Naombeni ushauri wanaume jf

unaweza anza mahusiano kama yule mwingine unaona hafai Ila kwa mfumo huu
kwanza muite ongea nae na msikilize anasemaje kuhusu muafaka wenu na kingine mueleze unavyojisikia juu yake hapa namuongelea huyo currently boyfriend wako na akishakupa majibu yake take time uchanganue moja moja , dada angu katika mia unaweza pata mmoja ambae atakujari sana kupita maelezo watu wanaumia kwenye mahusiano kutokana na kushindwa Ku clear kitu kidogo tu.
 
ndo wewe friji umejaza watermelon.....
 
Mama sisi wanaume wacha tuitwe wanaume maana tukidhamiria kumpata demu hata awamu mbili za maraisi zaweza pita na tukavumilia na usumbufu wako cku ukikubali tu kuvua chupi imekula kwako.
Mfano hai mm mwenyewe Nilimfatilia Manzi kuanzia 2009 cjakata tamaa nimekuja kumgonga juzi 2015 na nimsha temana nae sasa ww teea teea na achama ukijua kanivumilia mda mrefu ndio cku utajua kwa nn watu hawapendi kuweka kitanda katikati ya chumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…