Naombeni ushauri wa haraka kuhusu huyu binti

Naombeni ushauri wa haraka kuhusu huyu binti

Poleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.

Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.

Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.


Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
Bado hujafa mkuu. Mi nikajua tayari uko na uncle Magu saizi unamuhadithia juu ya uzinduzi wa filamu yetu mpya bhana
 
Mkuu laki tano mbona sadaka tu mimi nimetoa juzi kumsaidia mtu ambaye hata sitarajii kukutana naye?

Yani binti kadanga tu, kanikuta mkao wa kutoa sadaka, nikampa matakwa yake kama hadithi jini la kusugua taa lile.

Na hapo kuna wengine wawili watu nawajua niliwapiga laki tno tano hivyo hivyo, katika wiki moja tu.

Pesa maua, hasara maisha.

Na hayo mapenzi mbona kuna wengine mamilioni wapo?
Hakii na mimi nikudangie .hata ka milioni
 
Pole Sana mkuu acha usijinyonge mbona Huyo dada anakupenda. Anakupa muda tu akupime Kama unampenda kweli halafu wewe huo muda ndo unataka kujinyonga

Achana nae mkuu
Muache afe asilete ujinga, kutujazis servers tuu…
 
Poleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.

Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.

Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.


Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
Tunazika hapa au tunasafirisha useme mapema sio unaondoka bila kusema halafu tunapandisha maiti kwenye gari inaleta vimbwenga mara gari igome kuwaka.
 
Tunazika hapa au tunasafirisha useme mapema sio unaondoka bila kusema halafu tunapandisha maiti kwenye gari inaleta vimbwenga mara gari igome kuwaka.
Dah [emoji22] broo nilikuwa nakuheshim sana
 
Poleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.

Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.

Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.


Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante

Nitakulipia gharama ya kununulia kitanzi!
 
Dah [emoji22] broo nilikuwa nakuheshim sana
Mkuu mimi nimetazama upande wa pili maana haya mambo mtu asiposema inasumbua raia tuliobaki.
Mkuu aya nakupa ushauri.
Achana naye yani ingekuwa kwa wenzetu huko anaweza hata kukufungulia mashtaka maana ashakwambia hakutaki kubali tu.
Binadamu huwezi kupata kila unachokitaka, kubali kukosa vitu vingine.
 
Mkuu mimi nimetazama upande wa pili maana haya mambo mtu asiposema inasumbua raia tuliobaki.
Mkuu aya nakupa ushauri.
Achana naye yani ingekuwa kwa wenzetu huko anaweza hata kukufungulia mashtaka maana ashakwambia hakutaki kubali tu.
Binadamu huwezi kupata kila unachokitaka, kubali kukosa vitu vingine.
Hapo Sawa. Nimekuelewa
 
Back
Top Bottom