Naombeni ushauri wa haraka kuhusu huyu binti

Yeah sure [emoji1787]
 
Poleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.

Hii hapo juu ndo point ya maana. otherwise mwanaume kuliwa pesa na mbususu usipate ni kati ya majukumu ya kujenga taifa. Wote semeni emeeeeen!!!
 
N kwamba unataka kujinyonga 😳, sawa jinyonge kila nafs itaonja umauti iwe kwa kujitakia au sku zmefka.

Lipa maden ya watu weka kila kitu saw kisha jinyonge, mbele yako nyuma yetu......Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake libarikiwe
 
Unastahili kupata shida unazopata na msoto unaopata kitaa. Huna akili.!
 
N kwamba unataka kujinyonga [emoji15], sawa jinyonge kila nafs itaonja umauti iwe kwa kujitakia au sku zmefka.

Lipa maden ya watu weka kila kitu saw kisha jinyonge, mbele yako nyuma yetu......Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake libarikiwe
Duh [emoji1787] [emoji1787]
 
Duh [emoji1787]
 
Nilikuwa napigwa mizinga ya kusuka, Mala simu kioo kimekufa, Mala nguo hana, Mala simu imeibiwa, Mala hali ugali anataka chips kuku kila siku. Mwishowe nataka tunda akasema ananiheshm kama kaka angu hivyo tuwe kaka na Dada tu
Kubali kuishi naye kama rafiki anakupenda uyo utamla tu[emoji3][emoji106]
 
laki 5 yote umeliwaje na hujala utamu mzee?? pole ila ukiweza mpe fundisho kwa kujifanya mtu mwingine anza kumchatisha weka mtego mkutane hata hotel mnyooshe kama una hela haruki
Yeap anaonekana anatamaa ya hela nina uhakika akitumia hii njia nayo inaweza 98%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…