Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Kwa upande wa mkoa upi unafanya vzr zaidi sijui Mimi sijawahi Lima mkoa tofauti na Geita&mwanza.Asante sana kwa muongozo, bado nina maswali kwako usinichoke tafadhali. Nimefurahi kuwa wewe mwenyewe ni mkulima wa kilimo husika cha nyanya vipi kuhusu mkoa ama sehemu inayo kubali kwa kilimo cha nyanya na msimu mzuri wa kulima nyanya ni upi? Asante
Japo nimetembea kama morogoro,Arusha,pwani nk kote huko nyanya nilikuwa naona inastawi.
Uchaguzi wa mbegu Bora ndo solution mkuu. Mimi sio mtaalamu wa shuleni ila ni mkulima mzoefu wa zao hili.
Ndio huu ni ukweli huwezi Lima heka3 Kwa mtaji wa m5 huwezi mkuu.Duh! Ina maana 5M kwa heka 3 hiyo hela ni kidogo sana! Asante kwa taarifa
Mbegu bora pekee ya kutosha heka 1 itenge laki7-8 Hivi.
Bado madawa na mbolea vibarua,kamba na miti ya kufungia nyanya Yako. Binafsi Hadi Sasa Hivi navuna Nina heka imetumia m3 na 457k Kuna zingine nilikuwa siandiki kama pesa za sabuni,mboga nk za wafanyakazi wangu.
Katika shamba hili sijakodi
Samadi sijanunua ipo home tu.
Niishie hapa mkuu