Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Inabidi ukubaliane na hali ili maisha mengine yaendelee.Duh [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi ukubaliane na hali ili maisha mengine yaendelee.Duh [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Nenda kamsemee kwaoPoleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.
Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.
Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.
Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
Huna akili. Mapenzi ya mtu hayaingiliwi na FamiliaNenda kamsemee kwao
Kabisa. HekoInabidi ukubaliane na hali ili maisha mengine yaendelee.
Subiri nikualike@Mshana Jr bora umekuja naomba tuchat inbox please Sema pm yako haini allow kukutext naomba uni pm
Imekuwaje ufanye huu uwekeaji, hukufanya upembuizi yakinifu kbl ya kuanza kuestablish mradi!Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.
Sawa mkuuImekuwaje ufanye huu uwekeaji, hukufanya upembuizi yakinifu kbl ya kuanza kuestablish mradi!
anywaya Mpange msafiri hata Morogoro mwambie mwende kwa vacation make sure una mu entertain vzr akubali mkifika huko ushamaliza wazee wa trip wanajua haya!!!
Inauma bhanahela na kukupenda hapo hamna uhusiano bro. hela ulmpa kwa mapenzi yako achana nae.
🤣🤣🤣😆We kweli hamnazo badala ukamnyonge aliyekula hela zako ww unataka ukajinyonge wewe
Asante [emoji120]. Usiombe yakukuteNimecheka sana [emoji119][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Achana naye wanawake wako wengi sana usichukue uamuzi wowote mbaya dhidi yako wala dhidi yake.Acha aonekane mjanja leo kesho atakutana na mjanja zaidi na kufanyiwa kitu mbaya hapo ndipo utaona anaanza kukurudia.Jamani jamani ebu acheni utani baaasiii
[emoji120][emoji120][emoji120] Siombi yamkute hayo. Mm namtakia mema tuAchana naye wanawake wako wengi sana usichukue uamuzi wowote mbaya dhidi yako wala dhidi yake.Acha aonekane mjanja leo kesho atakutana na mjanja zaidi na kufanyiwa kitu mbaya hapo ndipo utaona anaanza kukurudia.
Oooktafuta Jimbo lingine, wanaume hatuteseki namna hiyo mbususu ziko nyingi sana dunia
Sio hayawani mkuu mie ni mfanyabiashara maarufu wa Majeneza na vifaa vya mazishi hivyo naomba support yako kakaWe kumbe hayawani
Sina matatizo yoyote ila napromote biashara yangu kakaWe unamatatizo
We jamaa aisee 🙌Asile jeneza litakuwa zito atatusumbua wabebaji.
Akili hanaWe jamaa aisee [emoji119]