Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #141
Afu kweli hhahahaLaki tano ni hela kwan? Haya bas mtafute mshkaji ajifanye smart boy then amtongoze akikubali pigeni mtungo ili aache kuumiza na wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu kweli hhahahaLaki tano ni hela kwan? Haya bas mtafute mshkaji ajifanye smart boy then amtongoze akikubali pigeni mtungo ili aache kuumiza na wengine
Sitakufa. Nitavunjika tu miguuMkuu kujinyonga inachukua mda mrefu nashauri panda kijazi pale mpaka juu then niachie
Nimefurahi umecheka.Hakikisha kigiza kimeingia ili msiaibike lakinAfu kweli hhahaha
Bado hujafa mkuu. Mi nikajua tayari uko na uncle Magu saizi unamuhadithia juu ya uzinduzi wa filamu yetu mpya bhanaPoleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.
Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.
Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.
Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
Lakini usisahau kwanza kuandika wosia na kabarua kadogo pembeni kanakosema hayo ni maamuzi yako ili majirani wasisumbuliwe na Polisi na ndugu zako wasigombanie mali zako kwani Mgawo utakuwa umekamilika.Wanaleta utani tatizo
Hakii na mimi nikudangie .hata ka milioniMkuu laki tano mbona sadaka tu mimi nimetoa juzi kumsaidia mtu ambaye hata sitarajii kukutana naye?
Yani binti kadanga tu, kanikuta mkao wa kutoa sadaka, nikampa matakwa yake kama hadithi jini la kusugua taa lile.
Na hapo kuna wengine wawili watu nawajua niliwapiga laki tno tano hivyo hivyo, katika wiki moja tu.
Pesa maua, hasara maisha.
Na hayo mapenzi mbona kuna wengine mamilioni wapo?
[emoji849]Hakii na mimi nikudangie .hata ka milioni
Tanguliza kichwa Ila hakikisha umepanda.kule juu kabisa njia ya mwenge temekeSitakufa. Nitavunjika tu miguu
Mkuu huyu demu ni mkali sana mkuu nampenda
Pole Sana mkuu acha usijinyonge mbona Huyo dada anakupenda. Anakupa muda tu akupime Kama unampenda kweli halafu wewe huo muda ndo unataka kujinyonga
Tunazika hapa au tunasafirisha useme mapema sio unaondoka bila kusema halafu tunapandisha maiti kwenye gari inaleta vimbwenga mara gari igome kuwaka.Poleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.
Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.
Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.
Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
Dah [emoji22] broo nilikuwa nakuheshim sanaTunazika hapa au tunasafirisha useme mapema sio unaondoka bila kusema halafu tunapandisha maiti kwenye gari inaleta vimbwenga mara gari igome kuwaka.
Poleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.
Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.
Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.
Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
Dah [emoji22] kumbe nawewe upo hivoAchana nae mkuu
Muache afe asilete ujinga, kutujazis servers tuu…
Sawa mkuuAcha ujinga yeye hakupendi na hakutaki , Achana nae tafuta manzi wengine mbona easy tuu!
Halafu Mwanamke kula hela yako bila kutoa mzigo mwisho Teni hapo umejikaza tuu
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Nitakulipia gharama ya kununulia kitanzi!
Dah [emoji22] kwann lakiniTangiza kichwa Ila hakikisha umepanda.kule juu kabisa njia ya mwenge temeke
Mkuu mimi nimetazama upande wa pili maana haya mambo mtu asiposema inasumbua raia tuliobaki.Dah [emoji22] broo nilikuwa nakuheshim sana
Hapo Sawa. NimekuelewaMkuu mimi nimetazama upande wa pili maana haya mambo mtu asiposema inasumbua raia tuliobaki.
Mkuu aya nakupa ushauri.
Achana naye yani ingekuwa kwa wenzetu huko anaweza hata kukufungulia mashtaka maana ashakwambia hakutaki kubali tu.
Binadamu huwezi kupata kila unachokitaka, kubali kukosa vitu vingine.