiona hiyo movie itafute uitazame utapata majibu.
aliambiwa kaua na hajaua akafungwa alivotoka akamuona yule jamaa alofungwa kwajil yake,,akamuua kwel mbele ya watu wazito😆😆kama sijakosea
 
Back
Top Bottom