Naombeni ushauri wa chaguo sahihi kati ya haya

Naombeni ushauri wa chaguo sahihi kati ya haya

co fm

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
1,541
Reaction score
2,487
Wanajamii humu, nimatarajio yangu mko poa.

Kwanza kabisa niombeni ushauri Kati ya hizi choices, ipo hivi mimi ni kijana umri age 28 mkazi wa Sinza hapa Dar, nimepanga pamoja na vijana wenzangu wanne hivi yaani hapo kwenye huo mji tupo watano. Vijana hao wanne wote mwaka huu wamenunua magari kasoro peke yangu tu hapo sina gari, sasa mimi ninaona jau sana halafu tabia ya kuwa chawa sipendi, nina option zifuatazo.

Naomba mnisaidie kimawazo.

1. Nihame hapo kuepukana na huo unyonge japo nimepazoea.

2. Namimi ninunue gari maana nina kaakiba kangu kama milioni nne bank, nyingine nikope ili namimi niendane nao.

Which Is best option?
 
Option uliyonayo ni KUWA WEWE, acha kufanya maamuzi kwa influence ya watu wengine. Utahama hapo,huko napo utakapoenda panga utakutana na changamoto mpya.

Utalazimisha kununua gari,nalo litakugarimu maana kipato chako kinaonekana ni kidogo.
 
Acha ufala ukishanunua gari nini sasa? usifuate mtu anafanya nini zisake ukipata ngingi nunua BUGATI utakuwa umewapiku kirahisi
 
Option uliyonayo ni KUWA WEWE,acha kufanya maamuzi kwa influence ya watu wengine.Utahama hapo,huko napo utakapoenda panga utakutana na changamoto mpya.
Utalazimisha kununua gari,nalo litakugarimu maana kipato chako kinaonekana ni kidogo.

Bro sio poa…Ni rahisi kusema.Wote asubuhi wanaondoka na ndinga zao mimi nachukua boda kweli?
 
Wanajamii humu,nimatarajio yangu mko poa…Kwanza kabisa niombeni ushauri Kati ya hizi choices,ipo hivi mimi ni kijana umri age 28 mkazi wa sinza hapa Dar,nimepanga pamoja na vijana wenzangu wanne hivi yaani hapo kwenye huo mji tupo watano.Vijana hao wanne wote mwaka huu wamenunua magari kasoro peke yangu tu hapo sina gari,sasa mimi ninaona jau sana halafu tabia ya kuwa chawa sipendi,nina option zifuatazo Naomba mnisaidie kimawazo.
1. Nihame hapo kuepukana na huo unyonge japo nimepazoea.
2. Namimi ninunue gari maana nina kaakiba kangu kama milioni nne bank,nyingine nikope ili namimi niendane nao.
Which Is best option?
Option ya 3:wewe bado kijana mdogo,una nafasi ya kujijenga maisha yako kabla ya kuiga wengine.
Cha msingi badilisha fikra za unyonge na udhaifu,kuwa na mtazamo chanya,mbele mambo yatakunyookea..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Wanajamii humu,nimatarajio yangu mko poa…Kwanza kabisa niombeni ushauri Kati ya hizi choices,ipo hivi mimi ni kijana umri age 28 mkazi wa sinza hapa Dar,nimepanga pamoja na vijana wenzangu wanne hivi yaani hapo kwenye huo mji tupo watano.Vijana hao wanne wote mwaka huu wamenunua magari kasoro peke yangu tu hapo sina gari,sasa mimi ninaona jau sana halafu tabia ya kuwa chawa sipendi,nina option zifuatazo Naomba mnisaidie kimawazo.
1. Nihame hapo kuepukana na huo unyonge japo nimepazoea.
2. Namimi ninunue gari maana nina kaakiba kangu kama milioni nne bank,nyingine nikope ili namimi niendane nao.
Which Is best option?
Gari ni artificial higher stage of life not actual, kwa hiyo Ishi uanavyopenda na pia upende unavyoishi, usijilinganishe na mtu au kitu. Imagine wote wangekuwa wamepata majanga, je na wewe ungetaka upate? Ungeiga kununua kiwanja au kujenga ningekusifu.
 
Sawa ila sio poa,najaribu hadi nahisi vidada vya hapo nje nivanisema
152409-If-People-Talk-Behind-Your-Back-Just-Fart.jpg
 
Hiv umeshayaona maisha yako bahada yakununua iyo gari yatakavyokua ? Ichore picha ya future yako af linganisha na maishayako yasasa..

Chagua Kati ya maisha ya competition na maisha yako halisi kipi Bora ..

Ukisha kopa huo mkopo nini kitatokea ?

Vijana wa 5 kuishi nyumba moja siyo vizuri
Kwakua mtaambukizana vijitabia either nivizuri au vibaya ..

Kama unais auko comfortable nao nibora ujitenge mapema ila siyo kwaubaya leave for peace ..kwakua age ya 28 ni umbri wakua na familia au kua na uhuru wako na maamuzi yako na privacies zako

Usipohama wewe leo vipi wakianza kuama wao utajisikiaje ? Kwan unadhan utaishi apo milele ?

Grow up ..
 
Back
Top Bottom