elishaezekiel
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 563
- 1,464
Usiruhusu dhoruba au ugumu unaopitia leo ukutabirie kuhusu kesho yako ni kweli kabisa ugumu upo lkn haimaanishi kuwa mabadiliko na mambo mazuri hayawezi kutokea hutakaa kwenye ugumu milele hicho ni kipande tu cha sehemu ya maisha na kitapitaPoleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.
Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.
Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.
Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
Hapo dawa ni kujinyonga tu. Hakuna ushauri mwingine wa maana nje ya huu.Poleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.
Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.
Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.
Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
Una utani sana wewe Kat m nipo siriazUlili uonekane huna utani weka picha ya kamba hapa tuone
Mnyalu na "apo swela bee" katika ubora wake. 😂 🤣 Aisee; Tunaweza kumpoteza jamaa yetu kimasihara hv-hivi.We kweli hamnazo badala ukamnyonge aliyekula hela zako ww unataka ukajinyonge wewe
Naomba ushauri mku wa kumpata huyu mazniAisee unataka kuji R.I.P Kizembee
Duh [emoji1787]Postmortem,... dalili mbili za kwanza ni kuangalia shingo iliyovunjika na kama ulipata haya ya kutosha mpaka Ile waislamu wanayoita ya ngama,... baada ya hapo ndio wanatafuta sababu ya kujinyonga.
Bro usijinyonge kwa ajili ya K utatuachia shida ya kuisoma biograph yako!
Embu uliza hapo Duka la jirani kwa mangi kama Kuna sabuni ya kuitwa Revola (sp).
Ushauri pleasePole sana, hayanga muongozo...
Kwenda zakoKijana unaleta utani ??
Nilisahau kuandika RIP, kaburini malaika wanakuja na rungu za chuma jiandaeMkuu sitanii, acha masihala
PoaUnampaje demu hela tofauti na gest? Umezembea mwenyewe wewe kama vipi jinyonge tu
Mkuu huyu demu ni mkali sana mkuu nampendaLaki tano ni mademu kumi tofauti kwa muda tofauti unawapima ukimwi unakula na full body massage wanakufanyia unapewa kila kitu wewe tuu!
Sasa unaanza kudate Jina sijui fulani unamtaka mara mtaani kwetu kuna fulani pisi hahahaaa!
Go their way——The way of Women——No commitment whatsoever!
Fake Love, Show offs kwa mafriend na Kujipenda na kuipenda dunia—— mtu wa hivo hasitahili kupendwa hata kidogo!
Use And dump
Mwanamume unaanzaje kusema unamtaka fulani hadi unaingia cost na hujamega!
Date Mwanamke pewa kila kitu acha kudate Jina la manzi na mtaa anaotoka!
SawaJiangalie kwenye kioo afu jiulize kwanini kakula hela yako kizembe..???
NB: mwanaume hajinyongi ila mwanaume anakufa
Dah.. Laki tano wengine ni kizinga kimoja tuu .. Wengine bajeti ya wiki.. Wengine ndo kila kitu..life is not fairPoleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.
Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.
Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.
Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
Ook saw mkuuUsiruhusu dhoruba au ugumu unaopitia leo ukutabirie kuhusu kesho yako ni kweli kabisa ugumu upo lkn haimaanishi kuwa mabadiliko na mambo mazuri hayawezi kutokea hutakaa kwenye ugumu milele hicho ni kipande tu cha sehemu ya maisha na kitapita
Otherwise acha ufala
KabisaHapo dawa ni kujinyonga tu. Hakuna ushauri mwingine wa maana nje ya huu.