Maharage yanjano(yale yasiyotambaa
Mkoa wa Ruvuma,
Vijiji vya Songea +mbinga + namtumbo madaba
kuna vijiji kama Mputa, Mbwambwasi, peramiho vijijini na baadhi yamaeneo kuelekea madada bado ardhi ipo
..kwa hiyo pesa unaweza Lima hata hekari tano mpka 7 nachenji ikabaki
Kutokana namvua msimu mzuri nimwezi wapili mpka watatu kufikia tareh 15 uwe ushapanda mwez wa sita unavuna
Kwamwezi wa12 yanakubali tatizo lipo yakianza kauka hivyo itakupasa uwe nabanda lakuweza kuanikia nakuhfadhi maharage yako
Maeneo kama mbwambasi navijiji vyakaribu kama Muhukuru kuna ardhi yakutosha nawatu bado hawajastuka hivyo unaweza wahi kwabei rahisi mpaka 90 mpka 100 elfu kwa hekari
Nikilimo chamiezi miwil mpka mitatu