I LOVE YOU DUCE
Member
- Mar 21, 2024
- 30
- 135
Salaam wakuu.
Katika harakati za kutafuta kipi ni fanye baada ya masomo yangu ya ualimu hapo mwezi wa Saba, nimetoka Leo kuongea na Moja ya shule ya kanisa katoliki hapa jijini( niliwatumia letter of interest Leo wakaniita).
Wamenambia kuwa baada ya kumaliza chuo nifanye kazi nao kwa miezi sita(Bure), Kisha baada ya hapo watanipa mkataba, na Kwa kipindi hiko Cha kujitolea wamesema kuwa wa-tani accommodate chakula, malazi na matibabu.
Pia, wamesema kuwa taingia nao mkataba ambao utanipa assurance ya ajira baada ya Kipindi Cha miezi sita, ikiwa tatimiza mambo yafuatayo
1. Coverage ya topic ikiwa nzuri
2. Ufaulu wa wanafunzi kwa mitihani ambayo itakuwa inatugwa na department (kwenye somo langu)
3. Ushiriki wa kazi na usimamizi mzuri wa majukumu.
Katika harakati za kutafuta kipi ni fanye baada ya masomo yangu ya ualimu hapo mwezi wa Saba, nimetoka Leo kuongea na Moja ya shule ya kanisa katoliki hapa jijini( niliwatumia letter of interest Leo wakaniita).
Wamenambia kuwa baada ya kumaliza chuo nifanye kazi nao kwa miezi sita(Bure), Kisha baada ya hapo watanipa mkataba, na Kwa kipindi hiko Cha kujitolea wamesema kuwa wa-tani accommodate chakula, malazi na matibabu.
Pia, wamesema kuwa taingia nao mkataba ambao utanipa assurance ya ajira baada ya Kipindi Cha miezi sita, ikiwa tatimiza mambo yafuatayo
1. Coverage ya topic ikiwa nzuri
2. Ufaulu wa wanafunzi kwa mitihani ambayo itakuwa inatugwa na department (kwenye somo langu)
3. Ushiriki wa kazi na usimamizi mzuri wa majukumu.